Nenda kwa yaliyomo

Wizara ya Maliasili na Utalii

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wizara ya Maliasili na Utalii (kwa Kiingereza: Ministry of Natural Resources and Tourism; kifupi MNRT) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dodoma.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Maliasili na Utalii Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.