Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi (kwa Kiingereza: Ministry of Livestock Development and Fisheries) ilikuwa wizara ya serikali nchini Tanzania.
Ofisi kuu ya wizara hii ilikuwa jijini Dar es Salaam.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |