18 Januari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: xmf:18 ღურთუთა |
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: zea:18 januari Badiliko: sh:18. 1. |
||
Mstari 135: | Mstari 135: | ||
[[sco:18 Januar]] |
[[sco:18 Januar]] |
||
[[se:Ođđajagimánu 18.]] |
[[se:Ođđajagimánu 18.]] |
||
[[sh:18.1.]] |
[[sh:18. 1.]] |
||
[[simple:January 18]] |
[[simple:January 18]] |
||
[[sk:18. január]] |
[[sk:18. január]] |
||
Mstari 164: | Mstari 164: | ||
[[yi:18טן יאנואר]] |
[[yi:18טן יאנואר]] |
||
[[yo:18 January]] |
[[yo:18 January]] |
||
[[zea:18 januari]] |
|||
[[zh:1月18日]] |
[[zh:1月18日]] |
||
[[zh-min-nan:1 goe̍h 18 ji̍t]] |
[[zh-min-nan:1 goe̍h 18 ji̍t]] |
Pitio la 03:09, 21 Septemba 2011
Des - Januari - Feb | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
- 1535 - Francisco Pizarro anaunda mji wa Lima (Peru).
- 1701 - Mtemi Friedrich wa Brandenburg (Ujerumani) anabarikiwa kuwa na cheo cha mfalme katika Prussia
- 1871 - Mfalme Wilhelm I wa Prussia anatangazwa kuwa Kaisari wa Ujerumani mjini Versailles (Ufaransa)
Waliozaliwa
- 1849 - Edmund Barton, Waziri Mkuu wa kwanza wa Australia
- 1867 - Rubén Darío, mwandishi kutoka Nikaragua
Waliofariki
- 1471 - Go-Hanazono, mfalme mkuu wa Japani (1428-1464)
- 1862 - John Tyler, Rais wa Marekani (1841-1845)
- 1936 - Rudyard Kipling (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1907)
- 1982 - Huang Xianfan, mwanahistoria kutoka China
- 1995 - Adolf Butenandt (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1939)