Alcelaphinae

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 17:20, 11 Novemba 2014 na Rberetta (majadiliano | michango) (Ongeza elezo la nusuoda.)
Alcelaphinae
Kongoni mashariki (Alcelaphus buselaphus)
Kongoni mashariki
(Alcelaphus buselaphus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Artiodactyla (Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
Nusuoda: Ruminantia (Wanyama wanaocheua)
Familia: Bovidae (Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe)
J. E. Gray, 1821
Nusufamilia: Alcelaphinae (Wanyama wanaofanana na kongoni)
Brooke, 1876
Ngazi za chini

Jenasi 4:

Alcelaphus de Blainville, 1816
Beatragus Heller, 1891
Connochaetes de Blainville, 1816
Damaliscus Sclater & Thomas, 1894

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Alcelaphinae ni nusufamilia ndogo katika familia Bovidae. Spishi zake zinafanana na kongoni. Nusufamilia hii ina jenasi nne ndani yake:

Jenasi za kabla ya historia

Fuvu la Damalops palaeindicus, Pleistocene ya Uhindi

Picha

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.