Baraza la mawaziri Tanzania 2015 : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
majina ya mwisho |
||
Mstari 5: | Mstari 5: | ||
Mikutano ya baraza inaongozwa na Rais kama [[mwenyekiti]], kama hayupo na Makamu wa Rais, na kama wote wawili hawapo na Waziri Mkuu.<ref>[http://www.judiciary.go.tz/downloads/constitution.pdf Katiba ya Tanzania, fungu 54]</ref> |
Mikutano ya baraza inaongozwa na Rais kama [[mwenyekiti]], kama hayupo na Makamu wa Rais, na kama wote wawili hawapo na Waziri Mkuu.<ref>[http://www.judiciary.go.tz/downloads/constitution.pdf Katiba ya Tanzania, fungu 54]</ref> |
||
Serikali iliyopo ilitangazwa na [[John Magufuli]], rais wa tano wa Tanzania baada ya [[uchaguzi mkuu wa tarehe 25 Oktoba 2015|uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015]] mnamo tarehe [[10 Desemba]] [[2015]]. |
Serikali iliyopo ilitangazwa na [[John Magufuli]], rais wa tano wa Tanzania baada ya [[uchaguzi mkuu wa tarehe 25 Oktoba 2015|uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015]] mnamo tarehe [[10 Desemba]] [[2015]]. Isipokuwa nafasi 4 zilichelewa kutajwa majina tarehe 23 Desemba, na hapo waliingia Jumanne Maghembe, Philip Mpango, Gerson Lwenge na Joyce Ndalichako. Siku hiyohiyo Makame Mbarawa alihamishwa kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji na kwenda Wizara ya Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano. |
||
{| class=wikitable |
{| class=wikitable |
||
Mstari 76: | Mstari 76: | ||
| [[Wizara ya Elimu, Teknolojia na Ufundi Tanzania|Wizara ya Elimu, Teknolojia na Ufundi ]] |
| [[Wizara ya Elimu, Teknolojia na Ufundi Tanzania|Wizara ya Elimu, Teknolojia na Ufundi ]] |
||
| style="background:#228B22" | |
| style="background:#228B22" | |
||
| Dr. [[Joyce Ndalichako]] |
|||
| align=center|<small>(hajateuliwa bado 11 Disemba 2015)</small> |
|||
|- |
|- |
||
| [[File:Prof muhongo pic.jpg|75px]] |
| [[File:Prof muhongo pic.jpg|75px]] |
||
Mstari 86: | Mstari 86: | ||
| [[Wizara ya Fedha Tanzania|Wizara ya Fedha na Mipango]] |
| [[Wizara ya Fedha Tanzania|Wizara ya Fedha na Mipango]] |
||
| style="background:#228B22" | |
| style="background:#228B22" | |
||
| Dr. [[Philip Mpango]] |
|||
| align=center|<small>(hajateuliwa bado 11 Disemba 2015)</small> |
|||
|- |
|- |
||
| [[File:Augustine Mahiga (cropped).jpg|75px]] |
| [[File:Augustine Mahiga (cropped).jpg|75px]] |
||
Mstari 121: | Mstari 121: | ||
| [[Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania|Wizara ya Maliasili na Utalii]] |
| [[Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania|Wizara ya Maliasili na Utalii]] |
||
| style="background:#228B22" | |
| style="background:#228B22" | |
||
| [[Jumanne Maghembe]] |
|||
| align=center|<small>(hajateuliwa bado 11 Disemba 2015)</small> |
|||
|- |
|- |
||
| [[File:Makame Mbarawa IAEA.png|75px]] |
| [[File:Makame Mbarawa IAEA.png|75px]] |
||
| [[Wizara ya Maji na Umwagiliaji Tanzania|Wizara ya Maji na Umwagiliaji]] |
| [[Wizara ya Maji na Umwagiliaji Tanzania|Wizara ya Maji na Umwagiliaji]] |
||
| style="background:#228B22" | |
| style="background:#228B22" | |
||
| |
| [[Gerson Lwenge]] |
||
|- |
|- |
||
| [[File:No image.svg|75px]] |
| [[File:No image.svg|75px]] |
||
| [[Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Tanzania)|Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano]] |
| [[Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Tanzania)|Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano]] |
||
| style="background:#228B22" | |
| style="background:#228B22" | |
||
| |
| [[Makame Mbarawa]] <small>(alihamishwa kuoka kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji tar. 23.Desemba 2015)</small> |
||
|- |
|- |
||
| style="background:#cccccc;" colspan="5" | '''(anahudhuria mikutano ya baraza la mawaziri bila kupiga kura''' |
| style="background:#cccccc;" colspan="5" | '''(anahudhuria mikutano ya baraza la mawaziri bila kupiga kura''' |
Pitio la 19:09, 23 Desemba 2015
Baraza la Mawaziri la Tanzania ni ngazi ya juu ya serikali au mkono wa utendaji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mfumo wa mgawanyo wa madaraka.
Baraza hili linafanywa na rais, makamu wa rais, rais wa Zanzibar, waziri mkuu na mawaziri wote. [1] Manaibu mawaziri si sehemu ya baraza. Mwanasheria Mkuu anashiriki katika mikutano ya baraza bila haki ya kupiga kura.
Mikutano ya baraza inaongozwa na Rais kama mwenyekiti, kama hayupo na Makamu wa Rais, na kama wote wawili hawapo na Waziri Mkuu.[2]
Serikali iliyopo ilitangazwa na John Magufuli, rais wa tano wa Tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 mnamo tarehe 10 Desemba 2015. Isipokuwa nafasi 4 zilichelewa kutajwa majina tarehe 23 Desemba, na hapo waliingia Jumanne Maghembe, Philip Mpango, Gerson Lwenge na Joyce Ndalichako. Siku hiyohiyo Makame Mbarawa alihamishwa kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji na kwenda Wizara ya Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano.
Chama anakotoka | Chama Cha Mapinduzi |
---|
Marejeo
- ↑ "Cabinet of Tanzania". tanzania.go.tz. May 2012. Iliwekwa mnamo May 2012. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ Katiba ya Tanzania, fungu 54
- ↑ "Baraza la Mawaziri". Ikulu. 10 December 2015. Iliwekwa mnamo 11 December 2015. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ "Magufuli releases long awaited cabinet", 10 December 2015.
- ↑ Chama Cha Mapinduzi [@ccm_tanzania] (10 December 2015). "Rais Magufuli atangaza Baraza la Mawaziri" (Tweet) (kwa Swahili). Iliwekwa mnamo 10 December 2015 – kutoka Twitter. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)
Tazama pia
Wizara za Serikali ya Tanzania