Johannes Brahms

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Johannes Brahms
Johannes Brahms

Johannes Brahms (7 Mei 1833 Hamburg - 3 Aprili 1897 Vienna) alikuwa mtungaji wa muziki kutoka nchi ya Ujerumani. Alizaliwa katika familia ya wanamuziki alianza kutunga muziki kwa ajili ya piano. Baadaye aliendelea kutunga simfonia 4 halafu muziki ndogondogo.

Nje ya kutunga muziki alipiga piano na watu walipenda kumsikiliza.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Johannes Brahms" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Johannes Brahms kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.


Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber
Vifaa binafsi