Illuminati


Illuminati (maana ya Kilatini: "wale walioangazwa") ilikuwa jamii ya siri. Adamu Weishaupt, mwanafalsafa na mwanasheria, alianzisha jamii hiyo mwaka wa 1776.
Mwanzoni, walipinga ushirikina, chuki, ushawishi wa dini juu ya maisha ya umma, na ukiukwaji wa nguvu za serikali. Waliunga mkono elimu kwa wanawake na usawa wa jinsia.
Illuminati pamoja na Freemasonry na vyama vingine vya siri vilipigwa marufuku kwa amri ya Charles Theodore mteule wa Bavaria, kwa kutiwa moyo na Kanisa Katoliki, mnamo 1784, 1785, 1787 na [[17