Wizara ya Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki
Wizara ya Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki (Kiingereza: Ministry of East African Cooperation kifupi (MEAC)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti rasmi Archived 19 Juni 2017 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |