Mto Cheptenden

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Cheptenden unapatikana magharibi mwa Kenya, mpakani mwa Uganda.

Maji yake yanaishia katika mto Naili, ulio mrefu kuliko yote duniani, na hatimaye katika Bahari ya Kati.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]