Bedřich Smetana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Bedřich Smetana.
Bedřich Smetana.

Bedřich Smetana ( 22 Machi 1824 - 12 Mei 1884) alikuwa mtunzi maaurufu wa opera kutoka katika Jamhuri ya Watu wa Cheki. Naye alikuwa mmoja wa waunzi maarufu wa karne ya 18 na 19-Romantic period.

Muziki wake ulikuwa wa mwundo wa kikwao yaani, Ucheki. Alitunga opera nane zenye kuelezea haditihi za utaifa wa watu wa Cheki. Pia alitunga nyimbo sita ambazo zilikuwa zikisifia nchi yake, moja kati ya nyimbo hizo ni Ma Vlast ambayo inamaana ya “Nchini Kwangu”.

[hariri] Viungo vya nje


Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Bedřich Smetana" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bedřich Smetana kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber
Vifaa binafsi