Gustav Mahler

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gustav Mahler kunako miaka ya 1909.
Gustav Mahler kunako miaka ya 1909.

Gustav Mahler (7 Julai, 186018 Mei, 1911) alikuwa mtunzi wa Opera na mwelekezi wa Kibohemia-Kiaustria. Mahler alipata kufahamika sana wakati wa uhai wake kwa kuwa kama mwelekezi wa mabendi yaani conductor ma muziki. Pia akawa mmoja kati ya waliopata kufahamika katika kipindi cha Romantic, ingawaje muziki wake haujakubalika kisawasawa katika kituo cha muziki cha mjini Vienna wakati wa uhai wake.

[hariri] Viungo vya nje

  • Recordings, books and sheet music
    • Project Gutenberg Australia has a biography of Gustav Mahler by Gabriel Engel (1892-1952), Gustav Mahler, Song Symphonist
    • Mahler ame orodheshwa katika International Music Score Library Project
    • "What the Universe Tells Me: Unraveling the Mysteries of Mahler's Third Symphony" a 2 DVD set from VAI


WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:



Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber


Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Gustav Mahler" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Gustav Mahler kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi