Mdudu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mdudu (mkubwa dudu pia) kwa lugha ya mitaani ni aina ya mnyama mdogo asiye vertebrata, yaani mnyama bila uti wa mgongo. Wanyama waitwao “wadudu” wana miguu kwa kawaida (k.m. buibui, nge, jongoo au wadudu wa kweli).

Lakini hata wanyama wadogo bila miguu huitwa wadudu kwa lugha ya kawaida, wanyama wadogo sana hasa (chini ya sentimita moja). Hawa huitwa vidudu (k.m. kidudu-dubu) au hata vijidudu (kwa kawaida viumbe vinavyoonekana chini ya hadubini tu) pia.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Wadudu wa kweli.

Yote "dudu"?[hariri | hariri chanzo]