Felix Mendelssohn
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jakob Ludwig Felix Mendelssohn Bartholdy, anafahamika zaidi kama Felix Mendelssohn (3 Februari 1809 – 4 Novemba 1847) alikuwa mtunzi wa Opera, mpigaji kinanda na mwelekezi maarufu kutoka nchini Ujerumani. Huyu nae alikuwa mmoja kati ya watunzi mashuhuri wa kipindi cha Romantic.
Viungo vya nje [hariri]
- Felix Mendelssohn House and Foundation, Leipzig
- Some info about the Mendelssohn's Violin Concerto at violinmp3.com
- Shughuli au kuhusu Felix Mendelssohn katika maktaba ya WorldCat catalog
- The Mendelssohn Project A project with the objective of "recording of the complete published and unpublished works of Felix and Fanny Mendelssohn".
- Complete recording of Songs without Words by Daniel Gortler
| Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Felix Mendelssohn kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |