Upendo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Maadili ya Kimungu |
|---|
|
|
Upendo ni neno linalotumika kwa maana mbalimbali kuanzia hali ya nafsi hadi kwa Mungu. Linafanana na pendo, mapendo, mapenzi, n.k. Hapa linatumika kwa maana ya juu zaidi kulingana na Kigiriki "agape" na Kilatini "caritas".
Katika teolojia ya Ukristo ni mojawapo kati ya maadili ya Kimungu, pamoja na imani na tumaini.