William Lukuvi
Mhe. William Lukuvi Mb | |
Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi | |
Aliingia ofisini 24 Januari 2015 | |
mtangulizi | Prof. Anna Tibaijuka |
---|---|
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera
na Bunge | |
Muda wa Utawala 28 Novemba 2010 – Januari 2015 | |
mtangulizi | Philip Marmo |
aliyemfuata | Jenista Mhagama |
Mbunge wa Ismani
| |
Aliingia ofisini Novemba 1995 | |
tarehe ya kuzaliwa | 15 Agosti 1955 Mapogoro, Tanganyika |
utaifa | Tanzanian |
chama | CCM |
mhitimu wa | TTC (Tabora) (Cert) Chuo Huria cha Tanzania |
dini | Mkristo |
William Lukuvi (amezaliwa tar. 15 Agosti 1955) ni mbunge wa jimbo la Ismani katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ ["Mengi kuhusu William Lukuvi". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-12-15. Iliwekwa mnamo 2010-11-13. Mengi kuhusu William Lukuvi]
Viungo vya nnje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |