Upendo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Giotto, Upendo, Padua
Maadili ya Kimungu

Upendo ni neno linalotumika kwa maana mbalimbali kuanzia hali ya nafsi hadi kwa Mungu. Linafanana na pendo, mapendo, mapenzi, n.k. Hapa linatumika kwa maana ya juu zaidi kulingana na Kigiriki "agape" na Kilatini "caritas".

Katika teolojia ya Ukristo ni mojawapo kati ya maadili ya Kimungu, pamoja na imani na tumaini.