18 Januari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 157 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q2265 (translate me) |
|||
Mstari 8: | Mstari 8: | ||
* [[1849]] - [[Edmund Barton]], Waziri Mkuu wa kwanza wa [[Australia]] |
* [[1849]] - [[Edmund Barton]], Waziri Mkuu wa kwanza wa [[Australia]] |
||
* [[1867]] - [[Rubén Darío]], mwandishi kutoka [[Nikaragua]] |
* [[1867]] - [[Rubén Darío]], mwandishi kutoka [[Nikaragua]] |
||
* [[1986]] - [[Ropa Garise]], mwanamitindo kutoka [[Zimbabwe]] |
|||
== Waliofariki == |
== Waliofariki == |
Pitio la 13:21, 8 Januari 2016
Des - Januari - Feb | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
- 1535 - Francisco Pizarro anaunda mji wa Lima (Peru).
- 1701 - Mtemi Friedrich wa Brandenburg (Ujerumani) anabarikiwa kuwa na cheo cha mfalme katika Prussia
- 1871 - Mfalme Wilhelm I wa Prussia anatangazwa kuwa Kaisari wa Ujerumani mjini Versailles (Ufaransa)
Waliozaliwa
- 1849 - Edmund Barton, Waziri Mkuu wa kwanza wa Australia
- 1867 - Rubén Darío, mwandishi kutoka Nikaragua
- 1986 - Ropa Garise, mwanamitindo kutoka Zimbabwe
Waliofariki
- 1471 - Go-Hanazono, mfalme mkuu wa Japani (1428-1464)
- 1862 - John Tyler, Rais wa Marekani (1841-1845)
- 1936 - Rudyard Kipling (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1907)
- 1982 - Huang Xianfan, mwanahistoria kutoka China
- 1995 - Adolf Butenandt (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1939)