Siku tatu kuu za Pasaka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
L.F. Schnorr von Carolsfeld alivyochora Akina Maria watatu kwenye kaburi la Kristo, mwaka 1835 hivi.
Mwaka wa Kanisa kadiri ya kalenda ya liturujia ya Roma kama kielelezo cha kawaida kwa Ukristo wa magharibi.
Mwaka wa liturujia
Magharibi
Mashariki

Siku tatu kuu za Pasaka ndizo kiini cha mwaka wa Kanisa.

Zimekusudiwa kumuadhimisha Yesu mteswa, mzikwa na mfufuka, yaani:

Siku hizo tatu ni kama bawaba kati ya Kwaresima na kipindi cha Pasaka. Ingawa tarehe zinabadilika kila mwaka, zinaangukia daima kati ya Machi mwishoni na Aprili mwishoni.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Siku tatu kuu za Pasaka kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.