Jenista Joakim Mhagama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Jenista Mhagama)

Jenista Joakim Mhagama (amezaliwa 23 Juni 1967) ni mbunge wa jimbo la Peramiho katika bunge la kitaifa nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Pia amekuwa Waziri katika serikali ya awamu ya tano[2] na ya sita vilevile.

Jenista kwa kabila ni Mngoni.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Jenista Joakim Mhagama". 21 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. 
  2. https://www.mwananchi.co.tz/nani-ni-nani-serikali-ya-jpm-jenista-mhagama/1596774-3039628-1234fil/index.html Gazeti la Mwananchi (Januari 19, 2016) Jenista Mhagama – Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu