Jimbo Katoliki la Bururi
Jimbo Katoliki la Bururi (kwa Kilatini "Dioecesis Bururiensis") ni mojawapo kati ya majimbo 8 ya Kanisa Katoliki nchini Burundi na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na Jimbo Kuu la Bujumbura.
Askofu wake ni Venant Bacinoni.
Historia[hariri | hariri chanzo]
Uongozi[hariri | hariri chanzo]
Takwimu[hariri | hariri chanzo]
Eneo ni la kilometa mraba 5,776, ambapo kati ya wakazi 1,256,000 (2012) Wakatoliki ni 467,000 (37.2%).