25 Machi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 15: | Mstari 15: | ||
* [[1586]] - Mtakatifu [[Margaret Clitherow]], [[mfiadini]] kutoka Uingereza |
* [[1586]] - Mtakatifu [[Margaret Clitherow]], [[mfiadini]] kutoka Uingereza |
||
* [[1914]] - [[Frederic Mistral]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1904]] |
* [[1914]] - [[Frederic Mistral]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1904]] |
||
* [[1980]] - [[James Wright (mshairi)|James Wright]], mshairi kutoka [[Marekani]] |
|||
==Sikukuu== |
==Sikukuu== |
Pitio la 22:05, 5 Januari 2017
Feb - Machi - Apr | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 25 Machi ni siku ya 84 ya mwaka (ya 85 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 281.
Matukio
Waliozaliwa
- 1715 - Mtakatifu Maria Fransiska wa Madonda Matano, bikira Mfransisko kutoka Italia
- 1748 - Mtakatifu Benedikto Yosefu Labre
- 1832 - Ivan Shishkin, mchoraji wa Urusi
- 1881 - Bela Bartok, mtunzi wa muziki kutoka Hungaria
- 1942 - Aretha Franklin, mwanamuziki kutoka Uingereza
- 1947 - Elton John, mwanamuziki kutoka Uingereza
Waliofariki
- 1586 - Mtakatifu Margaret Clitherow, mfiadini kutoka Uingereza
- 1914 - Frederic Mistral, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1904
- 1980 - James Wright, mshairi kutoka Marekani
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha sikukuu ya Bikira Maria Kupashwa habari, na kumbukumbu ya mtakatifu Isaka na ya Dismas Mtakatifu
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 25 Machi kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |