Mguu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa mguu wa binadamu.

Mguu ni sehemu ya mwili chini ya kiwiliwili.

Binadamu huwa na miguu miwili na anaitumia kwa kutembea amesimama wima. Wanyama wengi wana miguu minne na kuitumia yote pamoja kwa kutembea.

Mguu ni moja ya sehemu zenye umuhimu mkubwa katika jamii.

Shida za miguu[hariri | hariri chanzo]

Kati ya shida zilizo za kawaida kwa miguu ya binadamu ni kama kuibuka vidonda vya fungi, gout, maumivu kwa kuvalia viatu vinavyobana, kuubuka ngozi na miguu kuwa kombo hasa unapopata ajali.

Shida hizo zafaa ziangaliwe kadiri zinapochipuka. Inafaa pia uvalie viatu visivyobana na kama miguu inakwenda kombo uvalie arch braces.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya anatomia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mguu kama matumizi yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.