Waoratori

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Filipo Neri.

Waoratori ni mapadri na mabruda wa Kanisa Katoliki wanaoishi pamoja kijumuia kwa kufungwa na upendo, bila ya nadhiri.

Shirika hilo lilianzishwa na Filipo Neri (15151595) mjini Roma. Leo lina nyumba zaidi ya 70 ulimwenguni kote, zikiwa na mapadri 500 hivi.[1]

Yaliyomo

[hariri] Watakatifu wa shirika

[hariri] Wenye heri wa shirika

[hariri] Tanbihi

  1. History. The London Oratory. Rudishwa juu ya 2007-12-24.

[hariri] Viungo vya nje

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine