Ngiri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Gwasi)
Ngiri
Dume la ngiri mashariki (Phacochoerus a. massaicus)
Dume la ngiri mashariki (Phacochoerus a. massaicus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Artiodactyla (Wanyama wanaokanyaga kwa kwato mbili-mbili))
Nusuoda: Suina (Wanyama kama nguruwe)
Familia: Suidae (Wanyama walio na mnasaba na nguruwe)
Jenasi: Phacochoerus (Ngiri)
F. Cuvier, 1826
Ngazi za chini

Spishi 2, nususpishi 6:

Kutoka Wikipedia, ensaiklopidia huru

Ngiri, gwasi au mbango (Kiing. warthog) ni wanyama wa jenasi Phacochoerus katika familia Suidae. Hawa ni aina za nguruwe-mwitu wenye sugu kubwa kichwani, madume hasa (sababu ya jina lao kwa Kiingereza). Wana pamba ndefu, zile za dume ndefu kuliko zile za jike. Hula manyasi, mizizi, beri na matunda mengine, gamba la miti, nyoga na hata mayai, mizoga na pengine wadudu na wanyama wadogo. Wakila hupiga magoti ya mbele na wakitoroka kitisho huweka mkia juu wima.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ngiri kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.