Carl Maria von Weber

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Carl Maria von Weber.

Carl Maria von Weber (alizaliwa mjini Eutin, Holstein, kunako tar. 18 Novemba 1786 na kufariki mjini London kunako tar. 5 Juni 1826) alikuwa mtunzi wa Opera muhimu na mashuhuri kutoka nchini Ujerumani. Bwana huyu alitunga opera nyingi tu, na tungo hizo ni kama vile Der Freischütz, Euryanthe na Oberon ambazo ndiyo maarufu. Aliandika ala za muziki wa ajili ya mabendi mbalimbali, na ala hizo zilitungika vizuri sana.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Carl Maria von Weber kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber