Nenda kwa yaliyomo

Bavaria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Bavaria katika Ujerumani
bendera ya Bavaria

Bavaria (Kijerumani: Bayern) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 12,5 kwenye eneo la 70 551 km². Mji mkuu ni München. Waziri mkuu ni Markus Söder (CSU).

Jiografia

[hariri | hariri chanzo]

Hesse imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Baden-Württemberg, Hesse, Thuringia na Saksonia.

Miji mikubwa ni pamoja na München, Nürnberg, Augsburg na Würzburg.

Danubi na Main ni mito muhimu zaidi.

Picha za Bavaria

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bavaria kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


 
Majimbo ya Ujerumani
Baden-Württemberg Bavaria (Bayern) Berlin Brandenburg Bremen Hamburg Hesse (Hessen) Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Mecklenburg-Vorpommern) Saksonia Chini (Niedersachsen) Rhine Kaskazini-Westfalia (Nordrhein-Westfalen) Rhine-Palatino (Rheinland-Pfalz) Saar (Saarland) Saksonia (Sachsen) Saksonia-Anhalt (Sachsen-Anhalt) Schleswig-Holstein Thuringia (Thüringen)