Filipo Neri
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Filipo Neri katika mavazi ya ibada kama padri.
Filipo Neri (Firenze 22 Julai 1515 - Roma 27 Mei 1595), alikuwa padri wa Kanisa Katoliki na mwanzilishi wa shirika la Waoratori.
Alitangazwa na Papa Paulo V kuwa mwenye heri tarehe 11 Mei 1615, halafu tarehe 12 Machi 1622 Papa Gregori XV alimtangaza mtakatifu.
Marejeo [hariri]
- Alfonso Capecelatro, The life of Saint Philip Neri, Apostle of Rome v.1 (1894)
- The life of Saint Philip Neri, Apostle of Rome v.2 (1894)
- Bacci, Pietro Giacomo. The life of Saint Philip Neri, Apostle of Rome, and founder of the congregation of the oratory(1902)
Viungo vya nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Maxims of St. Philip Neri
- Catholic Encyclopedia article
- As described by Goethe
- Filippo Neri's memo to Pope Clement VIII
- Founder Statue in St Peter's Basilica
- St. Philip Neri Church, Kalamulla, Sri Lanka
- Oratorio de San Felipe Neri de Getafe, España
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Filipo Neri kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |