Nenda kwa yaliyomo

William Lukuvi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mhe. William Lukuvi Mb


Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi
Muda wa Utawala
24 Januari 2015  8 Januari 2022
mtangulizi Prof. Anna Tibaijuka
aliyemfuata Angeline Mabula

Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera
na Bunge
Muda wa Utawala
28 Novemba 2010  Januari 2015
mtangulizi Philip Marmo
aliyemfuata Jenista Mhagama

Mbunge wa Ismani
Aliingia ofisini 
Novemba 1995

tarehe ya kuzaliwa 15 Agosti 1955 (1955-08-15) (umri 70)
Mapogoro, Tanganyika
utaifa Tanzania
chama CCM
mhitimu wa TTC (Tabora) (Cert)
Chuo Huria cha Tanzania
dini Mkristo

William Lukuvi (amezaliwa 15 Agosti 1955) ni mbunge wa jimbo la Ismani katika bunge la kitaifa nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Aliwahi kuwa waziri katika nafasi mbalimbali.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. ["Mengi kuhusu William Lukuvi". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-12-15. Iliwekwa mnamo 2010-11-13. Mengi kuhusu William Lukuvi]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu William Lukuvi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.