Franz Berwald

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Franz Berwald.

Franz Adolf Berwald (23 Julai 17963 Aprili 1868) alikuwa mtunzi maarufu wa Opera kutoka nchini Uswidi. Nae alikuwa mmoja kati ya watunzi muhimu wa Opera wa karne ya 19. Alizaliwa mjini Stockholm, na huyu hakubahatika kuwa na wapenzi kabisa katika tungo zake. Hivyo ikamgharimu kutafuta njia nyingine za kumwezesha kuishi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Franz Berwald kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.



Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber