Volfang wa Regensburg
Mandhari

Wolfgang wa Regensburg, O.S.B. (934 hivi – 31 Oktoba 994) alikuwa askofu wa Regensburg, Bavaria, Ujerumani, kuanzia Krismasi 972 hadi kifo chake.
Kisha kufanya kazi kama mwalimu wa shule ya kanisa kuu la Trier, halafu kushika maisha ya kimonaki na kupewa upadirisho, alipoteuliwa kuwa askofu, alirudisha nidhamu kati ya wakleri akafa kwa unyenyekevu wakati wa ziara ya kichungaji huko Pupping, leo nchini Austria [1].
Anatazamwa kuwa mmojawapo wa maaskofu bora wa Ujerumani wakati wake pamoja na Ulrich wa Augsburg na Konradi wa Konstanz.
Alitangazwa mtakatifu na Papa Leo IX tarehe 8 Oktoba 1051 na anaheshimiwa hivyo na Waorthodoksi na Waanglikana pia.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Der heilige Wolfgang, Bischof von Regensburg; historische Festschrift zum neunhundertjährigen Gedächtnisse seines Todes, ed., in connection with numerous historical scholars, by MEHLER (Ratisbon, 1894), among the chief collaborators on this work being BRAUNMULLER, RINGHOLZ (of Einsiedeln), and DANNERBAUER; KOLBE, Die Verdienste des Bischofs Wolfgang v. R. um das Bildungswesen Suddeutschlands. Beitrag z. Gesch. der Padogogik des X und XI Jahrhunderis (Breslau, 1894);
- WATTENBACH, Deutschlands Geschichtsquellen im Mittelalter, I (Berlin, 1904), 449-452;
- DETZEL, Christl.
- Iknographie, II (Freiburg, 1896), 683;
- POTTHAST, Bibl. medii aevi, II (Berlin, 1896), 1641.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
