Nenda kwa yaliyomo

Waziri Mkuu wa Tanzania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Waziri Mkuu wa Tanzania ni msimamizi wa shughuli zote za serikali katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anawakilisha serikali katika bunge la taifa. Yuko chini ya mamlaka ya rais.[1] Anateuliwa na rais akihitaji kuthebitishwa na wabunge wengi.[2]

Waziri Mkuu si kiongozi wa serikali lakini anaongoza vikao vya baraza la mawaziri wakati rais na makamu wa rais hawapo.[3]

Mwaziri Wakuu wa Tanzania (1964– sasa)

[hariri | hariri chanzo]
Vyama

      Tanganyika African National Union (TANU)
      Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Picha Name
(mwaka wa kuzaliwa - kufariki dunia)
Aliingia ofisini Alitoka ofisini Chama
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Cheo kilofutwa (26 Aprili 1964 – 29 Oktoba 1964
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Cheo kilofutwa (29 Oktoba 1964 – 17 Februari 1972)
1 Rashidi Kawawa
(1926–2009)
17 Februari 19725 Februari 1977TANU
(1) 5 Februari 197713 Februari 1977CCM
2 Edward Sokoine
(1938–1984)
(1st time)
13 Februari 19777 Novemba 1980CCM
3 Cleopa Msuya
(1931–2025)
(1st time)
7 Novemba 198024 Februari 1983CCM
(2) Edward Sokoine
(1938–1984)
(2nd time)
24 Februari 198312 Aprili 1984[4]CCM
4 Salim Ahmed Salim
(1942–)
24 Aprili 19845 Novemba 1985CCM
5 Joseph Warioba
(1940–)
5 Novemba 19859 Novemba 1990CCM
6 John Malecela
(1934–)
9 Novemba 19907 Desemba 1994CCM
(3) Cleopa Msuya
(1931–2025)
(2nd time)
7 Desemba 199428 Novemba 1995CCM
7 Frederick SuMeie
(1950–)
28 Novemba 199530 Desemba 2005CCM
8 Edward Lowassa
(1953–2024)
30 Desemba 20057 Februari 2008CCM
9 Mizengo Pinda
(1948–)
9 Februari 200820 Novemba 2015CCM
10 Kassim Majaliwa
(1960–)
20 Novemba 201513 November 2025CCM
11 Mwigulu Nchemba
(1975–)
13 Novemba 2025mwenye majukumuCCM
  1. Katiba ya Tanzania, fungu 52: ana "ana madaraka juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hata siku wa kazi na shughuli za serikali; ...atakuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni; ...atatekeleza au kusababisha utekelezaji wa jambo lolote au mambo yoyote ambayo Rais ataagiza "
  2. Katiba ya Tanzania, fungu 51 ""Kutakuwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano atakayeteuliwa na Rais; ...uteuzi wake uwe umethibitishwa na Bunge kwa azimio litakaloungwa mkono na kura za Wabunge walio wengi."
  3. Katiba fungu 54,2
  4. Died in office.

See also

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]