William Lukuvi
Mandhari
| Mhe. William Lukuvi Mb | |
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi | |
| Muda wa Utawala 24 Januari 2015 – 8 Januari 2022 | |
| mtangulizi | Prof. Anna Tibaijuka |
|---|---|
| aliyemfuata | Angeline Mabula |
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera na Bunge | |
| Muda wa Utawala 28 Novemba 2010 – Januari 2015 | |
| mtangulizi | Philip Marmo |
| aliyemfuata | Jenista Mhagama |
Mbunge wa Ismani | |
| Aliingia ofisini Novemba 1995 | |
| tarehe ya kuzaliwa | 15 Agosti 1955 Mapogoro, Tanganyika |
| utaifa | Tanzania |
| chama | CCM |
| mhitimu wa | TTC (Tabora) (Cert) Chuo Huria cha Tanzania |
| dini | Mkristo |
William Lukuvi (amezaliwa 15 Agosti 1955) ni mbunge wa jimbo la Ismani katika bunge la kitaifa nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Aliwahi kuwa waziri katika nafasi mbalimbali.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ ["Mengi kuhusu William Lukuvi". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-12-15. Iliwekwa mnamo 2010-11-13. Mengi kuhusu William Lukuvi]
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti ya Bunge la Tanzania
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu William Lukuvi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |