Charles-Valentin Alkan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Charles-Valentin Alkan.

Charles-Valentin Alkan (30 Novemba 1813 - 29 Machi 1888) alikuwa mtunzi wa muziki na mpigaji wa kinanda maarufu kutoka nchi ya Ufaransa.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Charles-Valentin Morhange; wakati wa utoto yeye na ndugu zake wakatumia jina la baba yao Lakan kama jina la familia.

Charles-Valentin alikuwa mpigaji kinanda mashuhuri na mwenye uwezo wa kupiga kinanda haraka zaidi na alitunga tungo nyingi za kinanda, ambazo nyingi zilikuwa vigumu kwa watu wengine kuweza kuzipiga.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Tunzi na nakala za muziki[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Charles-Valentin Alkan kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.