Giuseppe Verdi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Giuseppe Verdi.
Giuseppe Verdi.

Giuseppe Verdi (aliz. mjini Roncole karibu na Busseto, 9au 10 Oktoba 1813 - alifariki [Milan] mnamo 27 Januari 1901) alikuwa mtunzi opera kutoka nchini Italia.

Yaaminika kwamba Verdi na Richard Wagner walikuwa watunzi wakubwa kabisa wa muziki ya opera kwa kipindi cha karne ya 19, ingawaje walikuwa wakiishi nchi tofauti.

[hariri] Viungo vya nje


Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Giuseppe Verdi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Giuseppe Verdi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber

Vifaa binafsi