Richard Wagner

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Richard Wagner.

Richard Wagner (Leipzig, Ujerumani, 22 Mei 1813 - Venezia, Italia, 13 Februari 1883) alikuwa mtunzi wa sanaa mbalimbali za muziki na michezo (opera) kutoka nchini Ujerumani. Alikuwa mmoja kati ya watunzi muhimu wa miziki ya mapenzi kwa kipindi cha karne ya 18-19. Mbali na miziki aliyotunga akiwa kama mwanafunzi vilevile ameandika tunzi kumi tofauti za sanaa mbalimbali (opera) ambazo leo hii zinatumika katika majumba ya sanaa duniani.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Wikisource ina maelezo kamili yahusianayo na makala hii:

Sanaa mbalimbali (Operas)[hariri | hariri chanzo]

Tungo[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Mabao[hariri | hariri chanzo]

Mengineyo[hariri | hariri chanzo]

Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Richard Wagner kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.