Shilingi ya Tanzania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sarafu ya shilingi 200 upande wa mbele.

Shilingi ya Tanzania (kwa Kiingereza Tanzanian shilling; kifupi: TSh; code: TZS) ni fedha rasmi ya Tanzania. Imegawanyika katika senti (cents kwa Kiingereza) 100.

Shilingi ya Tanzania ilishika nafasi ya East African shilling tarehe 14 Juni 1966 at par.[1]

Kabla yake katika maeneo ya Tanzania ya sasa ziliwahi kutumika East African florin, East African rupee, Zanzibari rupee, Zanzibari riyal na German East African rupie.

Shilingi 100 zinaandikwa "100/=" au "100/-". Senti 50 zinaandikwa =/50 au -/50.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Linzmayer, Owen (2012). "Tanzania". The Banknote Book. San Francisco, CA: www.BanknoteNews.com. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: