Mily Balakirev

Kutoka Wikipedia

Mily Balakirev.
Mily Balakirev.

Mily Alexanyevich Balakirev (alizaliwa mjini Nizhny-Novgorod 2 Januari 1837 - St. Petersburg 29 Mei 1910) alikuwa mtunzi aliyemaarufu kwa Opera kutoka nchini Urusi. Mara nyingi alikuwa akitunga nyimbo kwa ajili ya orchestra, kwaya na piano na nyimbo pekee. Vilevile anasifika kwa kutunga nyimbo nyingi zenye kusifia utaifa wa Urusi.

[hariri] Viungo vya nje


WikiMedia Commons



Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mily Balakirev" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mily Balakirev kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.



Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber
Vifaa binafsi