Hector Berlioz

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hector Berlioz.

Hector Berlioz (11 Desemba 1803 - 8 Machi 1869katika jiji la Paris) alikuwa mtunzi maarufu wa opera kutoka nchini Ufaransa. Alikuwa moja kati ya watunzi wakubwa wa opera wa karne ya 19. Miziki yake pia ilikuwa ya kipindi maarufu cha kukaribisha karne mpya, yaani karne ya 18 kwenda 19 au kwa jina lililo maarufu ni Romantic period.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hector Berlioz kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.