Wizara ya Maji na Umwagiliaji
Mandhari
Wizara ya Maji na Umwagiliaji (kwa Kiingereza: Ministry of Water and Irrigation kifupi (MAJI)) ilikuwa wizara ya serikali ya Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hiyo ilikuwa mjini Dar es Salaam.
Kwa sasa inaitwa Wizara ya Maji tu, iko Dodoma chini ya waziri Jumaa Aweso.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |