Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (Kiingereza: Ministry of Health and Social Welfare kifupi (MoH)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |