Visiwa vya Mariana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Visiwa vya Mariana (kwa Kiingereza: Mariana Islands) ni funguvisiwa la Pasifiki ya magharibi, takriban katikati ya Papua Guinea Mpya na Japani. Vinahesabiwa kati ya visiwa vya Melanesia.

Kwa jumla ni safu ya visiwa 15 vyenye asili ya volkeno kati ya 12 hadi 21N na mnamo 145E.

Vyote ni maeneo ya ng'ambo ya Marekani inayotawala funguvisiwa hilo kama vitengo viwili vya pekee:

  • Visiwa vya Mariana ya Kaskazini (Northern Mariana Islands) ambavyo ni idadi kubwa ya visiwa hivyo na eneo lenye madaraka ya kujitawala
  • Guam ambayo ni kisiwa kikubwa pekee ambacho ni kituo cha kijeshi cha Marekani.

Marejeo

Marejeo katika kamusi elezo


Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.