Sheria : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ln:Mambí ma mibéko
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{otheruses6|Sheria (disambiguation)|Kisheria (disambiguation)}}
Neno la '''Sheria''' lina asili ya [[Kiarabu]] (شريعة '''Shari'ah''') na kulingana na [[KKS|Kamusi ya Kiswahili Sanifu]], iliyotolewa na [[TUKI]] ([[Dar es Salaam]]), '''Sheria''' ni:
[[File:JMR-Memphis1.jpg|thumb|200px|right|[[Mwanamke wa Haki]] ni ishara ya idara ya sheria.<ref>Hamilton, Marci. ''[http://books.google.com/books?id=Ox4_vqFCjcEC&pg=PA296&dq=%22lady+justice%22+symbol&lr=&as_brr=3&ei=uXb8Se-IC4GuyATlm5SPBg God vs. the Gavel]'', page 296 (Cambridge University Press 2005): “The symbol of the judicial system, seen in courtrooms throughout the United States, is blindfolded Lady Justice.”</ref><ref>Fabri, Marco. ''[http://books.google.com/books?id=AwwH0F8iC9QC&pg=PA137&dq=%22lady+justice%22+symbol&lr=&as_brr=3&ei=uXb8Se-IC4GuyATlm5SPBg The challenge of change for judicial systems]'', page 137 (IOS Press 2000): “the judicial system is intended to be apolitical, its symbol being that of a blindfolded Lady Justice holding balanced scales.”</ref> [[Justice]] is depicted as a [[goddess]] equipped with three symbols of the [[rule of law]]: a sword symbolizing the court's coercive power; scales representing the weighing of competing claims; and a blindfold indicating impartiality.<ref>Luban, ''Law's Blindfold'', 23</ref>]]


'''Sheria'''<ref>From [[Old English]] ''lagu'' "Words of Mel"; ''legal'' comes from [[Latin]] ''legalis'', from ''[[translating "law" to other European languages|lex]]'' "law", "statute" ([http://www.etymonline.com/index.php?search=law&searchmode=none Law], Online Etymology Dictionary; [http://www.merriam-webster.com/dictionary/legal Legal], Merriam-Webster's Online Dictionary)</ref> ni [[mfumo]] wa kanuni, ambazo kwa kawaida hutekelezwa kupitia seti ya [[taasisi]].<ref>Robertson, ''Crimes against humanity'', 90; see "[[analytical jurisprudence]]" for extensive debate on what law is; in ''[[The Concept of Law]]'' Hart argued law is a "system of rules" (Campbell, ''The Contribution of Legal Studies'', 184); Austin said law was "the command of a sovereign, backed by the threat of a sanction" (Bix, [http://plato.stanford.edu/entries/austin-john/#3 John Austin]); Dworkin describes law as an "interpretive concept" to achieve [[justice]] (Dworkin, ''Law's Empire'', 410); and Raz argues law is an "authority" to mediate people's interests (Raz, ''The Authority of Law'', 3–36).</ref> Inaumba [[siasa]], [[uchumi]] na [[jamii]] kwa njia mbalimbali na huwa kama kipatanishi msingi cha kijamii kati cha uhusiano baina ya watu. [[Sheria ya mkataba]] huongoza kila kitu kuanzia kununua tiketi ya basi hadi biashara katika [[(fedha)|masoko]]. [[Sheria ya mali]] inafafanua haki na wajibu unaohusiana na uhamisho wa jina la [[Mali ya kibinafsi|kibinafsi]] (wakati mwingine hujulikana kama "chattel") na [[mali ya kweli]]. [[Sheria ya Hifadhi]] inatumika kwa mali yanayotumika kwa uwekezaji na usalama wa kifedha , huku sheria ya [[kukiuka wajibu]] inaruhusu madai ya fidia ikiwa haki za mtu au mali [[Kanuni ya madhara|yanafanyiwa madhara]]. Ikiwa madhara ni kinyume cha sheria, [[sheria ya jinai]] inatoa mbinu zinazoweza kutumika na taifa ili kumshataki mhusika. [[Sheria ya kikatiba]] inatoa mfumo wa uumbaji wa sheria, ulinzi wa [[haki za kibinadamu]] na kuchaguliwa kwa wawakilishi wa kisiasa. [[Sheria ya utawala]] inatumika kuangalia upya maamuzi ya vyombo vya kiserikali, huku [[sheria ya kimataifa]] inatawala shughuli baina ya [[nchi]] huru katika zinzohusu mambo kama vile [[biashara]], vikwazo vya kimazingira na hatua za kijeshi. Akiandika mnamo 350 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu, mwanafalsafa wa [[Ugiriki ya zamani|Kigiriki]] [[Aristotle]] alisema, "[[Utawala wa sheria]] ni bora kuliko utawala wa mtu yeyote binafsi."<ref>n.b. this translation reads, "it is more proper that law should govern than any one of the citizens: upon the same principle, if it is advantageous to place the supreme power in some particular persons, they should be appointed to be only guardians, and the servants of the laws." (Aristotle, ''Politics'' [[s:Politics (Aristotle)/Book 3#3:16|3.16]]).</ref>
A)


Mifumo ya kisheria inaelezea kuhusu [[haki]] na majukumu kwa njia mbalimbali. Tofauti ya jumla inaweza kufanywa kati ya [[maeneo yanayotawaliwa]] na [[Sheria ya kisheria(mfumo wa sheria)|sheria ya kiraia]], ambazo huandika sheria zao, na mifumo ya [[sheria za kawaida]], ambapo sheria iliyotengenezwa na hakimu haijaundwa kwa utaratibu. Katika baadhi ya nchi, [[sheria ya kidini|dini]] bado hutumika katika sheria maalum. Sheria ni chanzo kuu la uchunguzi wa kitaalam, wa [[historia ya kisherai]], [[falsafa ya kisheria|falsafa]], [[uchambuzi wa kiuchumi wa sheria|uchambuzi wa kiuchumu]] au [[somo la kijamii kuhusu sheria|somo la kijamii]]. Sheria pia huibua masuala muhimu na magumu kuhusu [[usawa]], uadilifu na [[haki]]. "katika usawa wake wa kifahari", alisema mwandishi [[Anatole France]] mnamo mwka wa 1894, "sheria inakataza matajiri na mafukura kulala chini ya madaraja, kuombaomba barabarani na kuiba mikate."<ref>The original French is: "La loi, dans un grand souci d'égalité, interdit aux riches comme aux pauvres de coucher sous les ponts, de mendier dans les rues et de voler du pain" (France, ''The Red Lily'', [http://www.online-literature.com/anatole-france/red-lily/8/ Chapter VII]).</ref> Katika [[demokrasia]] ya kawaida, taasisi za msingi za kutafsiri na kuunda sheria ni matawi matatu makuu ya [[serikali]], ambayo ni [[mahakama]] yasiyokuwa na mapendeleo, [[bunge]] la kidemokrasia, [[serikali]] yenye kuwajibika. Ili kutekeleza na kutumia nguvu ili sheria ifuatwe na kutoa huduma kwa umma, ukiritimba wa serikali, jeshi na polisi ni muhimu. Viungo hivi vyote vya taifa ni vimube vilivyoundwa na kutawaliwa na sheria, [[wakili|taaluma ya kisheria]] iliyo huru na [[jamii ya kiraia]] yenye bidii zinajulisha na kusaidia maendeleo.
1) amri zinazotungwa na [[bunge]] la nchi fulani ili kusimamia taratibu za nchi hiyo na ambazo ni lazima zifuatwe na watu waliomo humo na anayekwena kinyume nazo hupewa adhabu na mahakama.


==Masomo ya Kisheria==
2) kanuni zinazotungwa na chombo kama vile halmashauri, na kadhalika kilichopewa mamlaka na bunge ili kusimamia taratibu za mahali fulani kama vile mji, kampuni, mashirika, na kadhalika.


Mifumo yote ya kisheria inahusu na mwaswala ya kimsingi, lakini kila taifa inaainisha na kubainisha masomo yake ya kisheria kwa njia mbalimbali. Tofauti ya kawaida ni kuwa "[[sheria ya umma]]" (maneno yanayohusika kwa karibu na [[Taifa(sheria)|taifa]], na kuhusisha sheria ya kikatiba, kitawala na ya jinai), na "[[sheria ya kibinfasi]]" (inayohusisha mkataba, , [[sheria ya kukiuka wajibu]] na mali).<ref> Although many scholars argue that "the boundaries between public and private law are becoming blurred", and that this distinction has become mere "folklore" (Bergkamp, ''Liability and Environment'', 1–2).</ref> Katikamifumo ya [[sheria ya kirai(mfumo wa sheria)|sheria ya kirai] , mkataba na kukiuka wajibu zinapatikana chini ya [[sheria ya majukumu]] huku sheria ya hifadhi inapatikana chini ya serkali za halali au [[Mkataba wa Hague wa Sheria inayotumika kwa Hifadhi na kwa jinsi ya Kuzijua|mikataba ya kimataifa]. Sheria ya Kimataifa, kikatiba, kitawala, jinai, mkataba, kukiuka wajibu na mali na [[sheria ya hifadhi|hifadhi]] zinatambulika kama "masomo msingi ya jadi",<ref>E.g. in England these seven subjects, with EU law substituted for international law, make up a "qualifying law degree". For criticism, see [[Peter Birks]]' poignant comments attached to a previous version of the [http://webjcli.ncl.ac.uk/articles1/birks1.html#appendix Notice to Law Schools].</ref> ingawa kuna [[Sheria#Masomo zaidi|masomo zaidi]] ambayo yanaweza kuwa na umuhimu mkubwa zaidi wa kiutendaji.
3) ''sheria za mila'' ambazo ni kanuni zinazoendesha taratibu za jamii au [[kabila]] fulani ambazo aghalabu hutumika ili kuleta suluhu badala ya kutoa adhabu.


B)


===Sheria ya Kimataifa===
- kanuni zinazoendesha taratibu za maisha ya waumini wa dini fulani na ambazo zinatoka Mwenyezi Mungu.
{{main|Sheria ya umma ya kimataifa|Mgongano wa sheria|Sheria ya Umoja wa Ulaya}}
[[File:Naciones Unidas 3.jpg|right|thumb|Ikitoa katiba ya sheria ya kimataifa ya umaa, mfumo wa [[Umoja wa Mataifa]] ulikubaliwa wakati wa [[Vita Vikuu vya Pili vya Dunia]]]]


Makala inayofuata imeandikwa kulingana na itikadi ya kidini kwa hiyo inafuata maelezo B.


Sheria ya kimataifa inaweza kuashria mambo matatu: sheria ya umma ya kimataifa, sheria ya kibinafsi ya kimataifa au mgongano wa sheria na sheria ya mashirika makubwa ya kimataifa.
Mara nyingi neno sheria hutumika kwa maana ya Kanuni katika mazungumzo ya kawaida, lakini Sharia hasa ni hukumu alizoziteremsha Mwenyezi Mungu kwa Mitume na Manabii kunadhimu maisha ya wanadamu hapa duniani. Ama Kanuni, huwa ni hukumu zilizopangwa na wanadamu kuendesha maisha yao katika mambo ambayo Sharia haikugusia.


*'''[[Sheria ya Umma ya Kimataifa]]''' inajihusisha na uhusiano kati ya mataifa uhuru. [[Vyanzo vya sheria ya kimataifa|Vyanzo]] vya maendeleo ya sheria ya umma ya kimataifa ni [[Desturi(sheria)|desturi]], mwenendo na mikataba kati ya nchi huru [[Mikataba ya Geneva]]. Sheria ya umma ya kimataifa inaweza kutengezwa na [[mashirika ya kimataifa ]], kama vile [[Umoja wa Mataifa]] (ambao ilianzishwa baada ya kushindwa kwa [[Shirikisho la Kimataifa]] kuzuia [[Vita vya Vikuu vya Pili vya Dunia]]),<ref>[http://www.un.org/aboutun/history.htm History of the UN], United Nations. [[Winston Churchill]] (''The Hinge of Fate'', 719) comments on the League of Nations' failure: "It was wrong to say that the League failed. It was rather the member states who had failed the League."</ref> [[Shirika la Kimataifa la Ajira]], [[Shirika la Kimataifa la Biashara]], au [[Shirika la Fedha la Kimataifa]]. Sheria ya kimatifa ya umma ina hadhi maalum kama sheria kwa sababu hakuna kikozi cha kimataifa cha polisi, na mahakama (kama vile [[Mahakama ya Kimataifa ya Haki]] kama tawi la kimsingi la Umoja wa Mataifa la mahakama) halina uwezo wa kuadhibu kutokutii.<ref>The prevailing manner of enforcing international law is still essentially "self help"; that is the reaction by states to alleged breaches of international obligations by other states (Robertson, ''Crimes against Humanity'', 90; Schermers-Blokker, ''International Institutional Law'', 900–901).</ref> Hata hivyo, miili michache, kama vile WTO, ina mifumo yenye ufanisi ya utatuzi wa kudumu na utatuzi wa mogogoro inayoambatana na vikwazo vya kibiashara.<ref>Petersmann, ''The GATT/WTO Dispute Settlement System'', 32</ref>
Sharia tofauti na Itikadi (Imani) ambayo ni thabiti, ni jambo linalokuwa na kubadilika kwa mujibu wa wakati na zama mbali mbali na huwa inalingana na mazingira ya watu wanapoishi. Mitume waliletwa kwa wanadamu na kuletewa Sharia ili waweze kudhibiti maisha ya jamii zao, kusikuwepo na dhulma wala kukiuka mipaka.


* '''[[Mgongano wa sheria]]''' (au "sheria ya kibinafsi ya kimataifa" katika nchi za [[sheria ya raia (mfumo wa sheria)|sheria ya kiraia]]) unahusisha [[maeneo ya kimamlaka ya kisheria]] ya mgogoro wa kisheria baina ya watu wa kibinafsi unafaa kusikizwa na sheria za maeneo gani ya kimamlaka ya kisheria ndiyo inayofaa kutumika.Leo, biashra zinazidi kuwa na uwezo wa kusongeza minyororo ya ugavi ya [[Mtaji (uchumi)|mtaji]] na [[ajira (economics)|ajira]] kuvuka mipaka, na pia kufanya biashara na kampuni za nchi za ng'ambo, hivyo kulifanya swali kuhusu nchi ipi ndiyo inayomamlaka ya kisheria kuwa muhimu zaidi. Idadi kubwa zaidi ya biashara zinachagua usuluhishi wa kibiashara chini ya [[Tuzo la Mkataba wa Utambuzi na Utendaji wa Masuluhisho ya Kimataifa|Mkataba wa New York wa mnamo mwaka1958]].<ref>Redfem, ''International Commercial Arbitration'', 68–69</ref>
Kwa hivyo, Mwenyezi Mungu aliweka mipaka ya kila kitu na kufafanua kwa wanadamu mipaka hii ili wasiipindukie. Ikawa kila jambo katika maisha ya binadamu lina mpaka wake: Chakula mwanadamu ameruhusiwa kula vitu vingi sana, lakini amewekewa mipaka asile vitu fulani, wala asifanye israfu na ubadhirifu katika kula. Ndoa aoe anayempenda katika wanawake, lakini watu aina fulani hawezi kuwaoa, wala kupindukia idadi fulani, wala kukaa na wakeze bila kufanya uadilifu.


*'''[[Sheria ya Umoja wa Ulaya]]''' ndiyo ya kwanza, kufikia sasa, ambayo ni mfano wa [[sheria kuu ya kimataifa|mfano wa sheria kuu ya kimataifa]]. Kutokana na mwenendo wa kuongezeka kwa ushirikiano wa kiuchumi Duniani, mikataba mingi ya kikanda—hasa ya [[Umoja wa Nchi za Marekani ya Kusini]]—zimeanza kuufuata mfano kama huu. Katika Umoja wa Ulaya, nchi huru zimekusanya mamlaka yao katika mfumo wa mahakama na [[Bunge la Ulaya|taasisi za kisiasa]]. Taasisi hizi zinapewa uwezo wa kutekeleza kanuni za kisheria dhidi ya au kwa nchi wanachama na raia katika namna ambayo haiwezekani kupitia sheria ya umma ya kimataifa.<ref>Schermers–Blokker, ''International Institutional Law'', 943</ref> Kama [[Mahakama ya Ulaya ya Haki]] yalivyosema katika miaka ya 1960, sheria ya Umoja wa Umoja wa Ulaya hujumiusha "muundo mpya wa sheria ya kimataifa" kwa ajili ya faida inayotegemeana ya kijamii na kiuchumi wa nchi zote wanachama.<ref> See the [http://eur-lex.europa.eu/LexUriServ/LexUriServ.do?uri=CELEX:61962J0026:EN:HTML C-26/62 ''Van Gend en Loos v Nederlanse Administratie Der Belastingen''], and [http://eur-lex.europa.eu/LexUriServ/LexUriServ.do?uri=CELEX:61964J0006:EN:HTML ''Flaminio Costa v E.N.E.L.''] decisions of the European Court.</ref>
Hii ni mifano ya mipaka, na mipaka kama hii iko katika kila sehemu ya maisha ya mwanadamu, ili watu katika jamii waishi kwa maskilizano, wema na hisani, bila ya kuudhiana wala kukerana.


===Sheria ya Kikatiba na kiutawala===
[[Category:Sheria|*]]
{{main|Sheria ya kikatiba|Sheria ya kiutawala}}
[[Category:Dini]]
[[File:Declaration of Human Rights.jpg|thumb|[[Azimio la Haki za Kibinadamu na za Raia]], ambalo kanuni zake bado zini thamani ya kikatiba]]

Sheria ya kikatiba na kiutawala zinasimamia mambo ya nchi. [[Sheria ya kikatiba]] inahusisha uhusiano baina ya serikali, bunge na mahakama na [[haki za kibinadamu]] au [[uhuru wa kiraia]] wa watu binafsi dhidi ya nchi. Maeneo mengi ya kisheria, kama vile [[Sheria ya Marekani|Marekani]] na [[Sheria ya Ufaransa|Ufaransa]], zina katiba moja iliyoandikwa kwa makini, iliyo na [[Muswada wa Haki]]. Katiba chache kama vile [[Sheria la Uingereza|Uingereza]], hazina hati kama hiyo."Katiba" kwa ufupi ni zile sheria ambazo zinajumuisha [[mwili wa kisiasa]], kutoka [[kanuni]], [[sheria za uamuzi]] na [[Mkataba wa kikatiba(utamaduni wa kisiasa)|mkataba]]. Kesi kwa jina ''[[Entick dhidi ya Carrington]]''<ref>''[[Entick v Carrington]]'' (1765) 19 Howell's State Trials 1030; [1765] [http://www.bailii.org/ew/cases/EWHC/KB/1765/J98.html 95 ER 807]</ref> ilionyesha wazi kanuni ya kikatiba inayotokana na sheria ya kawaifa. Nyumba ya Bwana Entick ilifanyiwa upekekuzi na Afisa mmoja wa polisi aliyeitwa Carrington. Wakati Bwana Entick alipolalamika mbele ya mahakama, Afisa Carrington alidokeza kwamba kibali kutoka waziri wa Serikali, [[George Montague-Dunk, ali wa pili wa Halifax|Ali wa Halifax]], kilikuwa na mamlaka halali. Hata hivyo, hakukuwa na sheria iliyoandikwa au mamlaka ya kimahakama ambayo yalitoa uwezo huo.Hakimu mkuu, [[Charles Pratt, Ali wa kwanza wa Camden|Bwana Camden]], alisema,

<blockquote>Mwisho mkubwa, ambao ulifanya watu kuingia katika jamii, ilikuwa kupata mali. Haki hiyo imetunzwa na ni takatifu na haiwezi kuondolewa wakati wowote, ambapo haijaondolewa au kufupishwa na sheria fulani ya umma kwa manufaa ya wote...Hakuna sababau inayoweza kupatikana au kutolewa, kimya cha vitabu ni mamlaka dhidi ya mshtakiwa, na aliyeathiriwa lazima atendewe haki.<ref>{{cite web | url=http://www.constitution.org/trials/entick/entick_v_carrington.htm | title=Entick v Carrington | work=19 Howell’s State Trials 1029 (1765) | publisher=Constitution Society | location=[[United States|USA]] | accessdate=2008-11-13}}</ref></blockquote>

Kanuni ya kimsingi ya kikatiba, ilitokana na [[Citabu viwili mbili kuhusu Serikali|John Locke]], inadokeza ya kwamba mtu binafsi anaweza kufanya isipokuwa kile ambacho kimekataliwa kisheria.<ref>Locke, ''The Second Treatise'', [[s:Two Treatises of Government/The Second Treatise of Government: An Essay Concerning the True Origin, Extent, and End of Civil Government#2:9|Chapter 9, section 124]]</ref><ref>Tamanaha, ''On the Rule of Law'', 47</ref> Sheria ya utawala ndiyo mbinu msingi ya kufanya mashirika ya umma yawajibike. Watu wanaweza kutumia [[mapitio ya kimahakama]] kwa matendo au uamuzi uliofanywa na za halmashauri za mitaa, huduma za umma au wizara za serikali, kuhakikisha kuwa zinazingatia sheria. Mahakama ya kwanza ya maalum ya kiutawala yalikuwa mahakama ya ''[[Council of State (France)|Conseil d'État]]'' yaliyoundwa mnamo mwaka wa 1799, wakati [[Napoleon I wa Ufaranza|Napoleon]] alipochukua mamlaka nchini Ufaransa.<ref name="A75">Auby, ''Administrative Law in France'', 75</ref>

===Sheria ya jinai===
{{main|Sheria ya jinai}}

Sheria ya jinai, inayojulikana pia kama sheria ya kuadhibu, inahusisha makosa na adhabu.<ref>[[Cesare, Marquis of Beccaria|Cesare Beccaria]]'s seminal treatise of 1763–1764 is titled ''On Crimes and Punishments'' (''[[Dei delitti e delle pene]]'').</ref> Kwa hivyo inapima ufafanuzi wa adhabu ya makosa yaliyopatikana kuwa na madhara yanaonekana kuwa na uwezo wa kusababisha uharibifu lakini, kwa undani, haifanyi uamuzi wa kimaadili kumhusu mkosaji wala kuwekea jamii vikwazo ambavyo vinakataza watu kimwili wasifanye makoa mwanzoni.<ref name="W2">Brody, Acker and Logan, ''Criminal Law'', 2; Wilson, ''Criminal Law'', 2</ref> Investigating, apprehending, charging, and trying suspected offenders is regulated by the law of [[criminal procedure]].<ref name="Br2">Brody, Acker and Logan, ''Criminal Law'', 2</ref> Kesi ya kidhana ya uhalifu inatokana na ushahidi, [[Mzigo wa Ushahidi|kuzidi shaka ya kuridhisha]], kuwa mtu ana hatia ya mambo mawili. Kwanza, mshtakiwa lazima awe amefanya kitendo ambacho kinatazamwa na jamii kuwa hatia, au ''[[actus reus]]'' (kitendo cha hatia).<ref>See e.g. Brody, Acker and Logan, ''Criminal Law'', 205 about ''[[Robinson v California]]'', 370 U.S. 660 (1962).</ref> Pili, lazima mshtakiwa awe na [[dhamira (jinai)|dhamira ya kufanya uharibifu]] ya kufanya kitendoo fulani cha jinai, au ''[[mens rea]]'' (akili ya hatia). Hata hivyo, kwa kile kinachojulikana kama hatia za "[[Dhima kali (jinai)|dhima kali]]", ''actus reus'' haitoshi.<ref>See e.g. Feinman, ''Law 111'', 260–261 about ''[[Powell v Texas]]'', 392 U.S. 514 (1968).</ref> Mifumo ya jinai ya utamaduni wa sheria ya raia zinatofautisha kati ya nia katika dhana pana (''dolus directus'' na ''dolus eventualis''), na uzembe. Uzembe hauna jukumu la jinai isipokuwa ambapo hatia fulani una adhabu yake maalum.<ref>Dörmann, Doswald-Beck and Kolb, ''Elements of War Crimes'', 491</ref><ref>Kaiser, ''Leistungsstörungen'', 333</ref>

[[File:SalemWitchcraftTrial.jpg|thumb|left|Picha inayoonyesha [[kesi]] ya uhalifu, kwa sababu ya [[uchawi]] katika eneo la [[Kesi za wachawi za Salem|Salem]]]]
Mifano ya uhalifu ni [[mauaji]], [[kushambulia]], [[udanganyifu]] na [[wizi]]. Katika mifano maalum utetezi unaweza kutumika kwa vitendo maalum, kama zile kuuwa ili [[nadharia ya utetezi wa kibinafsi|utetezi wa kibinafasi]], au katika nyakati maalum kujitetea kuwa [[utetezi wa wazimi|wazimu]]. Mfano mwingine ni katika kesi ya karne ya 19 ya ''[[Jamhuri dhidi ya Dudley na Stephens]]'', iliyopima utetezi wa "[[kimahitaji]]". Meli ya ''Mignonette'', iliyokuwa ikisafiri kutoka mji wa [[Southampton]] kuelekea mji wa [[Sydney]], ilizama. Wafanyikazi watatu wa meli hiyo na Richard Parker, kijana aliyekuwa na umri wa miaka 17, walibaki katika meli iliyoundwa na vijiti. Walikuwa na njaa na kijana yule alikuwa karibu kufa. Kwa sababu ya kuwa na njaa iliyokithiri, wafanyikazi hao walimuuwa kijana yule na kumla. Wafanyikazi hao waliokolewa, lakini wakafikishwa mahakamani huku wakiwa na hatia ya mauaji. Walijitetea kwa kusema kwamba ilihitajika kwa lazima kwa wao kumuuwa kijana yule ili kuyaokoa maisha yao. [[John Coleridge, Baroni wa Kwanza Coleridge|Bwana Coleridge]], akieleza kukataa kukubwa, aliamua, "kuhifadhi maisha ya kibinafsi ni, kwa kuzungumza kijumla, wajibu, lakini inaweza kuwa jukumu kuu kuyatoa maisha hayo kama kafara." Wanaume hao walihukumiwa [[kunyongwa|nyonga]], lakini maoni ya umma uliunga mkono haki ya wafanyikazi wale wa meli kuyaokoa maisha yao. Mwishowe, [[Ufalme]] ulipunguza hukumu zao hadi miezi sita gerezani.<ref>About ''[[R v Dudley and Stephens]]'' [1884] [http://www.justis.com/titles/iclr_bqb14040.html 14 QBD 273 DC], see Simpson, ''Cannibalism and the Common Law'', 212–217, 229–237</ref>

Makosa ya jinai yanatambulika si tu kama makosa dhidi ya waathirika binafsi, lakini jamii pia.<ref name="W2" /> Taifa, kawaida likisaidiwa na polisi, huongoza mashitaka, basi hiyo ndiyo sababu mbona katika nchi zenye sheria ya kawaida kesi hutajwa kama "''Watu'' dhidi ya..." au "''Jamhuri'' (kwa [[Ufalme|"Rex"]] au [[Malkia reginanti|Regina]]) dhidi ya..." Pia, [[jopo la waamuzi]] ambao hutokana na raia wa kawaida hutumika kuamua hatia ya washitakiwa kutokna na pointi zinazoweza kubainika ukweli: jopo la waamuzi haliwezi kubadilisha kanuni za kisheria. Baadhi ya nchi zilizostawi bado hutumia [[adhabu ya kifo]] kwa matendo ya jinai lakini adhabu ya kawaida ya uhalifu itakuwa ni [[gereza|kufungwa gereza]], [[faini]] usimamizi wa taifa (kama vile probesheni), au [[huduma ya kijamii]]. Sheria ya kisasa ya jinai imeathiriwa vilivyo na sayansi ya jamii, hasa kuhusu [[hukumu(sheria)|kuhukumu]], utafiti wa kisheria, kuunda sheria, na [[kuwasaidia wahalifu kurekesha mwenedo wao]].<ref>Pelser, ''Criminal Legislation'', 198</ref> Katika ngazi ya kimataifa, nchi 108 [[Mktaba wa Sheria ya Roma ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai|wanachama]] wa [[Mahakama ya Kimataifa ya Jinai]], ambayo ilianzishwa kuwahukumu watu kwa [[hatia dhidi ya ubinadamu|hatia dhidi ya ubinadamu]].<ref>[http://www.icc-cpi.int/statesparties.html The States Parties to the Rome Statute], International Criminal Court</ref>

===Sheria ya mkataba===
{{main|Mkataba}}
[[File:carbolic smoke ball co.jpg|thumb|Tangazo maarufu la kampuni ya Carbolic Smoke Ball lidai kuwa lingeweza kutibu [[homa]]. Mahakama yaliamua kuwa tangazo hilo lilikuwa [[mkataba wa mtu yeyote]]]]

Sheria ya mkataba inahusu ahadi zinazowezwa kutendwa, na inaweza kuandikwa kwa ufupi katika maneno ya Kilatini''[[pacta sunt servanda]]'' (ahadi lazima zitimizwe).<ref>Wenberg, ''Pacta Sunt Servanda'', 775</ref> Katika maeneo ya kimamlaka ya sheria ya kawaida, vipengele vitatu muhimu kuhusu utengenezaji wa mkataba vinahitajika: [[kutoa na kukubali]], [[kutilia maanani]] na nia ya kutengeneza uhusiano wa kisheria.Katika kesi ya ''[[Carlill shisi ya Kampuni ya Carbolic Smoke Ball]]'' kampuni ya matibabu ilitangaza kuwa dawa yake mpya ya ajabu, smokeball, ingewatibu watu kutokana na mafua, na ikiwa haingefaulu kuwatibu, wanunuzi wangepata [[paundi za Kistaling'i|£]] 100. Watu wengi waliwasilisha kesi mahakamani ili wapate £100 zao wakati dawa hiyo iliposhindwa kuwatibu. Ikiogopa [[kufilisika]], Kampuni ya Carbolic ilijitetea kwa kusema kuwa tangazo lile lilikuwa mzaha tu, na kwa hivyo halikuwa toleo lenye nguvu za kisheria. Lilikuwa [[karibisho]], mchezo tu. Lakini mahakama ya rufaa yaliamua kuwa kwa [[mtu mwenye kufikiria kwa kawaida]] kampuni ya Carbolic ilikuwa imefanya toleo. Watu walikuwa wametoa kusudi la kununua bidhaa ile kwa kupitia "shida bayana" ya kutumia bidhaa yenye hitilafu. "Soma tangazo vile utakavyo, na ulibadilishe tangazo hilo vile utakavyo", alisema [[Nathaniel Lindley, Baroni Lindley|Hakimu Lindley]], "haa kuna ahadi maalum ilitajwa katika lugha isyokuwa na utata wowote".<ref name="CCSBCE">About ''[http://www.justis.com/titles/iclr_r9321042.html Carlill v Carbolic Smoke Ball Company]'' [[Case citation|[1893] 1 QB 256]], and the element of consideration, see Beale and Tallon, ''Contract Law'', 142–143</ref>

"Kutilia maanani" knaonyesha ukweli kwamba vyama vyote katika mkataba vimebadilisha kitu fulani chenye maana. Baadhi ya mifumo ya sheria ya kawaida, ikiwemo Australi, zinasonga mbali kutoka dhana ya kutilia maanani kama mojawapo ya mahitaji ya mkataba. Dhana ya "[[estoppel]]" au ''culpa in contrahendo'', inaweza kutumika kuunda wajibu wakati mazungumzo kabla ya kuingia mkataba<ref>''[[Austotel v Franklins]]'' (1989) 16 NSWLR 582</ref> Katika maeneo ya kisheria ya kiraia, kutilia maanani si lazima kwa mkataba kuwa na nguvu ya kisheria.<ref>e.g. In Germany, [http://dejure.org/gesetze/BGB/311.html § 311 Abs. II] [[Bürgerliches Gesetzbuch|BGB]]</ref> Nchini Ufaransa, mkataba wa kawaida unasemekana kutokea ambapo "kukutana kwa akili" au kwa "kuwa na nia zinazowiana". [[Sheria ya Ujerumani|Ujerumani]] ina mtazamio maalum kuhusu mikataba, ambayo inayusisha sheria ya mali. [[Kanuni ya dhana ya kiakili]] (''Abstraktionsprinzip'' wanayoitumia, inamaanisha kuwa wajibu wa kibinafsi wa mkataba unaundwa kando na jina la mwenye mali yanayokabidhiwa. Wakati ambapo mikataba inavunjwa kwa sababu fulani (kwa mfano mnunuzi wa gari amelewa kiasi kwamba hana uwezo wa kisheria wa kufanya mkataba)<ref>[http://dejure.org/gesetze/BGB/105.html § 105 Abs. II] [[Bürgerliches Gesetzbuch|BGB]]</ref> Wajibu wa kimkataba wa kulipa unaweza kuvunjwa tofauti na jina la mwenye gari. Sheria ya [[kutajirika kusio kwa haki]], badala ya sheria tya mkataba, basi inatumika kurudisha jina kwa mmiliki halali.<ref>Smith, ''The Structure of Unjust Enrichment Law'', 1037</ref>

===Sheria ya ukiukaji wa wajibu===
{{main|ukiukaji wa wajibu}}
[[File:Mcspotlight.jpg|thumb|Kesi ya "[[Mikahawa ya McDonald's dhidi ya Morris na Steel|McLibel]]". Wahusika hawa wawili walifanya kesi ndefu zaidi katika historia ya Uingereza kwa uchapishaji wa kijikaratasi kilichokosoa mikahawa ya [[McDonald's]]]]

Sheria ya ukiukaji wa wajibu, ambayo wakati mwingine huitwa [[delikti]], ni makosa ya raia. Kuwa na kosa la ukiukaji wa wajibu, mtu lazima awe amekiuka wajibu aliukwa anafaa kumtendea mty mwingine, au kukiuka haki fulani ya awali ya kisheria. [[Bolton dhidi ya Stone|mfano]] unaweza kuwa kumgonga mtu kimakosa na mpira wa mchezo wa kriketi.<ref>''[[Bolton v Stone]]'' [1951] AC 850</ref> Chini ya sheria ya [[uzembe]], ambayo ndiyo aina ya ukiukaji wa wajibu maarufu zaidi, mtu aliyepatwa na madhara anaweza kuomba fidia kwa ya majeraha yake kutoka kwa mtu mwenye uwajibikaji. Kanuni za uzembe zinaonyeshwa na kesi ya ''[[Donoghue dhidi ya Stevenson]]''.<ref name="DvS">''[[Donoghue v Stevenson]]'' ([[Case citation#England and Wales|[1932] A.C. 532, 1932 S.C. (H.L.) 31, [1932] All ER Rep 1]]). See the original text of the case in [http://www.leeds.ac.uk/law/hamlyn/donoghue.htm UK Law Online].</ref> Rafiki mmoja wa Bi. Donoghue aliagiza chupa isiyopenyeka nuru la [[pombe ya tangawizi]] (iliyokusudiwa kutumika na Bi. Donoghue) katika mkahawa katika eneo la [[Paisley]]. Baada ya kunya kunya nusu ya bia ile , Bi, Donoghue alimimina iliyosalia katika bilauri. Mabaki yaliyooza ya konokono yalielea juu ya pombe. Alidai kuwa alipigwa na bumbuwazi, na kupata ugonjwa wa kuchomeka ndani ya matumbo, na ilimbidi kumpeleka mtengenezaji pombe kwa kuruhusu kinywaji kuchafuka ovyo. [[Nyumba ya Mabwana]] iliamua kwamba mtengezaji pombe aliwajibika kwa ugonjwa wa Bi. Donoghue. [[Bwana Atkin]] alikuwa na mtazamo maalum wa kimaadili, na akasema,


<blockquote>Dhima ya upuuzaji ... bila shaka ina msingi wake katika mawazo ya kijumla ya umma kuhusu makosa ya kimaadili amabyo mkosaji lazima alipe ... Kanuni ya kuwa unafaa kumpenda adui yako, kisheria inakuwa, haufai kumjeruhi jirani yako; na swali la wakili, nani ndiye jirani yangu? linapokea jibu lenye vikwazo. Lazima uwe na uwangalifu wa kuepuka na vitendo au visa ambapo hautendi lolote inapofaa, ambavyo unaweza kutazamia kuwa vikamjeruhi jirani yako.<ref>''[[Donoghue v Stevenson]]'' [1932] AC 532, 580</ref></blockquote>

Huu ulikuwa msingi wa kanuni nne za upuuzaji; (1) Bwana Stevenson alimdai Bi. Donoghue [[wajibu wa kujali]] wa kuuza vinywaji salama (2) yeye [Kuvuna kwa jukumu katika Sheria ya Kiingereza|alivunja]] wajibu wake wa kujali (3) madhara hayangefanyika [[usababishaji (sheria)|isipokuwa kwa]] kuvunja kwake kwa wajibu wa kujali na (4) tendo lake lilikuwa [[sababau ya karibu]], au haikuwa tokeo la [[Umbali katika Sheria ya Kiingereza|mbali]], la madhara yaliyompata mtu fulani.<ref name="DvS" /> Mfano mwingine wa ukikaji wa wajibu unaweza kuwa wa jirani ambaye anapiga kelele nyingi sana na na mashine katika nyumbani kwake.<ref name="Sturges">''[[Sturges v Bridgman]]'' (1879) 11 Ch D 852</ref> Chini ya dai la [[kero]] kelele hiyo inaweza kukomeshwa. Ukiukaji wa wajibu pia inaweza kuhusisha vitendo vya kimakusudi, kama vile [[ushambulizi (ukiukaji wa wajibu)|ushambulizi]], [[vita(ukiukaji wa wajibu)|vita]] au [[kuvuka na kuingia katka maeneo yaliyopigwa marufuku]]. Sheria ya ukiukaji wa wajibu inayofahamika vyema ni ile ya [[kumharibia mtu jina]], ambayo inafanyika, kwa mfano, wakati gazeti linapochapisha madai yasiyokuwa na msingi ambayo yanaharibu sifa ya mwanasiasa fulani.<ref>e.g. concerning a British politician and the Iraq War, ''[[George Galloway v Telegraph Group Ltd]]'' [2004] EWHC 2786</ref> Ukiukaji wa wajibu ambao ni mbaya zaidi ni zile wa kiuchumi, ambao huwa msingi wa [[sheria ya ajira]] katika baadhi ya nchi kwa kufanya vyama vya kibiashara kuwa na dhima kwa sababu ya migomo,<ref>''[[Taff Vale Railway Co v Amalgamated Society of Railway Servants]]'' [1901] AC 426</ref> Wakati ambapo amri ya kisheria haipatiani kinga.<ref>In the UK, [[Trade Union and Labour Relations (Consolidation) Act 1992]]; c.f. in the U.S., [[National Labor Relations Act]]</ref>

===Sheria ya mali===
{{Main|Sheria ya mali}}
[[File:South Sea Bubble.jpg|thumb|Picha ya [[Bubujiko la Bahari ya Kusini]], mojawapo ya majanga ya kiuchumi yalilotokana na [[uvumi]]. Janga hilo la kiuchumi lilisababisha kuundwa kwa kanuni kali kuhusu uuzaji wa hisa.<ref>Harris, ''The Bubble Act'', 610-627</ref>]]

Sheria ya [[Mali]] inatawala vitu vya thamani ambavyo watu huvitambua kama 'vyao'. [[Mali ya kweli]] wakati mwingine huitwa 'mali isiyohamishika' inahusu umiliki wa ardhi na vitu vilivyojikita katika ardhi hiyo.<ref>eg ''[[Hunter v Canary Wharf Ltd]]'' [1997] [http://www.publications.parliament.uk/pa/ld199697/ldjudgmt/jd970424/hunter01.htm 2 All ER 426]</ref> [[Mali ya kibinafsi]], inaashiria mambo mengineyo; vyombo vinavyowezwa kusongeshwa, kama vile tarakilishi, magari, mapambo na mikate au turathi haki, kama vile [[hisa (fedha)|akiba na hisa]]. Haki ya ''[[in rem]]'' ni haki ya kipande maalum cha mali, ikitofautishwa na haki ''[[in personam]]'' ambayo inaruhusu fidia kwa hasara, lakini si kwa kurudishiwa kitu fulani. Sheria ya ardhi inajumuisha msingi wa aina nyingi za sheria za mali, na ndiyo ngumu zaidi. Inahusisha [[mogeji]], [[mikataba ya kukodisha]], [[leseni]], [[maagano]], [[ruhusa]] na mifumo ya kisheria kwa usajili wa ardhi. Kanuni kuhusu matumizi ya ardhi ya kibinafsi chini ya [[haki miliki]], [[kampuni (law)|sheria ya kampuni]], [[sheria ya hifadhi|hifadhi]] na [[sheria ya biashara]]. Mfano wa kesi msingi ya ya sheria nyingii za mali ni ''[[Armory v Delamirie]]''.<ref>''[[Armory v Delamirie]]'' (1722) 93 ER 664, 1 Strange 505</ref> Kijana wa [[kufagia chimni]] alipata pambo lenye mawe ya thamani. Alichukua pambo lile kwa muundaji wa vifaa vya dhahabu ili thamani yake ikadiriwe. Mwanafunzi wa muundaji wa vifaa vya dhahabu aliangalia pambo lile, akaiba mawe yale ya thamani, ma kumuambia kijana yule kuwa thamani yake ilkuwa [[Nusu peni (Pesa ya Uingereza)|nusu peni]] tatu na kuwa angeinunua. Kijana yule alimwambia kuwa angepenga arudishiwe pambo lile, kwa hivyo mwanafunzi wa muundaji vifaa alimrudishia pambo, lakini bila mawe yale ya thamani. Kijana yule alimpeleka mtengenezaji wa vifaa vya dhahabu kotini kwa jaribio la mwanafunzi wake kumdanganya. [[Bwana Hakimu Mkuu Pratt]] aliamua kuwa ingawa kijana hangesemekana kuwa mumiliki wa pambo lile, angefaa kutazamwa kama mpataji aliyefaa ("mpataji muwekaji") hadi mumiliki wa kiasili anapopatikana. Kwa kweli mwanafunzi na kijana yule wote walikuwa na haki ya ''[[Umiliki (sheria)|umiliki]]'' wa pambo lile (dhana ya kiufundi, inayomaanisha kuwa kitu fulani ''kingeweza'' kumilikiwa na mtu fulani), lakini nia ya kijana yule ya kumiliki ilitazamiwa kuwa bora zaidi, kwa sababu ingeweza kudhihirishwa kuwa ya kwanza katika wakati. Umiliki unaweza kuwa sehemu tisa kwa kumi ya sheri, lakini si yote.

Kesi hii hutumika kudhihirisha mtazamo wa mali katika maeneo ya kisheria ya kawaida, kuwa mtu anayeweza kuonyesha dai bora zaidi la kipande cha mali, dhidi ya chama kingine, ndiye mumiliki.<ref>Matthews, ''The Man of Property'', 251–274</ref> Kwa kulinganisha, mbinu ya kiklasiki ya sheria ya raia kuhusu mali, iliendelezwa na [[Friedrich Carl von Savigny]], ni kuwa ni haki nzuri dhidi ya Ulimwengu. Wajibu, kama mkataba na ukiukaji wa wajibu hutazamwa kama haki nzuri dhidi ya watu binafsi.<ref>Savigny, ''Das Recht des Besitzes'', [http://dlib-pr.mpier.mpg.de/m/kleioc/0010/exec/bigpage/%22235083_00000057%22 25]</ref> Dhana ya mali inaibua maswala mengi zaidi ya kifalsafa na kisiasa. Locke alidokeza kwamba "maisha, uhuru na nyumba" zetu ni mali yetu kwa sababu tunamiliki mali yetu na [[Nadharia ya ajira ya mali|tunachangayana ajira yetu]] na mazingira yetu.<ref>Locke, ''[[s:Two Treatises of Government/The Second Treatise of Government: An Essay Concerning the True Origin, Extent, and End of Civil Government|Second Treatise on Civil Government]]'', Chap. IX. Of the Ends of Political Society and Government. Chapter 9, section 123.</ref>

===Usawa na amana===
{{Main|Usawa (sheria)|sheria ya amana}}
[[File:Court of Chancery edited.jpg|thumb|[[Mahakama ya Chancery]], London, kipindi cha mapema cha karne ya 19]]

Usawa na amana ni mwili wa sheria ulioibuka nchini Uingereza kando na "shera ya kawaida". Sheria ya kawaida ilisimamiwa na mahakimu. [[Bwana Chansela]] kwa upnade mwingine, kama muwekaji dhamiri wa mfalme, angeweza kupuuza sheria iliyotengenezwa na hakimu ikiwa alifikiria kuwa ilikuwa sawa kufanya hivyo.<ref>McGhee, ''Snell's Equity'', 7</ref> Hili lilimaanisha kuwa usawa ulianza kufanya kazi zaidi kupitia [[Malengo ya usawa|kanuni]] bali si sheria ambazo hazikubadilika. Kwa mfano, ambapo mifumo ya sheria ya kawaida au sheria ya raia haiwaruhusu watu kugawa umiliki wa kutoka kwa udhibiti wa kipande kimoja cha mali, usawa unaruhusu hili kupitia mpango unaoitwa 'amana'. Kudhibitiwa kwa mali na 'wenye amana' ambapo kwa upande mwingine umiliki 'wenye manufaa' (au 'yenye usawa') wa mali ya amana inashikiliwa na watu wanojulikana kama 'wadhamini'. Wadhamini wana wajibu kwa walengwa wao wa kuyachuna vyema mali waliyokabidhiwa.<ref>c.f. ''[[Bristol and West Building Society v Mothew]]'' [1998] Ch 1</ref> Katika kesi ya awali ya ''[[Keech dhidi ya Sandford]]''<ref>''[[Keech v Sandford]]'' (1726) Sel Cas Ch 61</ref> mtoto alirithi haki ya [[kokodisha]] katika [[Soko la Romford |soko]] katika eneo la [[Ramford]], mjini London. Bw, Sandford alikabidhiwa mali hayo hadi wakati ambapo mtoto angekomaa. Lakini kabla ya hapo, kipindi cha kukodisha kilikwisha. Kabaila alikuwa (inaonekana) amemwambia Bw. Sandford kuwa hakutaka mtoto yule awe na kukodisha kupya. Lakini bado kabaila alikuwa amefurahi (inaonekana) kumpa Bw. Sandford fursa ya kukodisha. Bw Sandford aliichukua. Wakati ambapo mtoto (sasa Bw. Keech) alikuwa mkubwa, alimpeleka Bw. Sandford mahakamani kwa faida aliyokuwa akipata kwa kupata kukodisha kwa soko. Bw. Sandford alifaa kuaminika, lakini alijiweka katika nafasi ya [[mgongano wa maslahi]]. [[Bwana Kansela]], [[Peter King, Baroni wa Kwanza Mfalme|Bwana Mfalme]], alikubali na kumuamuru Bw. Sandford kutoa faida ile na kumlipa Bw. Keech. Aliandika,

{{quote|Ninaona vizuri sana kuwa, ikiwa mdhamini, akikataa kufanya kukodesha upya, anaweza kuwa na kukodesha kwake mwenyewe mali chache ya kiamana yangesajiliwa upya ... Hili linaweza kuonekana kuwa gumu sana, kuwa mdhamini ndiye mtu wa kipekee kwa binadamu wote ambaye hatakuwa na kukodisha; lakini ni bora kanuni ifuatiliwe na isipuuzwe wakati wowote.}}

Bila shaka, Bwana Mfalme LC alikuwa na wasiwasi kwamba wadhamini huenda wakatumia fursa ya kutumia mali ya amana wenyewe badala ya kuyachunga. Wadadisi wa kibiashara wanaotumia hifadhi walikuwa wamesababisha [[Mbubujiko wa Bahari ya Kusini|kuaguka kwa soko la hisa]] katika siku hizo. Wajibu mkali kwa wadhamini ulijumuishwa katika sheria ya serikali na kutumika kwa wakurugenzi wa makampuni na [[maafisa watendaji wakuu]]. Mfano mwingine wa jukumu la mdhamini unaweza kuwa kuwekeza mali vizuri au kuiuza.<ref>''[[Nestle v National Westminster Bank plc]]'' [1993] 1 WLR 1260</ref> Hii hasa ndiyo kesi kwa fedha za [[pensheni]] , aina muhimu kwa zote ya amana, ambapo wawekezaji ndio wadhamini wa akiba za watu hadi [[wastaafu]]. Lakini amana pia zinaweza kuundwa kwa [[hisani ya amana|madhumuni ya hisani]], mifano maarufu ikiwa [[Makavazi ya Uingereza]] au [[Shirika la Rockefeller]].

===Utaalamu zaidi===

Sheria huenea mbali kuliko masomo ya msingi hadi karibu kila eneo la maisha. Ngazi tatu zimetajwa hapa ili kurahisiha majadiliano, ingawa masomo mbalimbali hufanana na kutegemeana.

;Sheria na jamii
[[File:UnisonStrikeRallyOxford20060328 KaihsuTai.jpg|thumb|Chama cha wafanyikazi kilichoundwa na kikundi cha [[UNISON]] walipogoma]]

* '''[[Sheria ya ajira]]''' ni somo la uhusiano wa mara tatu wa kiwandani kati ya mfanyikazi, muajiri na [[chama cha wafanyikazi]]. Hili linahusisha kupunguza [[kufanya biashara]] kwa pamoja, na haki ya [[kugoma]]. Sheria ya kuajiriwa kwa binafsi inaashiria haki za maeneo ya kazi, kama zile [[usalama wa kazi]], [[afya na usalama]] au [[mshahara wa chini zaidi]].
* '''[[Haki za kibinadamu]]''', [[Haki za kiraia na kisiasa|haki za kiraia]] na [[sheria ya haki za kibinadamu]] ni maeneo muhimu katika kumhakikishia kila mtu uhuru na haki za kimsingi, Haya yanapatikana katika maadiko kama vile [[Azimio la Ulimwenguni la Haki za Kibinadamu]], [[Mkataba wa Ulaya wa Haki za Kibinadamu]] (iliyoanzisha [[Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu]]) na [[Mswada wa Marekani wa Haki|Mswada wa Marekani wa Haki za Kibinadamu]]. [[Mkataba wa Lisbon]] unafanya [[Mkataba wa Haki za Msingi za Umoja wa Ulaya]] uwe na nguvu za kisheria katika nchi zote wanachama isipokuwa [[Polandi na Uingereza]].<ref>[http://www.lawsociety.org.uk/documents/downloads/guide_to_treaty_of_lisbon.pdf A Guide to the Treaty of Lisbon], The Law Society</ref>
* '''[[Utaratibu wa Kiraia]]''' na '''[[utaratibu wa jinai]]''' unahusisha kanuni ambazo mahakama lazima yafuate kadiri [[trial]] na rufaa zinapoendelea. Yote yanahusu haki ya raia kupata [[kuhukumiwa kwa haki]] au kesi yake kusikizwa kwa haki.
* '''[[Ushahidi (sheria)|Ushahidi]]'''. Sheria ya ushahidi inahusu vifaa vinavyofaa kutumika mahakamani ili kesi ijengwe.
* '''[[Sheria ya Uamiaji]]''' na '''[[sheria ya utaifa]]''' zinahusu haki za wageni kuishi na kufanya kazi katika taifa ambalo si lao na kupata na kupoteza [[uraia]]. Yote yanahusu [[haki ya hifadhi]] na shida ya watu [[wasiokuwa na nchi]]
* '''[[Usalama wa Kijamii]]'''. Sheria ya usalama wa kijamii inahusu haki za watu kuwa na bima ya kijamii, kama vile pesa zinazopewa watafuta kazi au faida za makazi.
* '''[[Sheria ya familia]]''' inahusu kesi za [[ndoa]] na [[talaka]] proceedings, haki za watoto na haki za kuwa na mali na pesa ikiwa wenye kufanya ndoa watatengana.

;Sheria na biashara
* '''[[Sheria ya kikampuni]]''' ilitokana na sheria ya amana, ikitegemea kanuni ya kutenganisha umiliki na udhibiti.<ref>Berle, ''Modern Corporation and Private Property''</ref> Sheria ya kisasa ya [[kampuni (sheria)|kampuni]] ilianza na [[Sheria ya Kampuni za Pamoja za Akiba ya mwaka 1856]], iliyopitishwa nchini Uingereza, ambayo iliwapa wawekezaji mbinu rahisi ya usajili ili kupata [[dhima ya kupimika]] chini ya dhana ya [[Mtu wa kisheria|mtu tofauti]] wa kampuni.
* '''[[Sheria ya kibiashara]]''' inahusu mkataba tata wa mkataba na mali. Sheria ya [[shirika (sheria)|shirika]], [[sheria ya bima]], [[bili za kubadilishana]], [[ufilisi]] na [[Sheria ya kuufungwa kwa biashara]] na sheria ya uuzaji zote ni muhimu, na zinarudi nyuma hadi dhana ya ''[[Mfanyibiashara wa sheria|Lex Mercatoria]]'' ya zama za kati. [[Sheria ya Kuuza Bidhaa na Ukahaba wa Watoto ya Mwaka 1979|Sheria ya Kuuza Bidhaa]] ya Uingereza na [[Kodi Sawa ya Biashara]] ya Marekani ni mifano ya kanuni za kibiashara ya sheria ya kawaida
* '''[[Sheria ya maji]]''' na '''[[Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Sheria ya Maji|Sjeria ya Maji]]''' zinaweka muundo msingi wa biashara huru na biashara Duniani kote Baharini, ambapo yamo nje ya eneo la udhibiti wa nchi fulani. Makampuni ya meli yanafanya kazi kwa kutumia kanuni za kawaida za sheria ya biashara, ambazo zimefanywa kuwa jumla kwa soko la kimataifa. Sheria ya maji inajumuisha masuala muhimu kama vile kama vile [[kuokoa vifaa kutoka baharini]], [[Lien#|lieni za maji]], na majeraha kwa abiria.
* '''[[Miliki Sheria]]''' inalenga aims at safeguarding creators and other producers of intellectual goods and services. These are legal rights ([[copyright]]s, [[trademark]]s, [[patent]]s, and [[related right]]s) which result from intellectual activity in the industrial, literary and artistic fields.<ref>WIPO, ''Intellectual Property'', 3</ref>
*'''[[Fidia]]''' inashughulika na kupata mapato ya mtu mwingine, bali si [[fidia]] kwa hasara ya kibinafsi
* '''[[Kutajirika isipofaa]]''' ndiyo nguzo ya tatu ya sheria ya raia (pamoja na mkataba na ukiukaji wa wajibu). Wakati ambapo mtu fulani ametajirishwa isipofaa (au kuna "kutokuwepo kwa msingi" wa biashara) kwa gharama ya mawingine, tukio hili linazalisha haki ya fidia ili kugeuza faida hiyo.

;Sheria na vikwazo
[[File:1930-67B.gif|thumb| Sakafu ya biashara ya [[Soko la Hisa la New York]] baada ya [[kuanguka kwa Wall Street mnamo mwaka wa 1929]], kabla ya sheria kali zaidi za [[vikwazo vya kibenki]] vilipoanza kutumika]]

* '''[[Sheria ya kodi]]''' inahusu kanuni kuhusu [[kodi ya thamani iliyoongezwa]], [[kodi ya kampuni]], [[kodi ya mapato]].
* '''[[Kanuni za kibenki|Sheria za kibenki]]''' na [[kanuni za kifedha]] zinaweka viwango vya chini zaidi kuhusu idadi ya mtaji ambao benki zinaweza kuwa nao, na sheria kuhusu utendaji bora wa uwekezaji. Hili ni kwa minajili ya kuhakikisha ulinzi dhidi ya taabu za kiuchumi, kama vile[[Kunguka kwa soko la Wall Street mnamo mwaka wa 1929]].
* '''[[Vikwazo]]''' vinashughulika na utoaji wa [[huduma za umma]] na usimamizi wa [[vifaa vya umma]].'''[[Sheria ya maji]]''' ni mfano mmoja. Hasa tangu [[ubinafshaji]] uwe maarufu na uchukue usimamizi wa huduma kutoka kwa sheria ya umma, makampuni ya kibinafsi ambayo hapo yalikuwa yakifanya kazi iliyodhitiwa na serikali hapo awali yamefungwa na vyeo mbalimbali vya wajibu wa kijamii. [[Sera za Nishati|Nishati]], [[Ofgem|gesi]], [[sera za mawasiliano|mawasiliano]] na [[sheria ya maji|maji]] zinadhibitiwa na viwanda katika nchi nyingi za [[Shirika la Muungano wa Maendeleo ya Kiuchumi|OECD]].
* '''[[Sheria ya mashindano]]''', nchini Marekani inajulikana kama sheria [[dhidi ya amana]], ni eneo linalozidi kubadilika ambalo lilianza katika kutokana na amri za [[Roma ya Kale|Kirumi]] dhidi ya [[kuweka bei]] na mafundisho ya Uingereza ya [[biashara ya makini]]. Sheria ya kisasa ya mashindano inatokana na sheria za Marekani dhidi ya biashara za magendo na dhidi ya ukiritimba ([[Sheria ya Sherman]] na [[Sheria ya Clyaton]]) ya mwisho wa karne ya 20. Inatumika kudhibiti biashara zinazojaribu kutumia ushawishi wao wa kiuchumi kubadilisha biashra za sokoni bila kujali [[maslahi ya mnunuzi]].
* '''[[Kumlinda mnunuzi|Sheria ya mnunuzi]]''' inaweza kujumuisha chochote kuanzia kanuni kuhusu [[vifungu vya mikataba]] ambavyo si sawa hadi maelekezo kuhusu bima ya mizigo ya ndege.
* '''[[Sheria ya mazingira]]''' inazidi kuwa muhimu, hasa katika mwanga wa [[Itifaki ya Kyoto]] na hatari inayoweza kutokana na [[mabadiliko ya hali ya anga]]. Ulinzi wa kimazingira pia intumika kuwaadhibu [[uharibifu wa mazingira|wanaoharibu mazingira]] katika mifumo ya kisheria ya kiinchi


==Mifumo ya kisheria==
{{Main|Mifumo ya kisheria Duniani}}
Kwa ujumla, mifumo ya kisheria inaweza kugawanywa kati ya mifumo ya kisheria ya kiraia na mifumo ya kisheria ya kawaida.<ref>Modern scholars argue that the significance of this distinction has progressively declined; the numerous [[legal transplants]], typical of modern law, result in the sharing by modern legal systems of many features traditionally considered typical of either common law or civil law (Mattei, ''Comparative Law and Economics'', 71)</ref> Maneno "sheria ya kiraia" yanayoashiria mfumo wa kisheria hayapaswi kuchanganyishwa na "sheria ya kiraia" kama kundi la masomo ya kisheria ambayo ni tofauti na [[sheria ya umma]] au ya jinai . Aina ya tatu ya mfumo wa kisheria—inayokubalika bado na baadhi ya nchi ambazo zina [[utengano wa kanisa na taifa]]—ni sheria sheria ya kidini, ambayo ina msingi wake katika [[maandiko ya kidini]]. Aina ya mfumo amabo nchi inatumia kutawala mara nyingi kudhamiriwa na historia yake, uhusiano wake na nchi zingine au kushikilia kwake kwa viwango vya kimataifa. [[Vyanzo vya sheria|Vyanzo]] ambavyo maneneo fulani ya kisheria hutumia kama kama zenye uwezo wa kuwa nguvu za kisheria ndizo sifa fafanuzi za mfumo wowote wa kisheria. Hata hivyo, uainishaji ni jambo la umbo kuliko maana, kwani sheria sawa mara nyingi hutawala.



===Sheria ya kiraia===
{{main|Sheria ya kiraia (mfumo wa sheria)}}
[[File:Code Civil 1804.png|thumb|Ukurasa wa kwanza wa toleo la mwaka wa 1804 la [[Sheria za Kinapolioni]]]]

Sheria ya kiraia ni mfumo wa kisheria unaotumika katika nchi nyingi Duniani. Katika sheria ya kiraia vyanzo vinavyotambulika kama kuwa na mamlaka, ni, haswa, uundaji wa sheria—haswa [[Kuandika sheria (sheria)|sheria zilizoandikwa]] katika [[katiba]] au [[amri]] zinazopitishwa na serikali—na tamaduni.<ref>Civil law jurisdictions recognise custom as "the other source of law"; hence, scholars tend to divide the civil law into the broad categories of "written law" (''ius scriptum'') or legislation, and "unwritten law" (''ius non scriptum'') or custom. Yet they tend to dismiss custom as being of slight importance compared to legislation (Georgiadis, ''General Principles of Civil Law'', 19; Washofsky, ''Taking Precedent Seriously'', 7).</ref> Sheria za kuandikwa zinapatikana hata katika miaka mingi ya awali , huku mfano mmoja ukiwa [[Sheria ya Hammurabi|Codex Hammurabi]] ya [[sheria ya Kibebeli|Kibabeli]]. Mifumo ya sheria za kiraia ya kisasa inatokana na mazoezi ya kisheria ya [[Dola la Kirumi]] ambalo maadiko yake yalipatikana katika Ulaya ya [[Zama za Kati]]. Sheria ya Kirumu katika siku za [[Jamhuri ya Kiruma]] na Dola la Kirumi lilitegemea sana utaratibu, na ilikosa daraja la kitaaluma.<ref>Gordley-von Mehren, ''Comparative Study of Private Law'', 18</ref> Badala uake mtu wa kawaida aliyeitwa, ''iudex'', alichagukiwa kufanya uamuzi. Kesi za awali hazikuripotiwa, kwa hivyo sheria yoyote yenye msingi katika kesi iliyoibuka ilifichwa na hata kutotambulika.<ref>Gordley-von Mehren, ''Comparative Study of Private Law'', 21</ref> Kila kesi ilikuwa ilimuliwe upya kutokana na sheria za nchi, ambayo ni sawa na kupungua kwa umuhimu (kinadharia) wa uamuzi wa mahakimu kwa kesi za siku za usoni kwa mufumo ya kisheria siku za leo. Katika kipindi cha karne ya 6 NK katika [[Dola la Kibaizanti|Dola la Mashariki la Roma]], Kaisari [[Justinian I]] aliandika na kuzikusanya pamoja sheria ambazo zilikuwa zinapatikana hapo awali katika Roma, ambapo kile kilichobakia kilikuwa sehemu moja juu ya ishirini ya kiwango cha maandiko ya kisheria kutoka awali.<ref>Stein, ''Roman Law in European History'', 32</ref> Hili ikawa inafahamika kama ''[[Corpus Juris Civilis]]''. Kwa mujibu wa mwanahistoria mmoja wa kisheria, "Justinian alitazama kwa uangalifu hadi miaka ya dhahabu ya nyuma ya sheria ya Kirumi na alilenga kuirejesha hadi upeo wake wa karne tatu za awali."<ref>Stein, ''Roman Law in European History'', 35</ref> Wakati uo huo, Ulaya ya Magharibi ilitumbukia polepole katika [[Zama za Giza]], na haikuwa hadi karne ya 11ambapo wasomi katika [[Chuo Kikuu cha Bologna]] walipoyagundua upya maandiko yaliyokuwa yamepotea na kuyatumia kuzitafsiri sheria zao.<ref>Stein, ''Roman Law in European History'', 43</ref> Maandiko ya sheria za kiraia yenye msingi unaofanana kwa karibu na sheria ya Kirumu, sambamba na ushawishi mchache kutoka [[sheria za kidini]] kama vile [[sheria ya Kikanoni]] na [[Sharia|sheria ya Kiislamu]],<ref name>Badr, ''Islamic Law'', 187–198 [196–8]</ref><ref name="Makdisi"/> iliendelea kuenea kote baranii Ulaya hadi [[Zama za Kutaalamika|Kutaalmika]]; kisha, katika karne ya 19, Ufaransa, na [[Sheria iliyoandikwa ya Kiraia]], na Ujerumani, [[Bürgerliches Gesetzbuch]], zilifanya sheria zao zilizokuwa zimeandikwa kuwa za kisasa. Sheria hizi mbili zilizoandikwa zilisukuma vilivyo si tu mifumo ya kisheria ya nchi katika Bara Ulaya (kama vile Ugiriki), lakini pia tamaduni za kisheria za [[Sheria ya Ujapani|Ujapani]] na [[Korea ya Kusini|Kikorea]].<ref>Hatzis, ''The Short-Lived Influence of the Napoleonic Civil Code in Greece'', 253–263</ref><ref>Demirgüç-Kunt -Levine, ''Financial Structures and Economic Growth'', 204</ref> Leo, cnhi ambazo zina mifumo ya kisheria ya kiraia ni kama vile [[Sheria ya Urusi|Urusi]] na [[Sheria ya Demokrasia ya watu ya Uchina|Uchina]] na maeneo mengi ya Marekani ya [[Marekani ya Kati|Kati]] na [[Sheria ya Marekani ya Kusini|Marekani ya Kilatini]].<ref>[https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/fields/2100.html The World Factbook&nbsp;— Field Listing&nbsp;– Legal system], CIA</ref> Marekani inafuata sheria ya kawaida inayofafanuliwa hapa chini.


===Sheria ya kawaida na usawa===
{{main|Sheria ya kawaida}}
[[File:Joao sem terra assina carta Magna.jpg|thumb|Mfalme Yohana wa Uingereza anatia sahini Magna Carta]]

Sheria ya kawaida na usawa ni mifumo ya kisheria ambapo uamuzi wa mahakama yanakubalika wazi kuwa vyanzo vya sheria."Mafundisho ya utangulizi", au ''[[stare decisis]]'' (Kilatini kwa "kusimama kwa uamuzi") unamaanisha kuwa sumauzi unaofanywa na mahakama yenye mamlaka kubwa yanafunga mahakama yenye mamlaka ya chini. Mifumo ya kisheria ya kawaida hutumia amri mara chache sana, zinazopitishwa na bunge, lakini huenda zikafanya jaribio ambalo si la kitaratibu kuandika sheria zao kuliko katika "mfumo wa sheria wa kiraia". Sheria ya kawaida ina asili yake nchini Uingereza na imerithiwa na karibu nchi zote ambazo hapo awali zilihusika na [[Dola la Uingereza]] (isipokuwa Malta, [[sHERIA YA |Scotland]], na jimbo la Marekani la [[Sheria ya Louisiana |Louisiana]], na jimbo la Kanada la [[sheria ya Quebec|Quebec]]). Katika Uingereza wakati wa zama za kati, [[Ushindi wa Norman dhidi ya Uingereza|ushindi wa Norman]] ulisababisha kuungana kwa desturi mbalimbali za kikabila na hivyo basi kuunda sheria ya "kawaida" ya nchi yote. Labda ikisukumwa na [[Sheria ya Kiislamu|mazoea ya kisheria ya Kiislamu]] wakati wa [[Krusedi]],<ref name=Makdisi>Makdisi, ''The Islamic Origins'', 1635–1739</ref> sheria ya kawaida iliendelea ambapo Mfalme wa Kiingereza alikuwa amefanywa kuwa dhaifu na gharama kubwa ya vita vywa kudhibiti sehemu kubwa za Ufaransa. [[Yohana wa Uingereza|Mfalme Yohana]] alikuwa amelazimishwa na mabaroni wake kutia saini hati iliyoweka vikwazo kwa mamlaka yake ya kupisha sheria. "Mkataba huu mkuu" au ''[[Magna Carta]]'' wa mwaka 1215 pia ulihitaji jopo la mahakimu wa Mfalme kufanya mikutano yao ya kimahakama na uamuzi wao katika "mahali maalum" badala ya kutoa haki ya kibepari katika maeneo yaliyokuwa magumu kutabiri kote.<ref>[http://www.fordham.edu/halsall/source/magnacarta.html Magna Carta], Fordham University</ref> Kundi la mahakimu walsomi na waliokolea walipata jukumu muhimu katika kuunda sheria chini ya mfumo huu, na ikilinganishwa na wenzao Barani Ulaya mahakama ya Uingereza ilikuwa na urasimu mwingi zaidi. Kwa mfano, mnamo mwaka wa 1297, wakati ambapo mahakama kuu ya Ufaransa yalikuwa na mahakimu hamsini na wawili, [[Mahakama ya Uingereza ya Maombi ya Kawaida]] yalikuwa na watano.<ref>Gordley-von Mehren, ''Comparative Study of Private Law'', 4</ref> Mahakama haya yenye nguvu na yaliyoshikamana yalisababisha mfumo wa kikiritimba.<ref>Gordley-von Mehren, ''Comparative Study of Private Law'', 3</ref> Kufuatana na hilo, kadiri wakati ulivyopita, idadi iliyoongezeka ya raia waliomba Mfalme kupuuza sheria ya kawaida, na kwa niaba ya Mfalme [[Bwana Chansela]] alitoa uamuzi kufanya kile ambacho ni sawa kwa kila kesi. Kuanzia wakati wa [[Thomas More]], wakili wa kwanza kuteuliwa kama Bwana Chansela, mwili wa kimfumo wa usawa uliongezeka kando ya sheria ya kawaida yenye ukiritimba, na ilianzisha [[Mahakama yake ya Chancery]]. Mwanzoni, usawa ulikosolewa kuwa ulikosa kukosa utaratibu, na kuwa ulibadilika kulingana na urefu wa mguu wa Chansela.<ref>Pollock (ed) ''Table Talk of [[John Selden]]'' (1927) 43; "Equity is a roguish thing. For law we have a measure... equity is according to the conscience of him that is Chancellor, and as that is longer or narrower, so is equity. 'Tis all one as if they should make the stadard for the measure a Chancellor's foot."</ref> Lakini baada ya muda iliunda [[Kanuni za usawa|kanuni]], hasa chini ya [[John Scott, Ali wa kwanza wa Eldon|Bwana Eldon]].<ref>''[[Gee v Pritchard]]'' (1818) 2 Swans. 402, 414</ref> Katika karne ya 19 mifumo hiyo miwili iliunganishwa pamoja. Katika kuendeleza sheria ya kawaida na usawa, waandishi wa kitaaluma wamekuwa na jukumu muhimu. [[William Blackstone]], kuanzia kipindi cha 1760, alikuwa mwanachuoni wa kwanza kuelezea na kufunza usawa.<ref>Blackstone, Commentaries on the Laws of England, [http://www.yale.edu/lawweb/avalon/blackstone/bk1ch1.htm Book the First&nbsp;– Chapter the First]</ref> Lakini kwa kuelezea tu, wasomi walitafuta melezo na miunso msingi walibadilisha polepole jinisi sheria ilivyofanya kazi.<ref>Gordley-von Mehren, ''Comparative Study of Private Law'', 17</ref>

===Sheria ya kidini===
{{main|Sheria ya kidini}}

Sheria ya kidini inatokana na mausia waziwazi ya kidini. Baadhi ya mifano ni [[Halakha]] ya [[Uyahudi|Kiyahudi]] na Sharia ya Kiislamu—zinazotafsiri kama "njia ya kufuata"—huku [[sheria ya Kanoni]] ya [[Ukristo|Kikristo]] nado hutumika katika jamii chache za kikanisa. Mara nyingi dini ina maana ya kutobadilika katika sheria, kwa sababu neno la Mungu haliwezi kufanyiwa marekebisho au kupingwa na sheria za mahakimu au serikali. Hata hivyo mfumo wa kisheria wenye ufasaha kwa jumla unahitaji upanuzi wa kibinadamu. Kwa mfano, [[Korani]] ina sheria, na inakuwa kama chanzo cha sheria zaidi kupitia ufafanuzi zaidi,<ref>Glenn, ''Legal Traditions of the World'', 159</ref> ''[[Qiyas]]'' (kufikiria kupitia mlinganisho), ''[[Ijma]]'' (muafaka) na [[utangulizi]]. Hili hasa hupatikana katika mwili wa sheria na falsafa ya kisheria inayojulikana kama [[Sharia]] na [[Fiqh]] mutawalia. Mfano mwingine ni [[Torah]] au [[Agano la Kale]], katika [[Pentatochi]] au Vitabu Vitano vya Musa. Vitabu hivi nakanuni sheria ya kimsingi ya Kiyahudi, ambayo baadhi ya jamii ya Kiisraeli uchagua kutumia. [[Halakha]] ni kanuni ya sheria za Kiyahudi inayofanya muhtasari wa baadhi ya ufafanuzi wa kitabu cha Talmud. Hata hivyo, [[Sheria ya Israeli|Sheria ya Israeli]] inaruhusu [[wenye malalamishi]] kuchagua mbinu za kidini ikiwa tu wangetaka. Sheria ya Kanoni inatumika tu na wanachama wa kikasisi katika [[Kanisa la Kikatoliki la Roma]], na [[Kanisa la Kiothodoksia la Mashariki]] na la [[Kianglikana]].

[[File:1879-Ottoman Court-from-NYL.png|thumb|left|Kesi katika Dola la Ottoman, mwaka wa 1879, wakati sheria ya kidini ilitumika chini ya [[Mecelle]]]]

Hadi karne ya 18, sheria ya Sharia ilitekelezwa kote katika [[Ulimwengu wa Kiislamu]] katika mfumo ambayo haikuwa imeandikwa kwa ufasaha, huku sheria ya [[Mecelle]] ya [[Dola la Ottoman]] katika karne ya 19 ikiwa ya kwanza [[Uandishi (sheria)|kuandika]] vipengele vya sheria ya Sharia. Tangu miaka ya kati ya 1940, majaribio yamefanywa, katika nchi nyingi, kufanya sheria ya Sharia ifanane zaidi na hali na dhana za kisasa.<ref name="AA">Anderson, ''Law Reform in the Middle East'', 43</ref><ref>Giannoulatos, ''Islam'', 274–275</ref> Katika nyakati za kisasa, mifumo ya kisheria katika mataifa mengi ya Kiislamu yametegemea tamaduni za sheria ya kiraia na sheria ya kawaida na pia sheria ya sheria ya Kiislamu na tamaduni. Katina za baadhi ya nchi za Kiislamu, kama vile Misri na Afghanistan, zinatambua Uislamu kama sheria ya taifa, hivyo kuyafanya mabunge katika nchi hizo yasiwe na budi kufuata Sharia.<ref>Sherif, ''Constitutions of Arab Countries'', 157–158</ref> Saudi Arabia inatambua Korani kama katiba, na inatwaliwa kwa msingi wa sheria ya Kiislamu.<ref name = Jurist>[http://jurist.law.pitt.edu/world/saudiarabia.htm Saudi Arabia], Jurist</ref> Iran pia imeshuhudia kurudi kwa sheria ya Kiislamu katika mfumo wake wa kisheria baada ya mwaka wa 1979.<ref>Akhlagi, ''Iranian Commercial Law'', 127</ref> Katika miongo michache iliyopita, mojawapo ya tofauti kuu ya harakati ya [[mwamko wa Kiislamu]] imekuwa wito wa kuirejesha Sharia, wito amabao umeibua kiasi kikubwa cha maandiko na kuathiri [[siasa Duniani]].<ref name="H1">Hallaq, ''The Origins and Evolution of Islamic Law'', 1</ref>

==Nadharia ya Kisheria==
===Historia ya Sheria===
{{main|Historia ya kisheria}}

[[File:Milkau Oberer Teil der Stele mit dem Text von Hammurapis Gesetzescode 369-2.jpg|thumb|Mfalme [[Hammurabi]] anaonyeshwa [[Sheria ya Hammurabi|mkusanyiko wa sheria]] na mungu wa jua wa Kimesopotamia [[Shamash]], ambaye pia anatambulika kama mungu wa haki]]

Historia ya sheria inashikamana kwa karibu na maendedelo ya [[ustaarabu]]. Sheria ya [[Misri ya Kale]], iliyorudi nyuma mbali hadi mwaka wa 3000 KK, ilikuwa na mkusanyiko wa sheria ambao huenda ilikuwa imevunjwa katika vitabu kumi na viwili. Ilizingatia dhana ya [[Ma'at]], iliyokuwa na sifa ya mapokeo, hotuba za [[kushawishi]], usawa wa kijamii na uaminifu.<ref>{{cite encyclopedia|last=Théodoridés|title = law | encyclopedia = Encyclopedia of the Archaeology of Ancient Egypt}}</ref><ref>VerSteeg, ''Law in ancient Egypt''</ref> Kufikia karne ya 22 ;BC, mtawala wa zamani wa [[Kisumeri]], [[Ur-Nammu]] alikuwa ameandaa [[Mkusanyiko wa sheria wa Ur-Nammu|mkusanyiko wa sheria]], ambao ulihusisha kauli za [[Mjadala|kimjadala]] ("ikiwa ... basi ..."). Kufikia mwaka wa 1760 KK, [[Hammurabi|Mfalme wa Hammurabi]] aliboresha [[Sheria ya Babeli]] zaidi, kwa kuikusanya na kuandika katika jiwe. Hammurabi aliweka nakala kadhaa za jiwe lile kote katika milki ya babeli kama [[Stele|stelae]], ili watu wote waitazame; hii ilikuja kufahamika kama [[Mkusanyiko wa Sheria za Hammurabi|Codex Hammurabi]]. Nakala iliyobaki ambayo haijaharibika sana wa stelae hizi iligunduliwa katika karne ya q9 na wasomi kuhusu mambo ya milki ya Assyria wa Uingereza, na tangu wakati huo [[imenakiliwa upya]] na kutafsiriwa katika lugha mbalimbali, ikiwemo Kiingereza, Kijerumani na Kifaransa.<ref>Richardson, ''Hammurabi's Laws'', 11</ref>

[[Agano la Kale]] lilianza mnamo mwaka wa 1280KK, na linachukua umbo la amri za kimaadili kama mapendekezo ya jamii nzuri. Mji-jimbo mdogo wa [[Ugiriki ya Kale|Kigiriki]] wa [[Historia ya Atheni|Atheni ya Kale]], na kuanzia karne ya 8 KK ilikuwa jamii ya kwanza kuwa na msingi wake katika kuhusisha raia kwa upana; isipokuwa wanawake na daraja la [[utumwa|watumwa]]. Hata hivyo, Atheni haikuwa na sayansi ya kisheria, na hapakuwa na neno la "sheria" isipokuwa kama dhana ya kiakili tu.<ref>Kelly, ''A Short History of Western Legal Theory'', 5–6</ref> Bado [[sheria ya Ugiriki wa Kale]] ilikuwa na uvumbuzi mkubwa wa [[Katiba ya Waatheni|kikatiba]] katika kuendeleza [[Demokrasia ya Atheni|demokrasia]].<ref>Ober, ''The Nature of Athenian Democracy'', 121</ref>

Sheria ya Kirumi ilisukumwa sana na falsafa ya Kigiriki, lakini maelezo yake ya kina yaliendelezwa na wanasheria wa kitaaluma, na yalikuwa magumu sana.<ref>Kelly, ''A Short History of Western Legal Theory'', 39</ref><ref>Stein, ''Roman Law in European History'', 1</ref> Katika kipindi cha karne zilizopita kati ya kupanda na kushuka kwa Dola la Roma, sheria imebadilishwa ili kukabiliana na hali za kijamii zilizokuwa zikibadilika, na ilikusanywa na kuandkiwa vilivyo katoka wakati wa utawala wa Justinian I.<ref name="St107"> Kama mfumo wa kisheria, Sheria ya Kirumi imeathiri kuendelea kwa sheria Duniani kote. Pia ni sehemu ya kimsingi ya mkusanyiko wa sheria wa nchi nyingi za Barani Ulaya, na imekuwa na umuhimu katika kuunda kwa dhana ya utamaduni sawa Ulaya (Stein, ''Sheria ya Kirumi katika Historia ya Ulaya'', 2, 104–107).</ref> Ingawa ilipungua kwa umuhimu wakati wa [[Zama za Giza]], Sheria ya Kirumi iligunduliwa upya wakati wa karne ya 11 wakati ambapo wasomi wa Zama za Kati walipoanza kutafiti mkusanyiko wa sheria za Kirumi na kayatumia mawazo yao. Katika Uingereza ya Zama za Kati, mahakimu wa Mfalme waliunda mwili wa [[utangulizi]], ambao baadaye ulijulikana kama [[sheria ya kawaida]]. ''[[Sheria ya Wafanyabiashara|Lex Mercatoria]]'' ya Ulaya mzima iliundwa ili kuwapa wafanyabiashara uwezo wa kufanya biashara kwa kutumia viwango sawa vya mazoezi; badala ya kutumia sheria za kimtaa zenye pande nyingi. ''Lex Mercatoria'', mtangulizi wa sheria ya kisasa ya biashara, ilihimiza uhuru wa mkataba na kuwekwa mbali kwa mali.<ref>Sealey-Hooley, ''Commercial Law'', 14</ref> Kadiri [[utaifa ulipozidi]] katika karne za 18 na 19, ndipo ''Lex Mercatoria'' ilipozii kujumuishwa katika sheria za kimanispaa za nchi mbalimbali chini ya mkusanyiko mpya wa sheria za kiraia. [[Mkusanyiko wa Sheria za Kinapolioni]] na sheria za [[Bürgerliches Gesetzbuch|Kijerumani]] ulikuwa na ushawishi mkubwa zaidi. Ikitofautishwa na sheria ya kawaida ya Uingereza, ambayo ina idadi kubwa ya sheria za kesi, mikusanyiko ya sheria katika vitabu vidogo ni rahisi kuuza nje ili mahakimu waweze kuitumia. Hata hivyo, hivi leo kuna ishara kuwa sheria ya kiraia na sheria ya kawaida zinazidi kukaribiana.<ref>Mattei, ''Comparative Law and Economics'', 71</ref> Sheria ya Umoja wa Ulaya imekusanywa katika mikataba, lakini huendelezwa kupitia utangulizi unaofanywa na [[Mahakama ya Ulaya ya Haki]].

[[File:Constitution of India.jpg|thumb|left|[[Katiba ya nchi ya Uhindi]] ndiyo katiba ndefu zaidi iliyoandikwa kwa nchi, ikiwa na Ibara 444, Ibara 12 ndogo, na marekebisho mengi na maneno 117,369]]

Sheria ya Kiislamu na [[Fiqh|falsafa ya sheria]] zilianza katika kipindi cha Zama za Kati.<ref name="Badr">Badr, ''Islamic Law'', 187–198</ref> Mbinu ya kisheria ya utangulizi na kufikiria kupitia mlinganisho (''[[Qiyas]]'') iliyotumika katika sheria ya mapema ya Kiislamu ilifanana na na ile ya baadaye ya mfumo wa [[Sheria ya Uingereza|Sheria ya Kawaida ya Uingereza]].<ref name=Gamal>Justice Gamal Moursi Badr argues that Islamic law may "be called a [[lawyer]]'s law if common law is a [[judge]]'s law"(Badr, ''Islamic Law'', 187–198, El-Gamal, ''Islamic Finance'', 16).</ref> Hii ilitumika hasa katika shule ya [[Maliki]] ya sheria ya Kiislamu iliyopatikana sana katika eneo la Afrika Kasakazini, [[Al-Andalus|Uhispania wa Kiislamu]] na baadaye [[Sicily ya Kiemereti]]. Kati ya karne za 8 na 11, sheria ya Maliki iliendeleza [[taasisi]] nyingi zilizokuwa sambamba na taasisi za baadaye za sheria ya kawaida.<ref>The "royal English contract protected by the action of debt is identified with the Islamic ''Aqd'', the English [[assize of novel disseisin]] is identified with the Islamic ''Istihqaq'', and the English jury is identified with the Islamic ''Lafif''". Other parallels include "the [[scholastic method]], the license to teach" (''[[Ijazah]]''), the "[[law school]]s known as [[Inns of Court]] in England and ''[[Madrasah|Madrasas]]'' in Islam", and the [[Agency (law)|agency]] (''[[Hawala]]'') and [[trust law]] (''[[Waqf]]'') (Gaudiosi, ''The Influence of the Islamic Law '', 1231–1261; Makdisi, ''The Islamic Origins'', 1635–1739).</ref>

Sheria ya kale ya [[Sheria ya Uhindi|Uhindi]] na [[Sheria ya uchina|Uchina]] zinawakilisha mapokeo tofauti ya sheria, na kihistoria yamekuwa na shule huru za kinadharia na mazoezi. ''[[Arthashastra]]'', ambayo pengine iliandikwa mnamo mwaka wa 100 BB (ingawa ina maadiko ya awali kidogo), na ''[[Manusmriti]]'' (100–300BB) yalikuwa mikataba ya uanzilishaji nchini Uhindi, na ilikuwa na maandiko yanayofikiriwa kuwa uwongofu wenye mamlaka wa kisheria.<ref>For discussion of the composition and dating of these sources, see Olivelle, ''Manu's Code of Law'', 18-25.</ref> Falsafa kuu ya Manu ilikuwa kuvumiliana na [[Mfumo wa Viama Vingi (falsafa ya kisheria)|Mfumo wa Vyama Vingi]], na ilitajwa kote katika eneo la Asia ya Kusini Mashariki.<ref>Glenn, ''Legal Traditions of the World'', 276</ref> Mapokeo haya ya [[Uhindi|Kihindu]], pamoja na sheria ya Kiislamu, yalibadilishwa na na sheria ya kawaida wakati ambapo Uhindi ilifanywa kuwa sehemu ya [[Dola la Uingereza]].<ref>Glenn, ''Legal Traditions of the World'', 273</ref> Malaysia, Brunei, [[Sheria ya Singapore|Singapore]] na [[Sheria ya Hong Kong|Hong Kong]] pia ilianza kutumia sheria ya kawaida, Mapokeo ya Asia ya Kusini ya sheria yanaangazia mkusanyiko maalum wa ushawishi wa kidunia na kidni.<ref>Glenn, ''Legal Traditions of the World'', 287</ref> Ujapani ilikuwa nchi ya kwanza kuanza kuufanya mfumo wake wa sheria uwe wa kisasa sambamba na ule wa nchi za magharibi, kwa kuagiza sehemu za mkusanyiko wa sheria za [[Mkusanyiko wa Sheria|Ufaransa]], lakini hasa mkusanyiko wa sheria za Kijerumani.<ref>Glenn, ''Legal Traditions of the World'', 304</ref> Hili lilionyesha kwa kiwango fulani hadhi ya Ujerumani kama nguvu yenye uwezo mkubwa zaidi katika kipindi cha mwisho cha karne ya 19. Pia, [[sheria ya mapokeo ya Uchina]] ilifungua njia kwa kubadilishwa na nchi za magharibi kuelekea miaka ya mwisho ya [[Nasaba ya Qing|nasaba ya Ch'ing]] kupitia njia ya mkusanyiko wa sheria tatu za kibinfasi zilizokuwa na msingi katika muundo wa Ujapani wa sheria ya Ujerumani.<ref>Glenn, ''Legal Traditions of the World'', 305</ref> Leo [[Sheria ya Jamhuri ya Uchina|sheria ya Kitaiwani]] inabaki na mshikamano wa karibu zaidi na mkusanyiko wa sheria kutoka kipindi hicho, kwa sababu ya mgawanyiko kati ya wanataifa wa [[Chiang Kai-shek]], ambao walitoroka kutoka sehemu hiyo, na wakomunisti wa [[Mao Zedong]] waliopata ushindi wa kudhibiti bara mnamo mwaka wa 1949. Muundombinu wa sasa wa Jamhuri ya Watu wa Uchina ilishawishika pakubwa na [[Sheria ya Kisosholisti]] ya [[Umoja wa Urusi|Wasovyeti]], inayopea sheria ya utawala umuhimu mwingi kuliko haki za sheria ya kibinafsi.<ref>Glenn, ''Legal Traditions of the World'', 307</ref> Kwa sababu ya kuongezeka kwa kasi kwa viwanda, leo Uchina inapitia machakato wa wa marekebisho, angalau katika nyanja ya haki za kiuchumi, ikiwa si haki za kijamii na kisiasa. Sheria mpya ya mkataba ya mwaka wa 1999 ilikuwa ishara ya kusonga mbali na kuwa na utawala mwingi.<ref>Glenn, ''Legal Traditions of the World'', 309</ref> Isitoshe, baada ya mazungumzo yaliyodumu miaka kumi na mitano, mnamo mwaka 2001 Uchina ilijiunga na [[Shirika la Biashara Duniani]].<ref>Farah, ''Five Years of China WTO Membership'', 263–304</ref>

===Falsafa ya sheria===
{{main|Falsafa ya sheria}}
{{quote box2|bgcolor=#c6dbf7|width=22em|halign=left|salign=left|quote=Lakini, baada ya yote, sheria ni nini? [...] Ninaposema kuwa lengo la sheria wakati wote ni la jumla, nnamaanisha kuwa sheria inaangalia vyombo kwa umoja na vitendo katika hali la kidhana, na kamwe si mtu mtu fulani au tendo fulani. [...] Kutokana na mtazamo huu, mara moja tunaona kuwa haiwezi kuendelea kuulizwa ni jukumu la nani kuunda sheria, kwani sheria ni vitendo vya nia ya jumla; na wala kuwa kijana wa mfalme ni mkubwa kuliko sheria, kwani yeye ni raia wa Taifa; au ikiwa sheria inawezam kuwa kudhulumu, kwani hakuna yeyote ambaye anajidhulumu; au jinsi tunavyoweza kuwa huru na kwa wakati uo huo chini ya sheria, kwani sheria ni nakala za nia zetu
|source=Jean-Jacques Rousseau, ''[[The Social Contract]]'', II, 6.<ref>Rousseau, ''The Social Contract'', [http://ebooks.adelaide.edu.au/r/rousseau/jean_jacques/r864s/book2.html#section16 Book II: Chapter 6 (Law)]</ref>}}

[[Falsafa]] ya sheria kwa kawaida inaitwa jurisprudensi. Jurisprudensi unaozidi kuongezka wenyewe ni [[falsafa ya kisiasa]], na unauliza "sheria inafaa kuwa nini?", huku jurisprudensia ya uchambuzi inauliza "sheria ni nini?". Jibu la [[utumikaji|kiutumikaji]] la [[John Austin (mwanafalsafa wa kisheria)|John Austin]] linajibu kuwa sheria ni "amri, zinazoandamana na matishio ya vkwazo, kutoka kwa mtawala, ambaye watu wote wamezoea kumtii".<ref name="jap">Bix, [http://plato.stanford.edu/entries/austin-john/#3 John Austin]</ref> Mawakili wa [[sheria ya kimaumbile]] kwa upande mwingine, kama vile [[Jean-Jacques Rousseau]], wanadokeza kwamba sheria inaangazia sheria isiyobadilika ya tabia ya kimaumbile. Dhana ya "sheria ya kimaumbile" iliibuka katika [[falsafa ya Kigiriki]] ya zamani kwa wakati mmoja na kwa pamoja na dhana ya haki, na iliingia mkondo wa [[utamaduni wa Magharibi]] kupitia maandiko ya [[Thomas Aquinas]] na maoni ya [[Falsafa ya mapema ya Kiislamu|mwanafalsafa wa Kiislamu]] na mwanasheria [[Averroes]].<ref>Roeber, ''What the Law Requires'', 887</ref><ref>Stone, ''Human Law and Human Justice'', 14, 51</ref>

[[Hugo Grotius]], mwanzilishi wa mfumo uliotegemea dhana za kiakili pekee ya sheria ya kimaumbile, alidokeza kuwa sheria inatokana na msukumo wa kijamii—jinsi Aristotle alivyokuwa amesema—na kufikiria.<ref>[[Fritz Berolzheimer]], ''The World's Legal Philosophies'', 115–116</ref> [[Immanuel Kant]] aliamini kuwa amri ya kimaadili inahitaji sheria "zichaguliwe kana kwamba zinafaa kushikilia kama sheria za ilimwenguni kote za kimaumbile".<ref>[[Immanuel Kant|Kant, Immanuel]], ''Groundwork of the Metaphysics of Morals'', 42 (par. 434)</ref> [[Jeremy Bentham]] na mwanafunzi wake Austin, wakimfuata [[David Hume]], waliamini kuwa hili liliongeza utata wa [[Utata wa kilicho-na kinachofaa kuwepo|"kilicho" na kile ambacho "kinafaa kuwepo"]]. Bentham na Austin walisisitiza kuwe na sheria ya [[Uchanya wa sheria|uchanya]]; na kuwa sheria ya kweli ni tofauti kabisa na "maadili".<ref>Green, [http://plato.stanford.edu/entries/legal-positivism/ Legal Positivism]</ref> Kant pia alikosolewa na [[Friedrich Nietzsche]], ambaye alikataa kanuni ya usawa, huku akiamini kuwa sheria hutokana na [[nia kwa nguvu]], na haiwezi fanywa kuwa ya "kimaadili" au "utovu wa nidhamu".<ref>Nietzsche, ''Zur Genealogie der Moral'', Second Essay, 11</ref><ref>Kazantzakis, ''Friedrich Nietzsche and the Philosophy of Law'', 97–98</ref><ref>Linarelli, ''Nietzsche in Law's Cathedral'', 23–26</ref>

Mnamo mwaka wa 1934, mwanafalsafa wa Kiaustria, [[Hans Kelsen]], alizidi na mapokeo ya uchanya katika kitabu chake ''[[Nadharia Safi ya Sheria]]''.<ref>Marmor, [http://plato.stanford.edu/entries/lawphil-theory/ The Pure Theory of Law]</ref> Kelsen aliamini kuwa ingawa sheria ni tofauti na maadili, inapewa "ukawaida"; kumaanisha kuwa tunfaa kuitii. Ingawa sheria ni taarfa chanya za "ni" (k.m. faini ya kuendesha kwa kurudi nyuma katika barabara kuu ''ni'' [[Euro|€]]500); hii sheria inatuelezea kile "tunachofaa" kutenda. Kwa hivyo kila mfumo wa sheria unaweza kudadisiwa kuwa na kanuni ya msingi (''[[Grundnorm]]'') ianyotupea amri ya kutii. Mpinzani mkuu wa Kelsen, [[Carl Schmitt]], alikataa uchanya na dhana ya [[utawala wa sheria]] kwa sababu hakukubali umuhimu wa kanuni za kidhana za Uchanya badala ya mitazamo na uamuzi bayana wa kisiasa.<ref name=">Bielefeldt, ''Carl Schmitt's Critique of Liberalism'', 25–26</ref> Kwa hiyo, Schmitt alipendekeza falsafa ya sheria ya maalum ([[hali ya dharura]]), ambayo ilikanusha kuwa kanuni za kisheria zingezunguka uzoefu wote wa kisiasa.<ref name="F171">Finn, ''Constitutions in Crisis'', 170–171</ref>

[[File:Jeremy Bentham by Henry William Pickersgill detail.jpg|thumb|Nadharia za Bentham za utumikiaji zilibaki kimya katika sheria hadi karne ya 20]]

Baadaye katika karne ya 20, [[H. L. A. Hart]] alimshambulia Austin kwa kurahisisha kwake kwa suala hilo na Kelsen kwa kutunga kwake kwa mambo ya kihadithi katika kitabu cha ''[[Dhana ya Sheria]]''.<ref>Bayles, ''Hart's Legal Philosophy'', 21</ref> Hart alidokeza kuwa sheria ni mfumo wa kanuni, zilizogawanywa kuwa (kanuni za maadili) ambazo ndizo za kimsingi na sheria za upili (zinazowalenga maafisa kusimamia kanuni msingi). Kanuni za upili zimegawanywa zaidi kuwa sheria za uamuzi (kutatua migogoro ya kisheria), kanuni za mabadiliko (zinazoruhusu sheria kuwa tofauti) na sheria ya utambuzi(inayoruhusu sheria kutambulika kama halali). Wawili kati ya wanafunzi wa Hart waliendeleza mjadala: Ktaika kitabu chake ''Dola la Sheria'', [[Ronald Dworkin]] alimshabulia Hart na wachanya kwa kukataa kwao la kufanya sheria iwe suala la kimaadili. Dworkin anadokeza kuwa sheria ni dhana ya "[[utafsirishaji (sheria)|kitafsiri]]",<ref>Dworkin, ''Law's Empire'', 410</ref> inayowataka mahakimu kupata suluhisho bora zaidi kwa mgogoro wa kisheria, kwa mujibu wa mila zao. [[Joseph Raz]], kwa upande mwingine, anawataka alitetea mtazamo wa kichanya na kukosoa mtazamo wa Hart wa "nadharia laini ya kijamii" katika kitabu chake ''Mamlaka ya Sheria''.<ref name="jra">Raz, ''The Authority of Law'', 3–36</ref> Raz anadokeza kuwa sheria ni mamlaka, yanayotambulika kupitia vyanzo vya kijamii na bila kurejelea hoja za kimaadili. Katika maoni yake, uainishaji wowote wa kanuni zozote zaidi ya majukumu yao kama vifaa vya kimamlaka katika upatanisha ni bora yaachiwe [[elimu ya jamii]], badala ya falsafa ya sheria.<ref>Raz, ''The Authority of Law'', 37 etc.</ref>

===Uchambuzi wa kiuchumi wa sheria===
{{main|Sheria na uchumi}}

Katika karne ya 18 [[Adam Smith]] aliwasilisha msingi wa kifalsafa wa kuelezea uhusiano kati ya sheria na uchumi.<ref>According to Malloy (''Law and Economics'', 114), Smith established "a classical liberal philosophy that made individuals the key referential sign while acknowledging that we live not alone but in community with others".</ref> Taaluma hiyo ilitokana na mchango wa ukosoaji dhidi ya vyama vya wafanyikazi na [[sheria dhidi ya amana]] nchini Marekani. Watetezi wa taaluma hii waliokuwa na ushawishi mkubwa zaidi, kama vile [[Richard Posner]] na [[Oliver E. Williamson|Oliver Williamson]] na kinachojulikana kama [[Shule ya Chicago (uchumi)|Shule ya Chicago]] ya wanauchumi na mawakili ikiwemo [[Milton Friedman]] na [[Gary Becker]], kwa jumla ni watetezi wa [[uouguzaji wa udhibiti]] na [[ubinafsishaji]], na ni maadui wa udhibiti wa serikali au kile wanachokiona kuwa vikwazo dhidi ya unedeshaji wa ma[[soko huru]].<ref>Jakoby, ''Economic Ideas and the Labour Market'', 53</ref>

[[File:Richard-A-Posner.jpg|thumb|left|[[Richard Posner]], mmoja wa watetezi wa [[Chuo cha Chicago (uchumi)|Chuo cha Chicago]], huandika blogu pamoja na [[Gary Becker]] mwanauchumi ambaye ni mshindi wa [[Tuzo la Benki ya Uswidi]].<ref>{{cite web|url=http://www.becker-posner-blog.com/ |title=The Becker-Posner Blog |accessdate=2007-02-03}}</ref>]]

Mchambuzi maarufu zaidi wa kiuchumi wa sheria ni mshindi wa [[Tujo la Nobel la Uchumi|Tuzo la Nobel]] la mnamo 1991 [[Ronald Coase]], ambaye makala yake makuu ya kwanza, ''[[Hali ya Kampuni]]'' (1937), kulidokeza sababu za kuwepo kwa makampuni mbalimbali (makampuni, ubia, n.k.) ndiyo kuwepo kwa [[gharama za biashara]].<ref>Coase, ''The Nature of the Firm'', 386–405</ref> [[Homo economicus|Binadamu ambao hufikiria kawaida]] hufanya biashara kupitia mikataba ya bilaterala katika masoko wazi hadi wakati ambapo gharama ya biashara kunamaanisha kuwa kutumia makampuni ya kihalmasahhuri ili kuzalisha bidha ni ya ufanisi mwingi zaidi.Makala yake makuu ya pili, ''[[Shida ya Gharama ya Kijamii]]'' (1960), yalidokeza kuwa tunaishi katika Dunia bila gharama za kibiashara, watu ambao [[kuongea kuhusu gharama|huongea kuhusu gharama]] pamoja wanatengeneza mgao sawa wa rasilimali, buila kujali jinsi mahakama yanavyoweza kuamua katika migogoro kuhusu mali.<ref>Coase, ''The Problem of Social Cost'', 1–44</ref> Coase alitumia mfano wa kesi ya [[kero]] iliyoitwa ''[[Sturges dhidi ya Bridgman]]'', ambapo mtengenezaji peremende ambaye alipiga kelele nyingi na daktari mtulivu walikuwa majirani na walienda mahakamani ili wajue nani kati yao ndiye angefa kuhama.<ref name="Sturges"/> Coase alisema kuwa bila kujali ikiwa hakimu aliamua kuwa mtengenezaji peremende angefaa kuwacha kutumia mashine zake, au ikiwa ingembidi daktari kuvumilia kelele ile, wote wawili wangefikia mapatano ya pamoja kuhusu nani ndiye angefaa kuhama ambayo yanafikia matokeo sawa na mgawanyo wa rasilimali. Ni kuwepo tu kwa [[bei za biashara]] kunaoweza kuzuia hili.<ref>Coase, ''The Problem of Social Cost'', IV, 7</ref> Kwa hivyo sheria infaa kutazamia kile ambacho ''huenda kikafanyika'', na kuongozwa na ufumbuzi wenye [[ufanisi (uchumi)|ufanisi]]. Wenye kuunda mipango serikalini wanaamini wazo kwamba sheria na vikwazo si muhimu au zenye ufanisi katika kuwasaidia watu.<ref>Coase, ''The Problem of Social Cost'', V, 9</ref> Coase na wengine kama yeye walitaka mabadiliko ya mbinu, ili kuweka mzigo wa ushahidi katika serikali iliyokuwa ikiingilia soko, kwa kuchambua gharama za hatua.<ref>Coase, ''The Problem of Social Cost'', VIII, 23</ref>

===Somo la kijamii la sheria===
{{main|Somo la kijamii la sheria}}

Somo la kijamii la sheria ni taaluma pana ya masomo inayotazama mwingiliano kai ya sheria na jamii na inahusiana kwa karibu na falsafa ya sheria, uchambuzi wa kiuchumi wa sheria na masomo maalum zaidi kama [[somo la jinai]].<ref name="Jary">Jary, ''Collins Dictionary of Sociology'', 636</ref> Taasisi za The za [[ujenzi wa jamii]] na mifumo ya kisheria ni ameneo muhimu ya uchunguzi wa taaluma hii. Mwanzoni, wananadharia wa kisheria walishuku taaluma hii. Kelesen alimshambuliwa mmoja wa waanzilishi wake, [[Eugen Ehrlich]], ambaye alitaka kufanya wazi tofauti kati ya sheria ya uchanya, ambayo mawakili wanajifunza na kutumia, na aina zingine za 'sheria' au kanuni za kijamii zinazodhibiti maisha ya kila siku, na kwa jumla kuzuiwa migogoro isiwafikie mawakili mahakamani.<ref>Rottleuthner, ''La Sociologie du Droit en Allemagne'', 109</ref><ref>Rottleuthner, ''Rechtstheoritische Probleme der Sociologie des Rechts'', 521</ref>

[[File:Max Weber 1917.jpg|thumb|left|[[Max Weber]] mnamo mwaka wa 1917, Weber alianza kazi yake kama wakili, na antazamwa kama mmoja wa waanzilishi wa somo la jamii na somo la jamii la kisheria]]

Katika kipindi cha mwaka 1900 [[Max Weber]] alifafanua mbinu yake ya "kisayansi" ya sheria, huku akitambua "umbo la kimantiki ya sheria" kama aina ya utawala, ambao si chanzo cha watu lakini kwa dhana za kiakili.<ref>Rheinstein, ''Max Weber on Law and Economy in Society'', 336</ref> [[Mamalaka ya kimantiki ya sheria|Umantiki wa kisheria]] yalikuwa maneno yake aliyoyatumia kuelezea mwili wa sheria zinazoeleweka na zinazoweza kuhesabika na zilikuwa hatua ya kwanza ya maendeleo ya kisasa ya kisiasa na taifa la ukiritimba la kisasa na kuibuka sambamba na [[ubepari]].<ref name="Jary"/> Msomi mwingine wa somo la jamii, [[Émile Durkheim]], aliandika katika ''Mgawanyo wa Ujira na Jamii'' kuwa kadiri jamii inavyozidi kuwa kubwa, ndivyo mwili wa sheria ya kiraia unaohusika hasa na fidia unapozidi kukuwa kwa gharama ya sheria za jinai na vikwazo vya kisheria.<ref>Johnson, ''The Blackwell Dictionary of Sociology, 156</ref> Wasomi wengine wa somo la jamii ni [[Hugo Sinzheimer]], [[Theodor Geiger]], [[Georges Gurvitch]] na [[Leon Petrażycki]] Barani Ulaya, na [[William Graham Sumner]] nchini Marekani<ref>Gurvitch, ''Sociology of Law'', 142</ref><ref>Papachristou, ''Sociology of Law'', 81–82</ref>

==Taasisi za kisheria==
{{quote box2|bgcolor=#c6dbf7|width=22em|halign=left|salign=left|quote=Ni umoja wa kweli wa wote katika mtu mmoja, unaofanywa na agano la kila mtu na binadamu mwenzake, kwa njia ambayo ni kana kwamba kila mtu anamwambia mwenzake: Ninatoa haki yangu ya kujitawala kwa huyu mtu, au kundi hili la watu, kwa kutaka jambo moja tu; kuwa wewe umpe, haki yako, na uyape kibali mtendo yake yote kwa njia sawa.|source=Thomas Hobbes, ''Leviathan'', [http://oregonstate.edu/instruct/phl302/texts/hobbes/leviathan-c.html#CHAPTERXVII XVII]}}

Sheria si mwili wa kanuni zisizobadilika bali ni "machakato badilifu wa kanuni zinazobadilishwa kila wakati, kuundwa, na kupewa umbo ili kuambatana na hali fulani."<ref>Hamilton and Spiro, ''The Dynamics of Law'', 3</ref> Mabadiliko yanafanywa kila wakati na taasisi mbalimbali katika jamii. Taasisi kuu za sheria katika [[Demokrasia huru]] ni [[Mahakama huru]], [[Haki ya jinai|mifumo ya haki]], [[bunge]], serikali yenye [[uwajibikaji]], na ukiritimba wenye uwezo na usiokuwa na ufisadi , kiksoi cha polisi, [[kudhibitiwa kwa jeshi na raia]] na taaluma ya kisheria yenye nguvu inayohakikisha watu wanapta haki na jamii ya kiraia mbalimbali—neno linalotumika kuashiria taasisi za kijamii, jamii na ushirikiano unaunda msingi wa kisiasa wa sheria.<ref>Jakobs, ''Pursuing Equal Opportunities'', 5–6</ref><ref>Karkatsoulis, ''The State in Transition'', 275 etc.</ref>

John Locke, katika ''[[Maandiko Mawili kuhusu Serikali]]'', na [[Charles de Secondat, Baron de Montesquieu|Baron de Montesquieu]] katika ''[[Roho ya Sheria]]'', walitetea [[mgawanyo wa madaraka]] kati ya miili ya kisiasa ya bunge na serikali.<ref>[[Montesquieu]], ''The Spirit of Laws'', [http://www.constitution.org/cm/sol_11.htm#006 Book XI: Of the Laws Which Establish Political Liberty, with Regard to the Constitution, Chapters 6–7]</ref> Kanuni yao ilikuwa kuwa hakuna mtu anayefaa kuwa na uwezo wa kuchukua mamlaka yote ya [[Taifa huru|taifa]], ikitofautishwa na nadharia ya [[uimla]] ya [[Thomas Hobbes]]' ''[[Leviathan (book)|Leviathan]]''.<ref name="H17">Thomas Hobbes, ''Leviathan'', [http://oregonstate.edu/instruct/phl302/texts/hobbes/leviathan-c.html#CHAPTERXVII XVII]</ref> [[Max Weber]] na wengine walibadilisha mawazo kuhusu taifa. Jeshi la kisasa, upolisi na mamalaka ya ukiritimba juu ya masiha ya raia wa kawaida husababisha matatizo maalum ya uwajibikaji ambayo waandishi wa awali kama vile Locke au Montesquieu hawangeweza kutabiri. Mashirika ya kisasa ya kimataifa huzingatia umuhimu wa utawala wa sheria na [[utawala mzuri]], huku waandishi wengine hutafiti uhsusiano kati ya utawala wa sheria na utawala wa ufanisi katika nchi za kisasa.<ref>Curtin–Wessel, ''Good Governance'', 73</ref><ref>Fukuyama, ''State-Building'', 132</ref>

===Mahakama===
{{main|Mahakama}}

Mahakama ni idadi ya [[mahakimu]] wanaosikiza migogoro ili kuamua matokeo. Nchi nyingi zina mfumo wa mahakama ya [[rufaa]], yanayojibu kwa mamlaka makuu ya kisheria. Nchini Marekani haya ni [[Mahakama Kuu ya Marekani]];<ref>[http://www.supremecourtus.gov/about/briefoverview.pdf A Brief Overview of the Supreme Court], Supreme Court of the United States</ref> nchini Australia, [[Mahakama Kuu ya Australia]]; nchini Uingereza , ni [[Mahakama Kuu ya Uingereza]]<ref>[http://www.supremecourt.gov.uk/]</ref> (tangu tarehe1 Oktoba 2009; hapo awali yalikuwa, [[Nyumba ya Mabwana]]);<ref>[http://www.supremecourtus.gov/about/briefoverview.pdf House of Lords Judgements], House of Lords</ref> nchini Ujerumani ni ''[[Bundesverfassungsgericht]]''; nchini Ufaransa ni ''[[Cour de cassation (Ufaransa)|Cour de Cassation]]''.<ref>[http://www.bundesverfassungsgericht.de/entscheidungen.html Entscheidungen des Bundesverfassungsgerichts], Bundesverfassungsgericht</ref><ref>[http://www.courdecassation.fr/jurisprudence_publications_documentation_2/ Jurisprudence, publications, documentation], Cour de cassation</ref> Kwa nchi nyingi za Ulaya Mahakama ya Ulaya ya Haki nchini Luxembourg inaweza kuukataa umauzi wa kitaifa, wakati ambapo sheria ya Umoja wa Ulaya inafaa. Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu inayopatikana Strasbourg inawaruhusu raia wa nchi wanachama za [[Baraza la Ulaya]] kuleta kesi zao zinzohusiana na haki za kibinadamu mbele yake.<ref>Goldhaber, ''European Court of Human Rights'', 1–2</ref>
[[File:Public hearing at the ICJ.jpg|thumb|left|Mahakimu wa [[Mahakama ya Kimataifa ya Haki]] mjini [[Hague]]]]

Baadhi ya nchi huruhusu mamlaka yao makuu ya mahakama kukataa sheria wanayopata kuwa [[kinyume na katiba]]. Katika kesi ya ''[[Roe dhidi ya Wade]]'', Mahakama Kuu ya Marekani yalipindua sheria ya jimbo la Texas iliyopiga marufuku utoaji wa usaidizi kwa wanawake wenye nia ya [[Uavyaji mimba|kuavya mimba]].<ref>''[[Roe v Wade]]'' (1973) [http://caselaw.lp.findlaw.com/scripts/getcase.pl?navby=CASE&court=US&vol=410&page=113 410 U.S. 113] Retrieved 2007-01-26</ref> [[Marekebisho ya Kumi na Nne ya Katiba ya Marekani|Marekebisho ya Kumi na Nne]] ya katiba ya Marekani yalikuwa yametafsiriwa kuwapa ya [[faragha]], na kwa hivyo [[haki ya mwanamke kuchagua]] kuavya mimba.

Mahakama kinadharia yamefundwa na katiba, kama tu miili ya bunge. Katika nchi nyingi, mahakimu wana uwezo tu wa [[utafsiri (sheria)|kutafsiri]] katiba na sheria zingine zote. Lakini katika nchi zasheria ya kawaida, ambapo mambo si ya kikatiba, mahakama pia yanweza kuunda sheria chini ya [[mafundisho ya utangulizi]]. Uingereza, Finland na New Zealand hutumia dhana ya [[uhuru wa bunge]], ambapo mahakama ambayo hayajachaguliwa hayawezi kupindua sheria iliyopitishwa na bunge la kidemokrasia.<ref>Dicey, ''Law of the Constitution'', 37–82</ref> Katika [[Ukomiunisti|nchi za kikomiunisti]], kama vile Uchina, mahakama mara nyingi hutazamwa kama sehemu ya serikali, au kuwa chini ya bunge; taasisi za kiserikali na watendaji mbalimbali basi wana ushawishi tofauti kwa mahakama.<ref>E.g., the court president is a political appointee (Jensen–Heller, ''Introduction'', 11–12). About the notion of "judicial independence" in China, see Findlay, ''Judiciary in the PRC'', 282–284</ref> Katika nchi za Kiislamu, mahakama mara nyingi huchunguza ikiwa sheria za nchi zinafuata Sharia: [[Mahakama Kuu ya Kikatiba ya Misri]] inaweza kuoinga sheria kama hizo,<ref name="ReferenceA">Sherif, ''Constitutions of Arab Countries'', 158</ref> Na nchini Iran [[Baraza la Ulinzi]] linahakikisha uwiano wa sheria zinazopitishwa na "vigezo vya Uislamu".<ref name="ReferenceA"/><ref>Rasekh, ''Islamism and Republicanism'', 115–116</ref>

===Bunge===
{{main|Bunge}}
[[File:European-parliament-brussels-inside.JPG|thumb|Chumba cha mjadala cha [[Bunge la Ulaya]]]]

Mifano maarufu ya bunge ni [[Majumba ya Bunge]] mjini London, [[Bunge la Marekani|Kongresi]] mjini Washingtin D.C., [[Bundestag]] mjini Berlin na [[Duma]] nchini Moscow, [[Bunge la Italia|Parlamento Italiano]] mjini Roma na [[Bunge la Ufaransa|''Assemblée nationale'']] mjini Paris. Kwa kanuni ya serikali wakilishi watu hupigia kura wanasiasa ili watimize ''matakwa'' yao. Ingawa nchi kama Israeli, Ugiriki, Uswidi na Uchina zina [[nyumba moja ya bunge]], nchi nyingi zina [[nyumba mbili za bunge]], kumaanisha kuwa zina nyumba mbili za kibunge zinazochaguliwa tofauti. Katika 'nyumba ya chini' wanasiasa wanachaguliwa kuwakilisha [[Eneo wakilishi bungeni|maeneo wakilishi bungeni]]. 'Nymba ya juu' kawaida huchaguliwa kuwakilisha majimbo katika mfumo wa [[Jamhuri ya majimbo|majimbo]] (kama vile nchii Australia, Ujerumani au Marekani) au upigaji kura tofauti katika katika mfumo wa umoja (kama vile nchini Ufaransa). Nchini Uingereza nyumba ya juu inachaguliwa na na serikali kama [[Nyumba ya mabwana|nyumba ya marudio]]. Ukosoaji mmoja wa mifumo yenye nyumba mbili yenye nyumba mbili zilizochaguliwa ni kuwa nyumba ya juu na ya chini huenda zikafanana. Utetezi wa tangu jadi wa mifumo ya nyumba mbili nni kuwa chumba cha juu huwa kama nyumba ya marekebisho. Hili linaweza kupunguza uonevu na dhuluma katika hatua ya kiserikali'', 101</ref>

Ili kupitisha sheria, idadi kubwa ya [[Wabunge]] lazima [[wapige kura]] ili [[muswada (sheria inayopendekezwa)]] upitishwe katika kila nyumba. Kawaida kutakuwa na kusoma kwingi na marekebesho mengi yaliyopendekezwa na makundi tofaiti ya kisiasa. Ikiwa nchi ina katiba inayofuatiliwa vyema, idadi maalum ya mabadiliko katika katiba yanahitajika, hivyo kufanya iwe gumu kubadilisha sheria. Serikali kwa kawaida huongoza mchakato huo, ambao unaweza kujumuisha [[Wabunge]] (k.m. nchini Uingereza na Ujerumani). Lakini katika mfumo wa kiraisi, serikali inachagua [[Baraza la mawaziri (serikali)|baraza la mawaziri]] kutawala kutoka kwa washirika wake [[kisiasa]] ikiwa wamechaguliwa au la (k.m. nchini Marekani au Brazili), na jukumu la bunge linapunguza liwe [[kukubali]] au [[kukataa]].<ref>About "cabinet accountability" in both presidential and parliamentary systems, see Shugart–Haggard, ''Presidential Systems'', 67 etc.</ref>

===Serikali===
{{main|Serkali}}
[[File:Dmitry Medvedev 2 April 2009-1.jpg|right|thumb| Mikutano ya [[Uchumi mkubwa wa G-20|G20]] inahusisha wawakilishi wa serikali ya kila nchi]]

Mtendaji katika mfumo wa kisheria hutumika kama kituo cha [[serikali]] cha [[mamlaka]] ya kisiasa. Katika [[mfumo wa kibunge]], kama vile nchini Uingereza, Italia, Ujerumani na Ujapani, mtendaji hujulikana kama [[Baraza (serikali)|serikali]], na huwa na wanachama wa bunge. Mtendaji huchaguliwa na [[Waziri Mkuu]] au [[Chansela]], ambaye ofisi yake ina nguvu za chini ya [[Kura ya kutokuwa na imani|imani]] ya bunge. Kwa sababu uchaguzi wenye watu wengi huteua vyama vya kisiasa kutawala, kiongozi a chama anaweza kubadilika katika kipindi kabla ya uchaguzi mwingine. [[Mkuu wa Taifa]] ni kando na mtendaji, na kimfano hupitisha sheria na huwa kama mwakilishi wa nchi. Baadhi ya mifano ni [[Rais wa Ujerumani]] (anayeapishwa na Bunge); [[Malkia wa Uingereza]] (wadhifa wa [[kurithi]]), na [[Rais wa Austria]] (anachaguliwa kwa kura ya wengi). Mfano mwingine muhimu ni [[mfumo wa kirais]], unaopatikana nchini Ufaransa, Marekani na Urusi. Katika mifumo ya kirais, mtrndaji huwa kama mkuu wa taifa na mkuu wa serikali, na ana nguvu za kuchagua baraza la mawaziri pekee yake. Chini ya mfumo wa kirais, tawi la mtendaji ni kando na bunge ambapo haiwajibiki mbele ya bunge.<ref>Haggard, ''Presidents, Parliaments and Policy'', 71</ref><ref>Olson, ''The New Parliaments of Central and Eastern Europe'', 7</ref>

Ingawa jukumu la mtendaji ni tofauti toka nchi moja hado nyingine, kawaida itapendekeza wingi wa sheria, na kupendekeza ajenda ya serikali. Katika mifumo ya kirais, mtendaji mara nyingi ana nguvu za kukataa sheria. Mara nyingi mtendaji katika mifumo yote ana wajibu wa [sera za mahusiano ya nje]], jeshi na polisi na urasimu. [[Mawaziri]] au maafisa wengine wanasimamia ofisi za nchi, kama vile [[Waziri wa nje|wizara ya nje]] au [[Waziri wa ndani|wizara ya ndani]]. Uchaguzi wa mtendaji tofauti kwa hivyo ina uwezo wa kupindua mtazamo wa nchi nzima wa serikali.

===Jeshi na polisi===
{{main|Jeshi|Polisi}}
[[File:US Customs and Border Protection officers.jpg|thumb|Maafisa wa [[Marekani wa Forodha na Ulinzi wa Mipaka]]]]

Ingawa mashirika ya kijeshi yamekuwepo kwa muda mrefu kama serikali yenyewe, dhana la kikosi cha polisi kilicho tayari ni dhana ya kisasa. Mfumo wa [[Uingereza ya Zama za Kati]] ya [[mahakama ya jinai]] ya kusafiri, au [[Mahakama ya assize|assize]], ilitumia [[kesi za maonyesho]] na unyongaji hadharani kufanya jamii ziwe na hofu na hivyo kudumisha udhibiti.<ref>See, eg ''[[Tuberville v Savage]]'' (1669), 1 Mod. Rep. 3, 86 Eng. Rep. 684, where a knight said in a threatening tone to a layman, "If it were not assize time, I would not take such language from you."</ref> Polisi wa kwanza wa kisasa pengine walikuwa wale wa Paris wa karne ya 17, katika mahakama ya [[Louis XIV wa Ufaransa|Louis XIV]],<ref>[http://www.history.com/encyclopedia.do?articleId=219522 History of Police Forces], History.com Encyclopedia</ref> ingawa Polisi wa Mkoa wa Paris ndio wanadai kuwa wao ndio waliokuwa wa kwanza kuvaa sare.<ref>[http://www.prefecture-police-paris.interieur.gouv.fr/documentation/bicentenaire/theme_expo4.htm Des Sergents de Ville et Gardiens de la Paix à la Police de Proximité], La Préfecture de Police</ref>

Weber yu maarufu kwa kudokeza kwamba taifa ni lile ambalo linadhibiti kihalali utumizi wa kipekee wa vurugu.<ref name="mwp154">Weber, [[s:Politics as a Vocation|Politics as a Vocation]]</ref><ref>Weber, ''The Theory of Social and Economic Organisation'', 154</ref> Majeshi na askari wanalinda usalama kufuatana na amri ya serikali au mahakama. Maneno [[taifa lililopangarayika]] yanaashiria taifa ambalo haliwezi kutekeleza au kulazimisha sera; askari wao na majeshi hawana uwezo wa kulinda usalama na amani na jamii inaelekea [[vurugu pekee]], wakati serikali inapokosekana.<ref>In these cases sovereignty is eroded, and often warlords acquire excessive powers (Fukuyama, ''State-Building'', 166–167).</ref>

===Urasimu===
{{main|Urasimu}}
[[File:UN Headquarters 2.jpg|thumb| Makao makuu ya [[Umoja wa Mataifa]] mjini New York yana watumishi wa kiserikali wanaotoa huduma kwa mataifa wanachama 192 ya shirika hilo.]]

Asili ya neno "Urasimi" ni neno la Kifaransa la "ofisi" (''bureau'') na neno la [[Kigiriki cha Zamani]] cha "nguvu" (''kratos'').<ref>[http://www.etymonline.com/index.php?search=bureaucracy&searchmode Bureaucracy], Online Etymology Dictionary</ref> Kama tu wanajeshi na polisi, watumishi wa mfumo wa kisheria wa serikali na miili inayounda urasimu wake hufuata maagizo ya Mtendaji. Mojawapo ya marejeo kwa dhana yalifanywa [[Friedrich Melchior, baron von Grimm|Baron de Grimm]], mwandishi wa Kijerumani aliyeishi nchini Ufaransa. Mnamo mwaka wa 1765 aliandika,

<blockquote>Roho halisi ya sheria nchini Ufaransa ni urasimu amabo marehemu Monsieur de Gournay alikuwa akilalamika sana kuhusu; hapa ofisi, makarani, makatibu, wasimamizi na ''wanaonuia kufanya kazi fulani'' hawaapishwi kufaidi maslahi ya umma, kwa hakika maslahi ya ummayanaonekana kuanzishwa ili ofisi hizo ziwepo.<ref>Albrow, ''Bureaucracy'', 16</ref></blockquote>

Wasiwasi kuhusu "utawala wa kiofisi" bado ni kawaida, na utendaji wa watumishi wa umma kawaida hutofautishwa na wa [[kampuni za kibinafsi]] zinazoendeshwa na lengo la [[faida]].<ref>Mises, ''Bureaucracy'', II, [http://www.mises.org/etexts/mises/bureaucracy/section2.asp Bureaucratic Management]</ref> Kwa kweli kampuni za kibinafsi, hasa zile kubwa, pia zina urasimu.<ref name="K367">Kettl, ''Public Bureaucracies'', 367</ref> Mtazamo mbaya wa "[[urasimu]]" kando, huduma za umma kama vile elimu, afya na shughuli za polisi au [[uchukuzi wa umma]] ni kazi muhimu nchi hivyo basi kufanya urasimu wa umma chanzo cha nguvu za serikali.<ref name="K367" /> Akiandika mapema katika karne ya 20, Max Weber aliamini kuwa sifa muhimu ya nchi iliyoendelea ilikuwa imekuwa msaada wake wa kirasimu.<ref name="mwp393">Weber, ''Economy and Society'', I, 393</ref> Weber aliandika kuwa sifa za kawaida za urasimu wa kisasa ni kuwa maafisa wanafafanua lengo lake, wigo wa kazi umefungwa na kanuni, usimamizi unajumuisha wataalamu wa wataalamu wa kitaaluma, amabo ambao husimamia kuanzia juu kuenda chini, wakiwasiliana kupitia kuandika na kufunga uwezo wa wafanyikazi wa umma kufanya watakavyo kwa kutumia kanuni.<ref>Kettl, ''Public Bureaucracies'', 371</ref>

===Taaluma ya kisheria===
{{main|Taaluma ya kisheria}}
[[File:Quentin Massys 007.jpg|thumb|Katika mifumo ya sheria ya kiraia kama ile ya Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uhispania na Ugiriki, kuna aina maalum ya [[Karani wa sheria ya kiraia]], afisaa wa umma mwenye ufunzi wa kisheria, anayelipwa fidia na wanaofanya biasharaa.<ref>Hazard–Dondi, ''Legal Ethics'', 22</ref> Hii ni picha ya karne ya 16 ya karani wa sheria ya kiraia kama huyo ya mchoraji wa Kiflemi [[Quentin Massys]].]]

Hitimisho la utawala wa sheria ni kuwepo kwa taaluma ya kisheria yenye uhuru wa kutosha wa kuweza kuomba mamlaka ya mahakama huru; haki ya usaidizi kusaidiwa na [[wakili]] mahakamani uanatokana na hitimisho hili—nchini Uingereza kazi ya wakili inatofautishwa na ile ya mshauri wa kisheria.<ref>Hazard–Dondi, ''Legal Ethics'', 1</ref> Kama mahakama ya Ulaya ya Haki za Binadamu yanavyosema, sheria inafaa kupatikana na kila mtu na waty wanfaa kutabiri jinsi sheria itakavyowaathiri.<ref>''[[The Sunday Times v The United Kingdom]]'' [1979] [http://www.worldlii.org/eu/cases/ECHR/1979/1.html ECHR 1 at 49] Case no. 6538/74</ref> Ili kudumisha utaaluma, [[zoezi la sheria]] kawaida linachungwa na serikali au mwili huru kama vile [[chama cha mawikili]], [[baraza la mawakili]] au [[jamii ya sheria]]. Mawakili wa kisasa wanapata utambulisho maalum wa kisheria kupitia taratibu maalum za kisheria (k.m. mafanikio katika mitihani), yanahitajika na sheria ili kuwa na cheti maalum (elimi ya kisheria inayompa mwanafunzi [[Shahada ya Sheria]], [[Shahada ya Sgeria ya Kiraia]], au [[Shahada]] ya [[Juris Doctor]]<ref>Higher academic degrees may also be pursued. Examples include a [[Master of Laws]], a [[Master of Legal Studies]] or a [[Doctor of Laws]].</ref>), na zinawekwa ofisini kwa kutumia fomu za kisheria za kuapishwa ([[kukubaliwa katika baraza la mawakili]]). Nchi nyingi za Kiisalmu zina sheria sawa kuhusu elimu ya kisheria na taaluma ya kisheria, lakini zingine bado zinaruhusu mawakili wenye mafunzo katika sheria ya Kiislamu ya jadi katika taaaluma ua sheria katika mahakama ya hadhi ya kibinasfi.<ref>Ahamd, [http://www.macalester.edu/~ahmad/Lawyers.pdf Lawyers: Islamic Law]</ref> Nchini Uchina na katika nchi zingine za ulimwengu unaoendelea hakuna watu wa kutosha wenye mafunzo ya kisheria kufanya kazi katika mifumo ya mahakama iliyopo katika nchi hizo, na, kufuatana na hilo, viwango rasmi si vikali sana.<ref>Hazard–Dondi, ''Legal Ethics'', 22–23</ref>

Baada ya kupata kukubalika, wakili mara nyingi atafanya kazi katika [[kampuni ya sheria]], katika [[vyumba (sheria)|vyumba]] kama wakili wa kipekee, katika wadhifa wa kiserikali au katika shirika la kibinafsi kama [[mshauri]] wa ndani. Isitoshe wakili anaweza kuwa [[|utafiti wa kisheria|mtafiti wa kisheria]] anayepeana uatafiti wa kisheria unapoitishwa kupitia maktaba, huduma ya kibiashara au kazi isiyokuwa na muajiri mmoja. Watu wengi wenye mafunzo katika sheria walitumia utafiti wao katika taaluma nyingine tofauti kabisa. Adhimu kwa zoezi la sheria katika mapokeo ya sheria ya kawaida ni utafiti wa kisheria kujua hali ya wakati wa sasa wa sheria. Hili linahushisha kuchunguza [[ripoti za sheria|ripoti za kesi]], [[majarida ya kisheria]] na sheria. Zoezi la sheria pia inahusu kuandika hati kama vile [[kuiitia]] kwa mahakama, [[brifu [sheria)|brifu]], mikataba, au [[amana]]. Majadiliano na ujuzu wa [[kusuluhisha migogoro]] (ikijumuisha mbinu za [[Mbinu za Masuluhisho ya Kimbadala|ADR]]) pia ni muhimi kwa zoezi la sheria, ikitegemea na aina ya taaluma.<ref>Fine, ''The Globalisation of Legal Education'', 364</ref>

===Mashirika ya kijamii===
{{main|Mshirika ya kijamii}}
[[File:1963 march on washington.jpg|thumb|Maandamano mjini Washington D.C. wakati wa [[Harakati za Haki za Kiraia za Wamarekani wenye asili ya Kiafrika (1955–1968)|Harakati ya Haki za Kiraia ya Marekani]] mnamo mwaka wa 1963]]

Dhana ya [[Kiripablikani wakati kulipokuwa na madaraja mbalimbali ya kijamii]] ya "mashirika ya kijamii" ilianzia wakati wa Hobbes na Locke.<ref>Warren, ''Civil Society'', 3–4</ref> Locke aliona mashirika ya kijamii kama watu wenye "sheria sawa na mahakama [[kurejelea]] , yenye mamlaka ya kuamua utata baina yao."<ref>Locke, ''[[s:Two Treatises of Government/The Second Treatise of Government: An Essay Concerning the True Origin, Extent, and End of Civil Government|Second Treatise]]'', Chap. VII, Of Political or Civil_Society. Chapter 7, section 87</ref> Mwanafalsafa wa Kijerumani [[Georg Wilhelm Friedrich Hegel]] alitofautisha "taifa" na "mashirika ya kijamii" (''burgerliche Gesellschaft'') katika kitabu chake ''[[Vipengele vya Falsafa ya Sawa]]''.<ref>Hegel, ''Elements of the Philosophy of Right'', 3, II, [http://www.marxists.org/reference/archive/hegel/works/pr/prcivils.htm 182]; Karkatsoulis, ''The State in Transition'', 277–278</ref> Hegel aliamini kuwa [[mashirika ya kijamii]] na [[Taifa huru|taifa]] zilikuwa kinyume kabisa, katika mpangilio wa nadharia yake ya historia. Taifa la kisasa lenye pande hizi mbili–mashirika ya kijamii lilizaliwa tena katika nadharia za [[Alexis de Tocqueville]] na [[Karl Marx]].<ref>(Pelczynski, ''The State and Civil Society'', 1–13; Warren, ''Civil Society'', 5–9)</ref><ref>{{cite journal
| last = Zaleski
| first = Pawel
| authorlink =
| coauthors =
| title = Tocqueville on Civilian Society. A Romantic Vision of the Dichotomic Structure of Social Reality
| journal = Archiv für Begriffsgeschichte
| volume = 50
| issue =
| pages =
| publisher = Felix Meiner Verlag
| location =
| year = 2008
| url =
| issn =
| doi =
| id =
| accessdate = }}
</ref> Siku hizi katika nadharia ya wakati wa baada ya kisasa za mashirika la kijamii lazima iwe chanzo cha sheria, kwa kuwa msingi ambapo watu wanaunda maoni na kushwishi yale wanayoamini sheria inafaa kuwa. Kama wakili wa Kiaustralia na mwandishi [[Geoffrey Robertson QC]] alivyoandika kuhusu sheria ya kimataifa,


<blockquote>... mojawapo ya vyanzo vyake vya kisasa inapatikana katika majibu ya kawaida ya wanaume na wanawake, na mashirika yasiyo ya kiserikali, amabyo wengi huunga, kwa ukiukaji wa haki za kibinadamu amabyo wengi huona kwenye runinga wakiwa sebuleni nyumbani mwao.<ref>Robertson, ''Crimes Against Humanity'', 98–99</ref></blockquote>

[[Uhuru wa kujieleza]], [[uhuru wa kujumuika]] na sheria zingine nyingi za kibinafsi zinawaruhusu watu kukusanyika, kujadili, kukosoa na kufanya serikali zao kuwajibika, ambapo msingi wa [[demokrasia ya majadiliano]] inaibuka. Watu wanapozidi kujihusisha mamlaka ya kisheria na na kuwa na uwezo wa kubadilisha jinsi mamlaka ya kisiasa yanapotumika maishani mwao; ndivyo sheria inapozidi kuwa [[Uhalali (kisiasa)|halali]] kwa watu. Taasisi ambazo ni za kawaida sana za mashirika ya kijamii ni masoko ya kibiashra, kampuni zenye malengo ya kupata faida, familia, [[vyama vya kibiashara]], hospitali, vyuo vikuu, shule, mashirika ya msaada, [[vilabu vya kujadili]], [[mashirika yasiyokuwa ya kiserikali]], vitongoji, makanisa, na vyama vya kidini.<ref>There is no clear legal definition of the civil society, and of the institutions it includes. Most of the institutions and bodies who try to give a list of institutions (such as the [[European Economic and Social Committee]]) exclude the political parties. For further information, see Jakobs, ''Pursuing Equal Opportunities'', 5–6; Kaldor–Anheier–Glasius, ''Global Civil Society'', ''[http://www.lse.ac.uk/Depts/global/Publications/Yearbooks/2003/2003Chapter1a.pdf passim]'' (PDF); Karkatsoulis, ''The State in Transition'', 282–283.</ref>

{{-}}

== See also ==
{{portal}}
{{Wikipedia-Books}}
{{main|Muhtasari wa sheria}}

*[[Haki za kibindamu]]
*[[Uchumi]]
*[[Historia]]
*[[Sayansi ya Kisiasa]]
*[[Falsafa]]

== Notes ==

{{reflist|2}}

== References ==

; Printed sources:
{{refbegin|2}}
*{{cite encyclopedia |last=Ahmad|first=Ahmad Atif|title =Lawyers: Islamic Law |encyclopedia=Oxford Encyclopedia of Legal History |publisher=Oxford University Press |url=http://www.macalester.edu/~ahmad/Lawyers.pdf|format=PDF}}
*{{cite book|last=Akhlaghi|first=Behrooz|title=The Sharīʻa in the Constitutions of Afghanistan, Iran, and Egypt|year=2005|isbn=3-161-48787-7|publisher=Mohr Siebeck|editor=Yassari, Nadjma|chapter=Iranian Commercial Law and the New Investment Law FIPPA}}
*{{cite book|last=Albrow|first=Martin|publisher=Palgrave Macmillan|location=London|title=Bureaucracy (Key Concepts in Political Science)|year=1970|isbn=0-333-11262-8}}
*{{cite journal|last=Anderson |first=J.N.D.|year=1956|month=January |title=Law Reform in the Middle East |journal=International Affairs (Royal Institute of International Affairs 1944—) |volume=32 |issue=1 |pages=43–51|url=http://www.jstor.org/pss/2607811 |accessdate=2007-03-04 |doi=10.2307/2607811}}
*{{Cite wikisource|Constitution of the Athenians|[[Aristotle]]}}. See original text in [http://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?doc=Perseus%3Atext%3A1999.01.0058 Perseus program].
*{{cite book |last= Auby|first= Jean-Bernard |title= Administrative Law of the European Union, its Member States and the United States|editor= Stroink, F.A.M.; Seerden, René| publisher=Intersentia|year=2002|isbn= 9-050-95251-8|chapter=Administrative Law in France}}
*{{cite journal|title=Islamic Law: Its Relation to Other Legal Systems|first=Gamal Moursi|last=Badr|journal=The American Journal of Comparative Law|volume=26|issue=2|month=Spring|year=1978|pages=187–198|doi=10.2307/839667}}
*{{cite book |last=Bayles |first=Michael D. | title=Hart's Legal Philosophy|year=1992 |publisher=Springer |isbn= 0-792-31981-8 |chapter=A Critique of Austin}}
*{{cite book|last=Beale|first=Hugh|coauthors=Tallon, Denis|title=Contract Law|year=2002|isbn=1-841-13237-3|publisher=Hart Publishing|chapter=English Law: Consideration}}
*{{cite book |last= Bergkamp|first=Lucas|title=Liability and Environment| publisher=Martinus Nijhoff Publishers|year=2001|isbn= 9-041-11645-1|chapter=Introduction}}
*{{cite book |last=Berle |first=Adolf |authorlink=Adolf Berle |title=Modern Corporation and Private Property |year=1932 }}
*{{cite book |last=Bielefeldt|first=Heiner|editors=David Dyzenhaus|title=Law as Politics: Carl Schmitt's Critique of Liberalism| publisher=Duke University Press|year=1998|isbn= 0-822-32244-7|chapter=Carl Schmitt's Critique of Liberalism: Systematic Reconstruction and Countercriticism}}
*{{cite book|first=William|last=Blackstone|authorlink=William Blackstone|title=Commentaries on the Laws of England|url=http://www.yale.edu/lawweb/avalon/blackstone/blacksto.htm|year=1765–69}}
*{{cite book|last=Brody|first=David C.|coauthors=Acker, James R.; Logan, Wayne A.|publisher=Jones & Bartlett Publishers|title=Criminal Law|year=2000|isbn=0-834-21083-5|chapter=Introduction to the Study of Criminal Law}}
*{{cite book|first=Tom D.|last=Campbell|title=A Companion to Contemporary Political Philosophy edited by Robert E. Goodin and Philip Pettit|year=1993|chapter=The Contribution of Legal Studies|isbn=0-631-19951-9|publisher=Blackwell Publishing|location=Malden, Mass.}}
*{{cite book|last=Churchill|first=Winston|title=The Hinge of Fate|year=1986|isbn=0-395-41058-4|chapter=Problems of War and Peace|publisher=Houghton Mifflin Books}}
*{{cite book|last=Clarke |first=Paul A. B. |coauthors=Linzey, Andrew |title=Dictionary of Ethics, Theology and Society |year=1996|isbn=0-415-06212-8|publisher=Routledge|location=London}}
*{{cite journal|last=Coase |first=Ronald H.|authorlink=Ronald H. Coase |year=1937|month=November |title=The Nature of the Firm |journal=Economica |volume=4 |issue=16 |pages=386–405|accessdate=2007-02-10 |doi=10.1111/j.1468-0335.1937.tb00002.x}}
*{{cite journal |last=Coase |first=Ronald H.|authorlink=Ronald H. Coase |year=1960|month=October |title=The Problem of Social Cost (this online version excludes some parts) |journal=Journal of Law and Economics |volume=3 |pages=1–44 |url=http://www.sfu.ca/~allen/CoaseJLE1960.pdf ''The Problem of Social Cost |accessdate=2007-02-10 |doi=10.1086/466560}}
*{{cite book|title=Financial Structures and Economic Growth|last=Demirgüç-Kunt|first=Asli| coauthors=Levine, Ross| year=2001|publisher=MIT Press| isbn=0-262-54179-3|chapter=Financial Structures and Economic Growth}}
*{{cite book |last=Curtin|first= Deirdre |coauthors=Wessel, Ramses A.|title= Good Governance and the European Union: Reflections on Concepts, Institutions and Substance| publisher=Intersentia nv|year=2005|isbn= 9-050-95381-6|chapter=A Survey of the Content of Good Governance for some International Organisations}}
*{{cite book|first=Dicey|last=Albert Venn|title=Introduction to the Study of the Law of the Constitution|year=2005|publisher=Adamant Media Corporation|isbn=1-402-18555-3|chapter=Parliamentary Sovereignty and Federalism}}
*{{cite book|title=Elements of War Crimes |first=Knut|last=Dörmann|coauthors=Doswald-Beck, Louise; Kolb, Robert|year=2003|publisher=Cambridge University Press|chapter=Appendix|isbn=0-521-81852-4}}
*{{cite book|title=The Division of Labor in Society|year=1893|last=Durkheim|publisher=The Free Press reprint|first=Emile|authorlink=Emile Durkheim|isbn=0684836386}}
*{{cite book |last=Dworkin |first=Ronald |authorlink=Ronald Dworkin |title=Law's Empire |year=1986 |publisher=Harvard University Press |isbn=0674518365}}
*{{cite book|title=Islamic Finance: Law, Economics, and Practice|first=Mahmoud A.|last=El-Gamal|year=2006|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=0-521-86414-3}}
*{{cite journal |last=Farah |first=Paolo |year=2006 |month=August |title=Five Years of China WTO Membership. EU and US Perspectives about China's Compliance with Transparency Commitments and the Transitional Review Mechanism |journal=Legal Issues of Economic Integration |volume=33 |issue=3 |pages=263–304 |url=http://papers.ssrn.com/sol3/papers.cfm?abstract_id=916768 |accessdate=}}
*{{cite book|last=Feinman|first=Jay M.|publisher=Oxford University Press US|title=Law 101|year=2006|isbn=0-195-17957-9|chapter=Criminal Responsibility and Criminal Law}}
*{{cite book|last=Findlay|first=Marc|title=Law, Capitalism and Power in Asia |year=1999|isbn=0-415-19742-2|publisher=Routledge|editor=Jayasuriya, Kanishka|chapter='Independence' and the Judiciary in the PRC}}
*{{cite book|last=Fine|first=Tony F.|publisher=Martinus Nijhoff Publishers|title=The Internationalization of the Practice of Law|editor=Drolshammer, Jens I.; Pfeifer, Michael|year=2001|isbn=9-041-11620-6|chapter=The Globalization of Legal Education in the United States}}
*{{cite book |last=Finn |first=John E. | title=Constitutions in Crisis: Political Violence and the Rule of Law|year=1991 |publisher=Oxford University Press|isbn= 0-195-05738-4 |chapter=Constitutional Dissolution in the Weimar Republic}}
*{{cite book |last=France |first=Anatole |authorlink=Anatole France |title=The Red Lily (Le lys rouge) |year=1894 |url=http://www.online-literature.com/anatole-france/red-lily/}}
*{{cite book|last=Fukuyama |first=Francis |authorlink=Francis Fukuyama |title=State-Building |year=2005—first edition in English 2004 |publisher=Editions Livanis |isbn=9-601-41159-3}}
*{{cite journal|last=Gaudiosi |first=Monica M. |title=The Influence of the Islamic Law of Waqf on the Development of the Trust in England: The Case of Merton College |journal=University of Pennsylvania Law Review|volume=136 |issue=4 |month=April | year=1988 |pages=1231–1261|doi=10.2307/3312162}}
*{{cite book|title=General Principles of Civil Law|first=Apostolos S.|last=Georgiadis|language=Greek|year=1997|publisher=Ant. N. Sakkoulas Publishers|isbn=9-602-32715-4|chapter=Sources of Law}}
*{{cite book |last=Giannoulatos |first=Anastasios |authorlink=Archbishop Anastasios of Albania| language=Greek| title=Islam&nbsp;– A General Survey|year=1975 |location=Athens|publisher=Poreuthentes |chapter=Characteristics of Modern Islam}}
*{{cite book|title=Legal Traditions of the World|first=H. Patrick|last=Glenn|year=2000|isbn=0198765754|publisher=Oxford University Press}}
*{{cite book|first=Goldhaber|last=Michael D.|title=A People's History of the European Court of Human Rights|year=2007|publisher=Rutgers University Press|isbn=0-813-53983-8|chapter=Europe's Supreme Court}}
*{{cite book|last=Gordley |first=James R. |coauthors=von Mehren, Arthur Taylor |title=An Introduction to the Comparative Study of Private Law |year=2006|isbn=9-780-52168-185-8|publisher=Cambridge University Press|location=Cambridge}}
*{{cite book |last=Gurvitch |first=Georges |authorlink=Georges Gurvitch |coauthors=Hunt, Alan |title=Sociology of Law |year=1942—New edition 2001 |publisher=Transaction Publishers |location=Athens |isbn=0-765-80704-1|chapter=Max Webber and Eugene Ehrlich}}
*{{cite book |last=Haggard |first=Stephan |title=Presidents, Parliaments and Policy |year=2001 |publisher=Cambridge University Press | isbn=0-521-77485-3| chapter=Institutions and Public Policy in Presidential Systems}}
*{{cite book |last=Hallaq |first=Wael Bahjat |title=The Origins and Evolution of Islamic Law |year=2005 |publisher=Cambridge University Press|isbn=0-521-00580-9|chapter=Introduction}}
*Hamilton, Michael S., and George W. Spiro (2008). ''The Dynamics of Law,'' 4th ed. Armonk, NY: M.E. Sharpe, Inc. ISBN 978-0-7656-2086-6.
*{{cite journal |last=Harris |first=Ron|authorlink=|year=1994|month=September |title=The Bubble Act: Its Passage and Its Effects on Business Organization |journal=The Journal of Economic History |volume=54 |issue=3 |pages=610–27 |url=http://www.jstor.org/stable/2123870?seq=2 |accessdate=2008-08-07}}
*{{cite book |last=Hart |first=H.L.A. |title=[[The Concept of Law]] |year=1961 |publisher=Oxford University Press}}
*{{cite journal |last=Hatzis |first=Aristides N.|year=2002|month=November |title=The Nature of the Firm |journal=European Journal of Law and Economics |volume=14 |issue=3 |pages=253–263|url=http://www.springerlink.com/content/k327084735034r15/ |accessdate=2007-02-13 |doi=10.1023/A:1020749518104}}
*{{cite book|last=Hayek |first=Friedrich |authorlink=Friedrich Hayek |title=[[The Constitution of Liberty]] |year=1978 |publisher=University Of Chicago Press |isbn=0-226-32084-7}}
*{{cite book|last=Hazard|first=Geoffrey C.|coauthors=Dondi, Angelo|publisher=Stanford University Press|title=Legal Ethics|year=2004|isbn=0-804-74882-9}}
*{{cite book|authorlink=Georg Wilhelm Friedrich Hegel|title=Elements of the Philosophy of Right|last=Hegel|first=Georg|language=German|year=1820|url=http://www.marxists.org/reference/archive/hegel/works/pr/preface.htm}}
*{{cite book|last=Hobbes|first=Thomas|authorlink=Thomas Hobbes|title=Leviathan|year=1651|url=http://oregonstate.edu/instruct/phl302/texts/hobbes/leviathan-contents.html |chapter= Chapter XVII: Of The Causes, Generation, And Definition Of a Commonwealth}}
*{{cite book |last=Jakobs|first=Lesley A.|title=Pursuing Equal Opportunities| publisher=Cambridge University Press|year=2004|isbn= 0-521-53021-0|chapter=Retrieving Equality of Opportunity}}
*{{cite journal |last=Jakoby |first=Stanford M. |year=2005 |month=Winter |title=Economic Ideas and the Labour Market |journal=Comparative Labor Law and Policy Journal |volume=25 |issue=1 |pages=43–78|url=http://www.law.uiuc.edu/publications/cll&pj/archive/vol_25/issue_1/JacobyArticle25-1.pdf|format=PDF|chapter=Cycles of Economic Thought|accessdate=2007-02-12}}
*{{cite book|title=Collins Dictionary of Sociology|year=1995|last=Jary| first=David|coauthors=Julia Jary|publisher=HarperCollins|isbn=0004708040}}
*{{cite book|last=Jensen|first=Eric G.|coauthors=Heller, Thomas C.|title=Beyond Common Knowledge|year=2003|isbn=0-804-74803-9|publisher=Stanford University Press|editor=Jensen, Eric G.; Heller, Thomas C.|chapter=Introduction}}
*{{cite book|title=The Blackwell Dictionary of Sociology|year=1995|last=Johnson| first=Alan|publisher=Blackwells publishers|isbn=1557861161}}
*{{cite book|title=Eckpfeiler Des Zivilrechts|first=Dagmar|last=Kaiser|year=2005|editor= Staudinger, Julius von; Martinek, Michael; Beckmann, Roland Michael |publisher=Walter de Gruyter|chapter=Leistungsstōrungen|isbn=3-805-91019-3}}
*{{cite book|last=Kaldor|first=Mary|coauthors=Anheier, Helmut; Glasius, Marlies|title=Global Civil Society Yearbook 2003|year=2003|isbn=0-199-26655-7|publisher=Oxford University Press|editor=Kaldor, Mary; Anheier, Helmut; Glasius, Marlies|chapter=Global Civil Society in an Era of Regressive Globalisation}}
*{{cite book|last=Kant|first=Immanuel|authorlink=Immanuel Kant|title=[[Groundwork of the Metaphysics of Morals]] (Translated by Mary Gregor)|year=1785—New edition 1998|publisher=Cambridge University Press|isbn= 0-521-62695-1}}
*{{cite book|title=The State in Transition|first=Panagiotis|last=Karkatsoulis|language=Greek|year=2004|publisher=I. Sideris|location=Athens|isbn=9-600-80333-1|chapter=Civil Society and New Public Management}}
*{{cite book |last=Kazantzakis |first=Nikos |authorlink=Nikos Kazantzakis| title=Friedrich Nietzsche and the Philosophy of Law and Polity|year=1909—Reissue edition 1998|language=Greek|location=Athens|publisher=Editions Kazantzakis |chapter=Law}}
*{{cite book|title=A Short History of Western Legal Theory|last=Kelly|first=J.M.| year=1992|publisher=Oxford University Press| isbn=0198762445}}
*{{cite book|title=The Oxford Handbook of Political Institutions edited by R. A. W. Rhodes, Sarah A. Binder and Bert A. Rockman |last=Kettl|first=Don| year=2006|month=November|publisher=Oxford University Press| isbn=0-199-27569-6|chapter=Public Bureaucracies}}
*{{cite journal |last=Linarelli |first=John |year=2004 | title=Nietzsche in Law's Cathedral: Beyond Reason and Postmodernism |journal=Catholic University Law Review |volume=53 |pages=413–457|chapter=Cycles of Economic Thought|accessdate=2007-03-05 |url=http://papers.ssrn.com/sol3/papers.cfm?abstract_id=421040}}
*[[File:wikisource-logo.svg|15px]] [[John Locke|Locke, John]] (1689). ''[[s:Two Treatises of Government/The Second Treatise of Government: An Essay Concerning the True Origin, Extent, and End of Civil Government|Second Treatise]]''
*{{cite book|last=Luban |first=David |title=Conflict of Interest in the Professions |year=2001 |publisher=Oxford University Press |isbn=0-195-12863-X|chapter=Law's Blindfold}}
*{{cite journal|last=Makdisi|first=John A.|title=The Islamic Origins of the Common Law|journal=[[North Carolina Law Review]]|month=June|year=1999|volume=77|issue=5|pages=1635–1739}}
*{{cite book|last=Malloy|first=Robin Paul|publisher=Springer|title=Adam Smith and the Philosophy of Law and Economics|editor=Paul Malloy, Robin; Evensky, Jerry|year=1994|isbn=0-792-32796-9|chapter=Adam Smith and the Modern Discourse of Law and Economics}}
*{{cite book|last=Mattei|first=Ugo|publisher=University of Michigan Press|title=Comparative Law and Economics|year=1997|isbn=0-472-06649-8|chapter=The Distinction between Common Law and Civil Law}}
*{{cite journal |last=Matthews |first=Paul |year=1995 |month=Autumn| title=The Man of Property |journal=Medical Law Review, |volume=3 |pages=251–274| doi=10.1093/medlaw/3.3.251| pmid=11657690}}
*{{cite book|last=McGhee|first=John|publisher=Sweet and Maxwell|location=London|title=Snell's Equity|year=2000|isbn=0-421-85260-7}}
*{{cite book |last=Mises |first=Ludwig von | authorlink=Ludwig von Mises |title=Bureaucracy | origyear=1944 |url=http://www.mises.org/etexts/bureaucracy.pdf |format=PDF| accessdate=2006-11-10 | year=1962 }}
*{{cite book|last=Montesquieu|first=Baron de|authorlink=Charles de Secondat, Baron de Montesquieu |title=The Spirit of Laws (translated in English by Thomas Nugent, revised by J. V. Prichard)|year=1748|url=http://www.constitution.org/cm/sol.htm|chapter=Book XI: Of the Laws Which Establish Political Liberty, with Regard to the Constitution, Chapters 6–7}}
*{{cite book|last=Nietzsche|first=Friedrich|authorlink=Friedrich Nietzsche |title=Zur Genealogie der Moral&nbsp;– Eine Streitschrift|year=1887|language=German|url=http://gutenberg.spiegel.de/?id=5&xid=1948&kapitel=1#gb_found|chapter=Zweite Abhandlung: "Schuld", "schlechtes Gewissen" und Verwandtes}}
*{{cite book|title=The Athenian Revolution: Essays on Ancient Greek Democracy and Political Theory|first=Josiah|last=Ober|year=1996|isbn=0-691-00190-1|publisher=Princeton University Press|chapter=The Nature of Athenian Democracy}}
*{{cite book |last=Olivelle |first=Patrick |title=Manu's Code of Law: A Critical Edition and Translation of the ''Manava-Dharmasastra |year=2005 |publisher=Oxford University Press |location=New York | isbn= 0-19-517146-2}}
*{{cite book |last=Olson, David M. |first=Norton, Philip |title=The New Parliaments of Central and Eastern Europe |year=1996 |publisher=Frank Cass (UK) | isbn= 0-714-64261-4 |chapter=Legislatures in Democratic Transition}}
*{{el icon}} {{cite book |last=Papachristou |first=T.K. |title=Sociology of Law |year=1999 |publisher=A.N. Sakkoulas Publishers |location=Athens |isbn=9-601-50106-1|chapter=The Sociological Approach of Law}}
*{{cite book|first=A.Z.|last=Pelczynski|year=1984|title=The State and Civil Society|publisher=Cambridge University Press}}
*{{cite book |last=Petersmann |first=Ernst-Ulrich | title=The GATT/WTO Dispute Settlement System|year=1997 |publisher=Martinus Nijhoff Publishers |isbn= 9-041-10933-1 |chapter=Rule of Law and Constitutionalism}}
*{{cite book|last=Rasekh|first=Mohammad|title=The Sharīʻa in the Constitutions of Afghanistan, Iran, and Egypt|year=2005|isbn=3-161-48787-7|publisher=Mohr Siebeck|editor=Yassari, Nadjma|chapter=Are Islamism and Republicanism Compatible?}}
*{{cite book |last=Raz |first=Joseph |authorlink=Joseph Raz |title=The Authority of Law, Essays on Law and Morality|year=1979 |publisher=Oxford University Press|isbn=0198254938 }}
*{{cite book|title=Law and Practice of International Commercial Arbitration|year=2004|last=Redfem|first=Alan|publisher=Sweet & Maxwell|isbn=0-421-86240-8|chapter=Regulation of International Arbitration}}
*{{cite book|title=Max Weber on Law and Economy in Society|year=1954|last=Rheinstein| first=M.|publisher=Harvard University Press}}
*{{cite book|title=Hammurabi's Laws|year=2004|last=Richardson|first=W.E.J.|publisher=Continuum International Publishing Group|isbn=0-567-08158-3|chapter=Introduction}}
*{{cite journal |last=Riker |first=William H. |authorlink=William H. Riker|year=1992 |month=January |title=The Justification of Bicameralism |journal=International Political Science Review / Revue internationale de science politique |volume=13 |issue=1 |pages=101–116 |url=http://links.jstor.org/sici?sici=0192-5121(199201)13%3A1%3C101%3ATJOB%3E2.0.CO%3B2-C }}
*{{cite book|title=Crimes Against Humanity|first=Geoffrey|last=Robertson|authorlink=Geoffrey Robertson|year=2006|publisher=Penguin|isbn=9780141024639}}
*{{cite journal|title=What the Law Requires Is Written on Their Hearts: Noachic and Natural Law among German-Speakers in Early Modern North America|first=A. G.|last=Roeber|journal=The William and Mary Quarterly, Third Series|volume=58|issue=4|month=October | year=2001|pages=883–912|doi=10.2307/2674504}}
*{{cite journal |last=Rottleuthner |first=Hubert |year=1989 |language=French|month=December |title=La Sociologie du Droit en Allemagne |journal=Droit et Société |volume=11 |pages=101–120 |url=http://www.reds.msh-paris.fr/publications/revue/pdf/ds11-12/ds011012-05.pdf |format=PDF| accessdate=2007-02-10}}
*{{cite journal |last=Rottleuthner |first=Hubert |language=German|year=1984 |title=Rechtstheoritische Probleme der Sociologie des Rechts. Die Kontroverse zwischen Hans Kelsen und Eugen Ehrlich (1915/17) |journal=Rechtstheorie |volume=5 |pages=521–551}}
*{{cite book|last=Rousseau|first=Jean-Jacques|authorlink=Jean-Jacques Rousseau|language=French|title=The Social Contract (translated in English by G. D. H. Cole)|year=1762|url=http://ebooks.adelaide.edu.au/r/rousseau/jean_jacques/r864s/book2.html#section16 |chapter= Book II: Chapter 6 (Law)}}
*{{cite book|title=Das Recht des Besitzes|first=Friedrich Carl von|last=Savigny|authorlink=Friedrich Carl von Savigny|year=1803|language=German|chapter=Zu welcher Classe von Rechten gehört der Besitz?|url=http://dlib-pr.mpier.mpg.de/m/kleioc/0010/exec/books/%22235083%22}}
*{{cite book|title=International Institutional Law|first=Henry G.|last=Schermers|coauthors=Blokker, Niels M.|year=1995|publisher=Martinus Nijhoff Publisher|location=The Hague/London/Boston| chapter=Supervision and Sanctions}}
*{{cite book|title=Commercial Law|first=L.S.|last=Sealy|coauthor=Hooley, R.J.A.|year=2003|publisher=LexisNexis Butterworths}}
*{{cite book|last=Sherif|first=Adel Omar|title=The Sharīʻa in the Constitutions of Afghanistan, Iran, and Egypt|year=2005|isbn=3-161-48787-7|publisher=Mohr Siebeck|editor=Yassari, Nadjma|chapter=Constitutions of Arab Countries and the Position of Sharia}}
*{{cite book|last=Shugart |first=Matthew Soberg|coauthors=Haggard, Stephan |title=Presidents, Parliaments, and Policy|editor=Haggard, Stephan; McCubbins, Mathew Daniel|year=2001|isbn=0-521-77485-3|publisher=Cambridge University Press|chapter=Institutions and Public Policy in Presidential Systems}}
*{{cite book|title=Cannibalism and the Common Law|last=Simpson|first=A.W.B.|publisher=University of Chicago Press|location=Chicago|year=1984|isbn=9780226759425}}
*{{cite journal |last=Smith |first=Stephen A. |year=2003 |month=winter |title=The Structure of Unjust Enrichment Law: Is Restitution a Right or a Remedy |journal=Loyola of Los Angeles Law Review |volume=36 |issue=2 |pages=1037–1062 |url=http://llr.lls.edu/volumes/v36-issue2/smith.pdf |format=PDF| accessdate=2007-02-09}}
*{{cite book|first=Peter|last=Stein|title=Roman Law in European History|year=1999|pages=32|publisher=Cambridge University Press|isbn=0-521-64372-4}}
*{{cite book|last=Stone|first=Julius|authorlink=Julius Stone|title=Human Law and Human Justice |year=1965|isbn=0-804-70215-2|publisher=Stanford University Press|chapter=Early Horizons of Justice in the West}}
*{{cite book |last=Tamanaha|first=Brian Z.|title=On the Rule of Law|year=2004|publisher=Cambridge University Press|isbn=0-521-60465-6|chapter=Locke, Montesquieu the Federalist Papers}}
*{{cite encyclopedia|last=Théodoridés|first=Aristide|year=1999 | title = law | encyclopedia = Encyclopedia of the Archaeology of Ancient Egypt| publisher = Routledge (UK) | id = 0-415-18589-0}}
*{{cite book| first=Russ|last=VerSteeg|title=Law in Ancient Egypt|year=2002|isbn=0-89089-978-9| publisher=Carolina Academic Press| location=Durham, N.C.}}
*{{cite book|title=Civil Society and Good Governance|year=1999|last=Warren| first=Mark E.|publisher=Center for the Study of Voluntary Organisations and Services, Georgetown University|location=Washington DC|url=https://www9.georgetown.edu/faculty/wilcoxc//CivilSociety.pdf|format=PDF}}
*{{cite book|title=Re-Examining Progressive Halakhah edited by Walter Jacob, Moshe Zemer|first=Mark|last=Washofsky|year=2002|publisher=Berghahn Books|isbn=1-571-81404-3|chapter=Taking Precedent Seriously}}
*{{cite book|last=Weber|first=Max|authorlink=Max Weber|title=Economy and Society, Volume I (Translated and edited by Claus Wittich, Ephraim Fischoff, and Guenther Roth)|year=1978|publisher=University of California Press|isbn= 0-520-03500-3|chapter=Bureaucracy and Political Leadership}}
*{{Cite wikisource|Politics as a Vocation|[[Max Weber|Weber, Max]] (1919)}}
*{{cite book|last=Weber|first=Max|authorlink=Max Weber|title=The Theory of Social and Economic Organization (Edited with Introduction by Talcott Parsons&nbsp;– Translated in English by A. M. Henderson)|year=1964|publisher=The Free Press of Glencoe|id= ASIN B-000-LRHAX-2}}
*{{cite journal |last=Wehberg|first=Hans |year=1959 |month=October |title=Pacta Sunt Servanda|journal=The American Journal of International Law|volume=53 |issue=4 |pages=775–786 |url=http://links.jstor.org/sici?sici=0002-9300%28195910%2953%3A4%3C775%3APSS%3E2.0.CO%3B2-6&size=SMALL |doi=10.2307/2195750}}
*{{cite book|last=Wilson|first=William|year=2003|title=Criminal Law|chapter=Understanding Criminal Law|isbn=0-582-47301-2|publisher=Pearson Education}}
*{{cite book|last=World Intellectual Property Organization|authorlink=World Intellectual Property Organization|title=Introduction to Intellectual Property |year=1997|isbn=9-041-10938-2|publisher=Kluwer Law International|chapter=The System of Intellectual Property}}
{{refend}}

; Online sources:
{{refbegin|2}}
*{{cite web|title=A Brief Overview of the Supreme Court|url=http://www.supremecourtus.gov/about/briefoverview.pdf|format=PDF|publisher=Supreme Court of the United States|accessdate=2006-11-10}}
*{{cite web|title=A Guide to the Treaty of Lisbon|url=http://www.lawsociety.org.uk/documents/downloads/guide_to_treaty_of_lisbon.pdf|publisher=The Law Society|month=January | year=2008|format=PDF|accessdate=2008-09-01}}
*{{cite web|last=Bix|first=Brian|title=John Austin|url=http://plato.stanford.edu/entries/austin-john/|work=[[Stanford Encyclopedia of Philosophy]]|accessdate=2007-02-14}}
*{{cite web |url=http://www.etymonline.com/index.php?search=bureaucracy&searchmode=none| title=bureaucracy |accessdate=2007-09-02 |work= Online Etymology Dictionary}}
*{{cite web | title = C-26/62 ''[[Van Gend en Loos v Nederlanse Administratie Der Belastingen]]'' | url=http://eur-lex.europa.eu/LexUriServ/LexUriServ.do?uri=CELEX:61962J0026:EN:HTML | publisher = Eur-Lex| accessdate = 2007-01-19}}
*{{cite web | title = C-6/64 ''[[Flaminio Costa v ENEL]]'' | url=http://eur-lex.europa.eu/LexUriServ/LexUriServ.do?uri=CELEX:61964J0006:EN:HTML| publisher = Eur-Lex| accessdate = 2007-09-01}}
*{{cite web|title=Des Sergents de Ville et Gardiens de la Paix à la Police de Proximité : la Préfecture de Police au Service des Citoyens|language=French|publisher =La Préfecture de Police de Paris |url=http://www.prefecture-police-paris.interieur.gouv.fr/documentation/bicentenaire/theme_expo4.htm
|accessdate = 2007-01-24}}
*{{cite web|title=Entscheidungen des Bundesverfassungsgerichts (Decisions of the Federal Constitutional Court)|publisher=[[Federal Constitutional Court of Germany|Bundesverfassungsgericht]]|language=German|url=http://www.bundesverfassungsgericht.de/entscheidungen.html|accessdate=2006-11-10}}
*{{cite web|last=Green|first=Leslie|title=Legal Positivism| work=Stanford Encyclopedia of Philosophy|url=http://plato.stanford.edu/entries/legal-positivism/|accessdate=2006-12-10}}
*{{cite web|title=History of Police Forces|url=http://www.publications.parliament.uk/pa/ld/ldjudgmt.htm|work=History.com Encyclopedia|accessdate=2006-12-10}}
*{{cite web|title=History of the UN|url=http://www.un.org/aboutun/history.htm|work=About the United Nations/History|accessdate=2008-09-01}}
*{{cite web|title=House of Lords Judgements|url=http://www.history.com/encyclopedia.do?articleId=219522|publisher=House of Lords|accessdate=2006-11-10}}
*{{cite web|title=Jurisprudence, publications, documentation |url= http://www.courdecassation.fr/jurisprudence_publications_documentation_2/ | language=French|publisher = [[Court of Cassation (France)|Cour de cassation]]|accessdate=2007-02-11}}
*{{cite web |url=http://dictionary.law.com/default2.asp?selected=1111&bold=|title=law |accessdate=2007-02-10 |work=Law.com Dictionary}}
*{{cite web |url=http://www.etymonline.com/index.php?search=law&searchmode=none | title=law |accessdate=2007-02-09 |work= Online Etymology Dictionary}}
*{{cite web |url=http://www.merriam-webster.com/dictionary/legal|title=legal |accessdate=2007-02-09 |work= Merriam-Webster's Online Dictionary}}
*{{cite web | title=Magna Carta| url= http://www.fordham.edu/halsall/source/magnacarta.html | publisher =[[Fordham University]]|accessdate=2006-11-10}}
*{{cite web | last=Marmor | first=Andrei |url= http://plato.stanford.edu/entries/lawphil-theory/ | title= The Pure Theory of Law | accessdate=2007-02-09 | work= Stanford Encyclopedia of Philosophy|year=1934 }}
*{{cite web | title=Saudi Arabia| url= http://jurist.law.pitt.edu/world/saudiarabia.htm| publisher =[[JURIST|Jurist]]|accessdate=2006-09-02}}
*{{cite web|url=http://www.icc-cpi.int/statesparties.html|title=The States Parties to the Rome Statute|publisher = [[International Criminal Court]] |accessdate=2007-02-10}}
*{{cite web|title=The World Factbook&nbsp;– Field Listing&nbsp;– Legal system| url=https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/fields/2100.html| publisher =[[CIA]]|accessdate=2007-10-13}}
{{refend}}

== External links ==
{{sisterlinks|Law}}
* [http://www.law.com/ Legal news and information network for attorneys and other legal professionals]
* [http://jurispedia.org/ Encyclopaedic project of academic initiative] in [[Jurispedia]]
* [http://www.lawserver.com/ Legal articles, news, and interactive maps]
* [http://www.worldlii.org/ WorldLII - World Legal Information Institute]
* [http://www.commonlii.org/ CommonLII - Commonwealth Legal Information Institute]
* [http://www.asianlii.org/ AsianLII - Asian Legal Information Institute (AsianLII)]
* [http://www.austlii.edu.au/ AustLII - Australasian Legal Information Institute]
* [http://www.bailii.org/ BaiLII - British and Irish Legal Information Institute]
* [http://www.canlii.org/ CanLII - Canadian Legal Information Institute]
* [http://www.nzlii.org/ NZLII - New Zealand Legal Information Institute]
* [http://www.paclii.org/ PacLII - Pacific Islands Legal Information Institute]

{{Sheria}}
{{Afrika in topic|Sheria ya}}
{{Marekani ya kaskazini in topic|Sheria ya}}
{{Marekani ya Kusini in topic|Sheria ya}}
{{Asia in topic|Sheria ya}}
{{Sheria ya Ulaya}}
{{Osheania in topic|Sheria ya}}
{{featured article}}

[[Category:Sheria| ]]
[[Category:Sayansi za kijamii]]
[[Category:Masomo ya kibinadamu]]
[[Category:Nadharia]]
[[Category:Historia]]
[[Category:Falsafa]]


[[af:Reg]]
[[af:Reg]]
[[an:Dreito]]
[[ar:قانون]]
[[ar:قانون]]
[[arz:قانون]]
[[an:Dreito]]
[[arc:ܩܢܘܢܐ]]
[[ast:Drechu]]
[[ast:Drechu]]
[[az:Hüquq]]
[[az:Hüquq]]
[[ba:Хоҡуҡ]]
[[bm:Sàrىya]]
[[bar:Recht]]
[[bat-smg:Īstatīms]]
[[be:Права]]
[[be-x-old:Права]]
[[bg:Право]]
[[bm:Sàrìya]]
[[bn:আইন]]
[[bn:আইন]]
[[br:Gwir (lezenn)]]
[[ba:صîҡَҡ]]
[[be:دًàâà]]
[[be-x-old:دًàâà]]
[[bar:Recht]]
[[bs:Pravo]]
[[bs:Pravo]]
[[br:Gwir (lezenn)]]
[[bg:دًàâî]]
[[ca:Dret]]
[[ca:Dret]]
[[ceb:Pamalaod]]
[[ceb:Pamalaod]]
[[cs:Prلvo]]
[[ch:Lai]]
[[ch:Lai]]
[[co:Drittu]]
[[co:Drittu]]
[[cs:Právo]]
[[cy:Cyfraith]]
[[cy:Cyfraith]]
[[da:Jura]]
[[da:Jura]]
[[de:Recht]]
[[de:Recht]]
[[el:Δίκαιο]]
[[el:ؤكêلéï]]
[[en:Law]]
[[eo:Leĝo (jura)]]
[[es:Derecho]]
[[es:Derecho]]
[[eo:Leĝo (jura)]]
[[eu:Zuzenbide]]
[[eu:Zuzenbide]]
[[fa:قانون]]
[[fa:قانون]]
[[fi:Laki]]
[[fr:Droit]]
[[fr:Droit]]
[[fy:Rjocht]]
[[fur:Dirit]]
[[fur:Dirit]]
[[fy:Rjocht]]
[[ga:Dlي]]
[[ga:Dlí]]
[[gl:Dereito]]
[[gv:Leigh]]
[[gv:Leigh]]
[[he:דין]]
[[gl:Dereito]]
[[ko:법]]
[[hi:विधि]]
[[hi:विधि]]
[[hr:Pravo]]
[[hr:Pravo]]
[[ht:Lalwa]]
[[io:Yuro]]
[[hu:Jog]]
[[id:Hukum]]
[[ia:Derecto]]
[[ia:Derecto]]
[[id:Hukum]]
[[io:Yuro]]
[[it:Diritto]]
[[it:Diritto]]
[[ja:法 (法学)]]
[[he:דין]]
[[kn:ಕಾನೂನು]]
[[jbo:flalu]]
[[ka:სამართალი]]
[[ka:სამართალი]]
[[kk:Құқық]]
[[kk:Құққ]]
[[ky:׃ךףך]]
[[kn:ಕಾನೂನು]]
[[ko:]]
[[sw:Sheria]]
[[kv:ָםӧה]]
[[ht:Lalwa]]
[[ku:Dad]]
[[ku:Dad]]
[[kv:Инӧд]]
[[ky:Укук]]
[[la:Ius]]
[[lad:Dirito]]
[[lad:Dirito]]
[[li:Rech]]
[[ln:Mambí ma mibéko]]
[[lo:ກົດໝາຍ]]
[[lo:ກົດໝາຍ]]
[[lt:Teisė]]
[[la:Ius]]
[[lv:Tieslietas]]
[[lv:Tieslietas]]
[[lt:Teisė]]
[[li:Rech]]
[[ln:Mambם ma mibיko]]
[[jbo:flalu]]
[[hu:Jog]]
[[mk:ֿנאגמ]]
[[mi:Ture]]
[[mi:Ture]]
[[mk:Право]]
[[arz:قانون]]
[[ms:Undang-undang]]
[[ms:Undang-undang]]
[[mwl:Dreito]]
[[mwl:Dreito]]
[[ne:कानून]]
[[nl:Recht]]
[[nl:Recht]]
[[nn:Rettsvitskap]]
[[ne:कानून]]
[[ja:·¨ (·¨ر§)]]
[[no:Rettsvitenskap]]
[[no:Rettsvitenskap]]
[[nn:Rettsvitskap]]
[[nrm:Loué]]
[[nrm:Loué]]
[[oc:Drech]]
[[oc:Drech]]
[[pl:Prawo]]
[[pl:Prawo]]
[[pt:Direito]]
[[pt:Direito]]
[[qu:Chiqa]]
[[ro:Drept]]
[[ro:Drept]]
[[ru:Право]]
[[qu:Chiqa]]
[[ru:دًàâî]]
[[sc:Deretu]]
[[sc:Deretu]]
[[sco:Law]]
[[sco:Law]]
[[sq:Ligji]]
[[simple:Law]]
[[simple:Law]]
[[sl:Pravo]]
[[sl:Pravo]]
[[sq:Ligji]]
[[sr:دًàâî]]
[[sr:Право]]
[[fi:Laki]]
[[sv:Juridik]]
[[sv:Juridik]]
[[ta:சட்டம்]]
[[th:กฎหมาย]]
[[tl:Batas]]
[[tl:Batas]]
[[ta:சட்டம்]]
[[th:،®ثءزآ]]
[[tr:Hukuk]]
[[tr:Hukuk]]
[[uk:Право]]
[[uk:دًàâî]]
[[ur:قانون]]
[[vec:Lexe e derito]]
[[vec:Lexe e derito]]
[[vi:Luật pháp]]
[[vi:Luật phلp]]
[[zh-classical:·¨آة]]
[[war:Balaud]]
[[war:Balaud]]
[[yi:געזעץ]]
[[yi:געזעץ]]
[[zh:法律]]
[[zh-yue:·¨ֲֹ]]
[[zh-classical:法律]]
[[bat-smg:Īstatīms]]
[[zh-yue:法律]]
[[zh:·¨ֲֹ]]

Pitio la 13:50, 15 Januari 2010

Kigezo:Otheruses6

Mwanamke wa Haki ni ishara ya idara ya sheria.[1][2] Justice is depicted as a goddess equipped with three symbols of the rule of law: a sword symbolizing the court's coercive power; scales representing the weighing of competing claims; and a blindfold indicating impartiality.[3]

Sheria[4] ni mfumo wa kanuni, ambazo kwa kawaida hutekelezwa kupitia seti ya taasisi.[5] Inaumba siasa, uchumi na jamii kwa njia mbalimbali na huwa kama kipatanishi msingi cha kijamii kati cha uhusiano baina ya watu. Sheria ya mkataba huongoza kila kitu kuanzia kununua tiketi ya basi hadi biashara katika masoko. Sheria ya mali inafafanua haki na wajibu unaohusiana na uhamisho wa jina la kibinafsi (wakati mwingine hujulikana kama "chattel") na mali ya kweli. Sheria ya Hifadhi inatumika kwa mali yanayotumika kwa uwekezaji na usalama wa kifedha , huku sheria ya kukiuka wajibu inaruhusu madai ya fidia ikiwa haki za mtu au mali yanafanyiwa madhara. Ikiwa madhara ni kinyume cha sheria, sheria ya jinai inatoa mbinu zinazoweza kutumika na taifa ili kumshataki mhusika. Sheria ya kikatiba inatoa mfumo wa uumbaji wa sheria, ulinzi wa haki za kibinadamu na kuchaguliwa kwa wawakilishi wa kisiasa. Sheria ya utawala inatumika kuangalia upya maamuzi ya vyombo vya kiserikali, huku sheria ya kimataifa inatawala shughuli baina ya nchi huru katika zinzohusu mambo kama vile biashara, vikwazo vya kimazingira na hatua za kijeshi. Akiandika mnamo 350 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu, mwanafalsafa wa Kigiriki Aristotle alisema, "Utawala wa sheria ni bora kuliko utawala wa mtu yeyote binafsi."[6]

Mifumo ya kisheria inaelezea kuhusu haki na majukumu kwa njia mbalimbali. Tofauti ya jumla inaweza kufanywa kati ya maeneo yanayotawaliwa na sheria ya kiraia, ambazo huandika sheria zao, na mifumo ya sheria za kawaida, ambapo sheria iliyotengenezwa na hakimu haijaundwa kwa utaratibu. Katika baadhi ya nchi, dini bado hutumika katika sheria maalum. Sheria ni chanzo kuu la uchunguzi wa kitaalam, wa historia ya kisherai, falsafa, uchambuzi wa kiuchumu au somo la kijamii. Sheria pia huibua masuala muhimu na magumu kuhusu usawa, uadilifu na haki. "katika usawa wake wa kifahari", alisema mwandishi Anatole France mnamo mwka wa 1894, "sheria inakataza matajiri na mafukura kulala chini ya madaraja, kuombaomba barabarani na kuiba mikate."[7] Katika demokrasia ya kawaida, taasisi za msingi za kutafsiri na kuunda sheria ni matawi matatu makuu ya serikali, ambayo ni mahakama yasiyokuwa na mapendeleo, bunge la kidemokrasia, serikali yenye kuwajibika. Ili kutekeleza na kutumia nguvu ili sheria ifuatwe na kutoa huduma kwa umma, ukiritimba wa serikali, jeshi na polisi ni muhimu. Viungo hivi vyote vya taifa ni vimube vilivyoundwa na kutawaliwa na sheria, taaluma ya kisheria iliyo huru na jamii ya kiraia yenye bidii zinajulisha na kusaidia maendeleo.

Masomo ya Kisheria

Mifumo yote ya kisheria inahusu na mwaswala ya kimsingi, lakini kila taifa inaainisha na kubainisha masomo yake ya kisheria kwa njia mbalimbali. Tofauti ya kawaida ni kuwa "sheria ya umma" (maneno yanayohusika kwa karibu na taifa, na kuhusisha sheria ya kikatiba, kitawala na ya jinai), na "sheria ya kibinfasi" (inayohusisha mkataba, , sheria ya kukiuka wajibu na mali).[8] Katikamifumo ya [[sheria ya kirai(mfumo wa sheria)|sheria ya kirai] , mkataba na kukiuka wajibu zinapatikana chini ya sheria ya majukumu huku sheria ya hifadhi inapatikana chini ya serkali za halali au [[Mkataba wa Hague wa Sheria inayotumika kwa Hifadhi na kwa jinsi ya Kuzijua|mikataba ya kimataifa]. Sheria ya Kimataifa, kikatiba, kitawala, jinai, mkataba, kukiuka wajibu na mali na hifadhi zinatambulika kama "masomo msingi ya jadi",[9] ingawa kuna masomo zaidi ambayo yanaweza kuwa na umuhimu mkubwa zaidi wa kiutendaji.


Sheria ya Kimataifa

Ikitoa katiba ya sheria ya kimataifa ya umaa, mfumo wa Umoja wa Mataifa ulikubaliwa wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia


Sheria ya kimataifa inaweza kuashria mambo matatu: sheria ya umma ya kimataifa, sheria ya kibinafsi ya kimataifa au mgongano wa sheria na sheria ya mashirika makubwa ya kimataifa.

  • Mgongano wa sheria (au "sheria ya kibinafsi ya kimataifa" katika nchi za sheria ya kiraia) unahusisha maeneo ya kimamlaka ya kisheria ya mgogoro wa kisheria baina ya watu wa kibinafsi unafaa kusikizwa na sheria za maeneo gani ya kimamlaka ya kisheria ndiyo inayofaa kutumika.Leo, biashra zinazidi kuwa na uwezo wa kusongeza minyororo ya ugavi ya mtaji na ajira kuvuka mipaka, na pia kufanya biashara na kampuni za nchi za ng'ambo, hivyo kulifanya swali kuhusu nchi ipi ndiyo inayomamlaka ya kisheria kuwa muhimu zaidi. Idadi kubwa zaidi ya biashara zinachagua usuluhishi wa kibiashara chini ya Mkataba wa New York wa mnamo mwaka1958.[13]
  • Sheria ya Umoja wa Ulaya ndiyo ya kwanza, kufikia sasa, ambayo ni mfano wa mfano wa sheria kuu ya kimataifa. Kutokana na mwenendo wa kuongezeka kwa ushirikiano wa kiuchumi Duniani, mikataba mingi ya kikanda—hasa ya Umoja wa Nchi za Marekani ya Kusini—zimeanza kuufuata mfano kama huu. Katika Umoja wa Ulaya, nchi huru zimekusanya mamlaka yao katika mfumo wa mahakama na taasisi za kisiasa. Taasisi hizi zinapewa uwezo wa kutekeleza kanuni za kisheria dhidi ya au kwa nchi wanachama na raia katika namna ambayo haiwezekani kupitia sheria ya umma ya kimataifa.[14] Kama Mahakama ya Ulaya ya Haki yalivyosema katika miaka ya 1960, sheria ya Umoja wa Umoja wa Ulaya hujumiusha "muundo mpya wa sheria ya kimataifa" kwa ajili ya faida inayotegemeana ya kijamii na kiuchumi wa nchi zote wanachama.[15]

Sheria ya Kikatiba na kiutawala

Azimio la Haki za Kibinadamu na za Raia, ambalo kanuni zake bado zini thamani ya kikatiba

Sheria ya kikatiba na kiutawala zinasimamia mambo ya nchi. Sheria ya kikatiba inahusisha uhusiano baina ya serikali, bunge na mahakama na haki za kibinadamu au uhuru wa kiraia wa watu binafsi dhidi ya nchi. Maeneo mengi ya kisheria, kama vile Marekani na Ufaransa, zina katiba moja iliyoandikwa kwa makini, iliyo na Muswada wa Haki. Katiba chache kama vile Uingereza, hazina hati kama hiyo."Katiba" kwa ufupi ni zile sheria ambazo zinajumuisha mwili wa kisiasa, kutoka kanuni, sheria za uamuzi na mkataba. Kesi kwa jina Entick dhidi ya Carrington[16] ilionyesha wazi kanuni ya kikatiba inayotokana na sheria ya kawaifa. Nyumba ya Bwana Entick ilifanyiwa upekekuzi na Afisa mmoja wa polisi aliyeitwa Carrington. Wakati Bwana Entick alipolalamika mbele ya mahakama, Afisa Carrington alidokeza kwamba kibali kutoka waziri wa Serikali, Ali wa Halifax, kilikuwa na mamlaka halali. Hata hivyo, hakukuwa na sheria iliyoandikwa au mamlaka ya kimahakama ambayo yalitoa uwezo huo.Hakimu mkuu, Bwana Camden, alisema,

Mwisho mkubwa, ambao ulifanya watu kuingia katika jamii, ilikuwa kupata mali. Haki hiyo imetunzwa na ni takatifu na haiwezi kuondolewa wakati wowote, ambapo haijaondolewa au kufupishwa na sheria fulani ya umma kwa manufaa ya wote...Hakuna sababau inayoweza kupatikana au kutolewa, kimya cha vitabu ni mamlaka dhidi ya mshtakiwa, na aliyeathiriwa lazima atendewe haki.[17]

Kanuni ya kimsingi ya kikatiba, ilitokana na John Locke, inadokeza ya kwamba mtu binafsi anaweza kufanya isipokuwa kile ambacho kimekataliwa kisheria.[18][19] Sheria ya utawala ndiyo mbinu msingi ya kufanya mashirika ya umma yawajibike. Watu wanaweza kutumia mapitio ya kimahakama kwa matendo au uamuzi uliofanywa na za halmashauri za mitaa, huduma za umma au wizara za serikali, kuhakikisha kuwa zinazingatia sheria. Mahakama ya kwanza ya maalum ya kiutawala yalikuwa mahakama ya Conseil d'État yaliyoundwa mnamo mwaka wa 1799, wakati Napoleon alipochukua mamlaka nchini Ufaransa.[20]

Sheria ya jinai

Makala kuu: Sheria ya jinai

Sheria ya jinai, inayojulikana pia kama sheria ya kuadhibu, inahusisha makosa na adhabu.[21] Kwa hivyo inapima ufafanuzi wa adhabu ya makosa yaliyopatikana kuwa na madhara yanaonekana kuwa na uwezo wa kusababisha uharibifu lakini, kwa undani, haifanyi uamuzi wa kimaadili kumhusu mkosaji wala kuwekea jamii vikwazo ambavyo vinakataza watu kimwili wasifanye makoa mwanzoni.[22] Investigating, apprehending, charging, and trying suspected offenders is regulated by the law of criminal procedure.[23] Kesi ya kidhana ya uhalifu inatokana na ushahidi, kuzidi shaka ya kuridhisha, kuwa mtu ana hatia ya mambo mawili. Kwanza, mshtakiwa lazima awe amefanya kitendo ambacho kinatazamwa na jamii kuwa hatia, au actus reus (kitendo cha hatia).[24] Pili, lazima mshtakiwa awe na dhamira ya kufanya uharibifu ya kufanya kitendoo fulani cha jinai, au mens rea (akili ya hatia). Hata hivyo, kwa kile kinachojulikana kama hatia za "dhima kali", actus reus haitoshi.[25] Mifumo ya jinai ya utamaduni wa sheria ya raia zinatofautisha kati ya nia katika dhana pana (dolus directus na dolus eventualis), na uzembe. Uzembe hauna jukumu la jinai isipokuwa ambapo hatia fulani una adhabu yake maalum.[26][27]

Picha inayoonyesha kesi ya uhalifu, kwa sababu ya uchawi katika eneo la Salem

Mifano ya uhalifu ni mauaji, kushambulia, udanganyifu na wizi. Katika mifano maalum utetezi unaweza kutumika kwa vitendo maalum, kama zile kuuwa ili utetezi wa kibinafasi, au katika nyakati maalum kujitetea kuwa wazimu. Mfano mwingine ni katika kesi ya karne ya 19 ya Jamhuri dhidi ya Dudley na Stephens, iliyopima utetezi wa "kimahitaji". Meli ya Mignonette, iliyokuwa ikisafiri kutoka mji wa Southampton kuelekea mji wa Sydney, ilizama. Wafanyikazi watatu wa meli hiyo na Richard Parker, kijana aliyekuwa na umri wa miaka 17, walibaki katika meli iliyoundwa na vijiti. Walikuwa na njaa na kijana yule alikuwa karibu kufa. Kwa sababu ya kuwa na njaa iliyokithiri, wafanyikazi hao walimuuwa kijana yule na kumla. Wafanyikazi hao waliokolewa, lakini wakafikishwa mahakamani huku wakiwa na hatia ya mauaji. Walijitetea kwa kusema kwamba ilihitajika kwa lazima kwa wao kumuuwa kijana yule ili kuyaokoa maisha yao. Bwana Coleridge, akieleza kukataa kukubwa, aliamua, "kuhifadhi maisha ya kibinafsi ni, kwa kuzungumza kijumla, wajibu, lakini inaweza kuwa jukumu kuu kuyatoa maisha hayo kama kafara." Wanaume hao walihukumiwa nyonga, lakini maoni ya umma uliunga mkono haki ya wafanyikazi wale wa meli kuyaokoa maisha yao. Mwishowe, Ufalme ulipunguza hukumu zao hadi miezi sita gerezani.[28]

Makosa ya jinai yanatambulika si tu kama makosa dhidi ya waathirika binafsi, lakini jamii pia.[22] Taifa, kawaida likisaidiwa na polisi, huongoza mashitaka, basi hiyo ndiyo sababu mbona katika nchi zenye sheria ya kawaida kesi hutajwa kama "Watu dhidi ya..." au "Jamhuri (kwa "Rex" au Regina) dhidi ya..." Pia, jopo la waamuzi ambao hutokana na raia wa kawaida hutumika kuamua hatia ya washitakiwa kutokna na pointi zinazoweza kubainika ukweli: jopo la waamuzi haliwezi kubadilisha kanuni za kisheria. Baadhi ya nchi zilizostawi bado hutumia adhabu ya kifo kwa matendo ya jinai lakini adhabu ya kawaida ya uhalifu itakuwa ni kufungwa gereza, faini usimamizi wa taifa (kama vile probesheni), au huduma ya kijamii. Sheria ya kisasa ya jinai imeathiriwa vilivyo na sayansi ya jamii, hasa kuhusu kuhukumu, utafiti wa kisheria, kuunda sheria, na kuwasaidia wahalifu kurekesha mwenedo wao.[29] Katika ngazi ya kimataifa, nchi 108 wanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ambayo ilianzishwa kuwahukumu watu kwa hatia dhidi ya ubinadamu.[30]

Sheria ya mkataba

Makala kuu: Mkataba
Tangazo maarufu la kampuni ya Carbolic Smoke Ball lidai kuwa lingeweza kutibu homa. Mahakama yaliamua kuwa tangazo hilo lilikuwa mkataba wa mtu yeyote

Sheria ya mkataba inahusu ahadi zinazowezwa kutendwa, na inaweza kuandikwa kwa ufupi katika maneno ya Kilatinipacta sunt servanda (ahadi lazima zitimizwe).[31] Katika maeneo ya kimamlaka ya sheria ya kawaida, vipengele vitatu muhimu kuhusu utengenezaji wa mkataba vinahitajika: kutoa na kukubali, kutilia maanani na nia ya kutengeneza uhusiano wa kisheria.Katika kesi ya Carlill shisi ya Kampuni ya Carbolic Smoke Ball kampuni ya matibabu ilitangaza kuwa dawa yake mpya ya ajabu, smokeball, ingewatibu watu kutokana na mafua, na ikiwa haingefaulu kuwatibu, wanunuzi wangepata £ 100. Watu wengi waliwasilisha kesi mahakamani ili wapate £100 zao wakati dawa hiyo iliposhindwa kuwatibu. Ikiogopa kufilisika, Kampuni ya Carbolic ilijitetea kwa kusema kuwa tangazo lile lilikuwa mzaha tu, na kwa hivyo halikuwa toleo lenye nguvu za kisheria. Lilikuwa karibisho, mchezo tu. Lakini mahakama ya rufaa yaliamua kuwa kwa mtu mwenye kufikiria kwa kawaida kampuni ya Carbolic ilikuwa imefanya toleo. Watu walikuwa wametoa kusudi la kununua bidhaa ile kwa kupitia "shida bayana" ya kutumia bidhaa yenye hitilafu. "Soma tangazo vile utakavyo, na ulibadilishe tangazo hilo vile utakavyo", alisema Hakimu Lindley, "haa kuna ahadi maalum ilitajwa katika lugha isyokuwa na utata wowote".[32]

"Kutilia maanani" knaonyesha ukweli kwamba vyama vyote katika mkataba vimebadilisha kitu fulani chenye maana. Baadhi ya mifumo ya sheria ya kawaida, ikiwemo Australi, zinasonga mbali kutoka dhana ya kutilia maanani kama mojawapo ya mahitaji ya mkataba. Dhana ya "estoppel" au culpa in contrahendo, inaweza kutumika kuunda wajibu wakati mazungumzo kabla ya kuingia mkataba[33] Katika maeneo ya kisheria ya kiraia, kutilia maanani si lazima kwa mkataba kuwa na nguvu ya kisheria.[34] Nchini Ufaransa, mkataba wa kawaida unasemekana kutokea ambapo "kukutana kwa akili" au kwa "kuwa na nia zinazowiana". Ujerumani ina mtazamio maalum kuhusu mikataba, ambayo inayusisha sheria ya mali. Kanuni ya dhana ya kiakili (Abstraktionsprinzip wanayoitumia, inamaanisha kuwa wajibu wa kibinafsi wa mkataba unaundwa kando na jina la mwenye mali yanayokabidhiwa. Wakati ambapo mikataba inavunjwa kwa sababu fulani (kwa mfano mnunuzi wa gari amelewa kiasi kwamba hana uwezo wa kisheria wa kufanya mkataba)[35] Wajibu wa kimkataba wa kulipa unaweza kuvunjwa tofauti na jina la mwenye gari. Sheria ya kutajirika kusio kwa haki, badala ya sheria tya mkataba, basi inatumika kurudisha jina kwa mmiliki halali.[36]

Sheria ya ukiukaji wa wajibu

Makala kuu: ukiukaji wa wajibu
Faili:Mcspotlight.jpg
Kesi ya "McLibel". Wahusika hawa wawili walifanya kesi ndefu zaidi katika historia ya Uingereza kwa uchapishaji wa kijikaratasi kilichokosoa mikahawa ya McDonald's

Sheria ya ukiukaji wa wajibu, ambayo wakati mwingine huitwa delikti, ni makosa ya raia. Kuwa na kosa la ukiukaji wa wajibu, mtu lazima awe amekiuka wajibu aliukwa anafaa kumtendea mty mwingine, au kukiuka haki fulani ya awali ya kisheria. mfano unaweza kuwa kumgonga mtu kimakosa na mpira wa mchezo wa kriketi.[37] Chini ya sheria ya uzembe, ambayo ndiyo aina ya ukiukaji wa wajibu maarufu zaidi, mtu aliyepatwa na madhara anaweza kuomba fidia kwa ya majeraha yake kutoka kwa mtu mwenye uwajibikaji. Kanuni za uzembe zinaonyeshwa na kesi ya Donoghue dhidi ya Stevenson.[38] Rafiki mmoja wa Bi. Donoghue aliagiza chupa isiyopenyeka nuru la pombe ya tangawizi (iliyokusudiwa kutumika na Bi. Donoghue) katika mkahawa katika eneo la Paisley. Baada ya kunya kunya nusu ya bia ile , Bi, Donoghue alimimina iliyosalia katika bilauri. Mabaki yaliyooza ya konokono yalielea juu ya pombe. Alidai kuwa alipigwa na bumbuwazi, na kupata ugonjwa wa kuchomeka ndani ya matumbo, na ilimbidi kumpeleka mtengenezaji pombe kwa kuruhusu kinywaji kuchafuka ovyo. Nyumba ya Mabwana iliamua kwamba mtengezaji pombe aliwajibika kwa ugonjwa wa Bi. Donoghue. Bwana Atkin alikuwa na mtazamo maalum wa kimaadili, na akasema,


Dhima ya upuuzaji ... bila shaka ina msingi wake katika mawazo ya kijumla ya umma kuhusu makosa ya kimaadili amabyo mkosaji lazima alipe ... Kanuni ya kuwa unafaa kumpenda adui yako, kisheria inakuwa, haufai kumjeruhi jirani yako; na swali la wakili, nani ndiye jirani yangu? linapokea jibu lenye vikwazo. Lazima uwe na uwangalifu wa kuepuka na vitendo au visa ambapo hautendi lolote inapofaa, ambavyo unaweza kutazamia kuwa vikamjeruhi jirani yako.[39]

Huu ulikuwa msingi wa kanuni nne za upuuzaji; (1) Bwana Stevenson alimdai Bi. Donoghue wajibu wa kujali wa kuuza vinywaji salama (2) yeye [Kuvuna kwa jukumu katika Sheria ya Kiingereza|alivunja]] wajibu wake wa kujali (3) madhara hayangefanyika isipokuwa kwa kuvunja kwake kwa wajibu wa kujali na (4) tendo lake lilikuwa sababau ya karibu, au haikuwa tokeo la mbali, la madhara yaliyompata mtu fulani.[38] Mfano mwingine wa ukikaji wa wajibu unaweza kuwa wa jirani ambaye anapiga kelele nyingi sana na na mashine katika nyumbani kwake.[40] Chini ya dai la kero kelele hiyo inaweza kukomeshwa. Ukiukaji wa wajibu pia inaweza kuhusisha vitendo vya kimakusudi, kama vile ushambulizi, vita au kuvuka na kuingia katka maeneo yaliyopigwa marufuku. Sheria ya ukiukaji wa wajibu inayofahamika vyema ni ile ya kumharibia mtu jina, ambayo inafanyika, kwa mfano, wakati gazeti linapochapisha madai yasiyokuwa na msingi ambayo yanaharibu sifa ya mwanasiasa fulani.[41] Ukiukaji wa wajibu ambao ni mbaya zaidi ni zile wa kiuchumi, ambao huwa msingi wa sheria ya ajira katika baadhi ya nchi kwa kufanya vyama vya kibiashara kuwa na dhima kwa sababu ya migomo,[42] Wakati ambapo amri ya kisheria haipatiani kinga.[43]

Sheria ya mali

Makala kuu: Sheria ya mali
Picha ya Bubujiko la Bahari ya Kusini, mojawapo ya majanga ya kiuchumi yalilotokana na uvumi. Janga hilo la kiuchumi lilisababisha kuundwa kwa kanuni kali kuhusu uuzaji wa hisa.[44]

Sheria ya Mali inatawala vitu vya thamani ambavyo watu huvitambua kama 'vyao'. Mali ya kweli wakati mwingine huitwa 'mali isiyohamishika' inahusu umiliki wa ardhi na vitu vilivyojikita katika ardhi hiyo.[45] Mali ya kibinafsi, inaashiria mambo mengineyo; vyombo vinavyowezwa kusongeshwa, kama vile tarakilishi, magari, mapambo na mikate au turathi haki, kama vile akiba na hisa. Haki ya in rem ni haki ya kipande maalum cha mali, ikitofautishwa na haki in personam ambayo inaruhusu fidia kwa hasara, lakini si kwa kurudishiwa kitu fulani. Sheria ya ardhi inajumuisha msingi wa aina nyingi za sheria za mali, na ndiyo ngumu zaidi. Inahusisha mogeji, mikataba ya kukodisha, leseni, maagano, ruhusa na mifumo ya kisheria kwa usajili wa ardhi. Kanuni kuhusu matumizi ya ardhi ya kibinafsi chini ya haki miliki, sheria ya kampuni, hifadhi na sheria ya biashara. Mfano wa kesi msingi ya ya sheria nyingii za mali ni Armory v Delamirie.[46] Kijana wa kufagia chimni alipata pambo lenye mawe ya thamani. Alichukua pambo lile kwa muundaji wa vifaa vya dhahabu ili thamani yake ikadiriwe. Mwanafunzi wa muundaji wa vifaa vya dhahabu aliangalia pambo lile, akaiba mawe yale ya thamani, ma kumuambia kijana yule kuwa thamani yake ilkuwa nusu peni tatu na kuwa angeinunua. Kijana yule alimwambia kuwa angepenga arudishiwe pambo lile, kwa hivyo mwanafunzi wa muundaji vifaa alimrudishia pambo, lakini bila mawe yale ya thamani. Kijana yule alimpeleka mtengenezaji wa vifaa vya dhahabu kotini kwa jaribio la mwanafunzi wake kumdanganya. Bwana Hakimu Mkuu Pratt aliamua kuwa ingawa kijana hangesemekana kuwa mumiliki wa pambo lile, angefaa kutazamwa kama mpataji aliyefaa ("mpataji muwekaji") hadi mumiliki wa kiasili anapopatikana. Kwa kweli mwanafunzi na kijana yule wote walikuwa na haki ya umiliki wa pambo lile (dhana ya kiufundi, inayomaanisha kuwa kitu fulani kingeweza kumilikiwa na mtu fulani), lakini nia ya kijana yule ya kumiliki ilitazamiwa kuwa bora zaidi, kwa sababu ingeweza kudhihirishwa kuwa ya kwanza katika wakati. Umiliki unaweza kuwa sehemu tisa kwa kumi ya sheri, lakini si yote.

Kesi hii hutumika kudhihirisha mtazamo wa mali katika maeneo ya kisheria ya kawaida, kuwa mtu anayeweza kuonyesha dai bora zaidi la kipande cha mali, dhidi ya chama kingine, ndiye mumiliki.[47] Kwa kulinganisha, mbinu ya kiklasiki ya sheria ya raia kuhusu mali, iliendelezwa na Friedrich Carl von Savigny, ni kuwa ni haki nzuri dhidi ya Ulimwengu. Wajibu, kama mkataba na ukiukaji wa wajibu hutazamwa kama haki nzuri dhidi ya watu binafsi.[48] Dhana ya mali inaibua maswala mengi zaidi ya kifalsafa na kisiasa. Locke alidokeza kwamba "maisha, uhuru na nyumba" zetu ni mali yetu kwa sababu tunamiliki mali yetu na tunachangayana ajira yetu na mazingira yetu.[49]

Usawa na amana

Mahakama ya Chancery, London, kipindi cha mapema cha karne ya 19

Usawa na amana ni mwili wa sheria ulioibuka nchini Uingereza kando na "shera ya kawaida". Sheria ya kawaida ilisimamiwa na mahakimu. Bwana Chansela kwa upnade mwingine, kama muwekaji dhamiri wa mfalme, angeweza kupuuza sheria iliyotengenezwa na hakimu ikiwa alifikiria kuwa ilikuwa sawa kufanya hivyo.[50] Hili lilimaanisha kuwa usawa ulianza kufanya kazi zaidi kupitia kanuni bali si sheria ambazo hazikubadilika. Kwa mfano, ambapo mifumo ya sheria ya kawaida au sheria ya raia haiwaruhusu watu kugawa umiliki wa kutoka kwa udhibiti wa kipande kimoja cha mali, usawa unaruhusu hili kupitia mpango unaoitwa 'amana'. Kudhibitiwa kwa mali na 'wenye amana' ambapo kwa upande mwingine umiliki 'wenye manufaa' (au 'yenye usawa') wa mali ya amana inashikiliwa na watu wanojulikana kama 'wadhamini'. Wadhamini wana wajibu kwa walengwa wao wa kuyachuna vyema mali waliyokabidhiwa.[51] Katika kesi ya awali ya Keech dhidi ya Sandford[52] mtoto alirithi haki ya kokodisha katika soko katika eneo la Ramford, mjini London. Bw, Sandford alikabidhiwa mali hayo hadi wakati ambapo mtoto angekomaa. Lakini kabla ya hapo, kipindi cha kukodisha kilikwisha. Kabaila alikuwa (inaonekana) amemwambia Bw. Sandford kuwa hakutaka mtoto yule awe na kukodisha kupya. Lakini bado kabaila alikuwa amefurahi (inaonekana) kumpa Bw. Sandford fursa ya kukodisha. Bw Sandford aliichukua. Wakati ambapo mtoto (sasa Bw. Keech) alikuwa mkubwa, alimpeleka Bw. Sandford mahakamani kwa faida aliyokuwa akipata kwa kupata kukodisha kwa soko. Bw. Sandford alifaa kuaminika, lakini alijiweka katika nafasi ya mgongano wa maslahi. Bwana Kansela, Bwana Mfalme, alikubali na kumuamuru Bw. Sandford kutoa faida ile na kumlipa Bw. Keech. Aliandika,

Ninaona vizuri sana kuwa, ikiwa mdhamini, akikataa kufanya kukodesha upya, anaweza kuwa na kukodesha kwake mwenyewe mali chache ya kiamana yangesajiliwa upya ... Hili linaweza kuonekana kuwa gumu sana, kuwa mdhamini ndiye mtu wa kipekee kwa binadamu wote ambaye hatakuwa na kukodisha; lakini ni bora kanuni ifuatiliwe na isipuuzwe wakati wowote.

Bila shaka, Bwana Mfalme LC alikuwa na wasiwasi kwamba wadhamini huenda wakatumia fursa ya kutumia mali ya amana wenyewe badala ya kuyachunga. Wadadisi wa kibiashara wanaotumia hifadhi walikuwa wamesababisha kuaguka kwa soko la hisa katika siku hizo. Wajibu mkali kwa wadhamini ulijumuishwa katika sheria ya serikali na kutumika kwa wakurugenzi wa makampuni na maafisa watendaji wakuu. Mfano mwingine wa jukumu la mdhamini unaweza kuwa kuwekeza mali vizuri au kuiuza.[53] Hii hasa ndiyo kesi kwa fedha za pensheni , aina muhimu kwa zote ya amana, ambapo wawekezaji ndio wadhamini wa akiba za watu hadi wastaafu. Lakini amana pia zinaweza kuundwa kwa madhumuni ya hisani, mifano maarufu ikiwa Makavazi ya Uingereza au Shirika la Rockefeller.

Utaalamu zaidi

Sheria huenea mbali kuliko masomo ya msingi hadi karibu kila eneo la maisha. Ngazi tatu zimetajwa hapa ili kurahisiha majadiliano, ingawa masomo mbalimbali hufanana na kutegemeana.

Sheria na jamii
Chama cha wafanyikazi kilichoundwa na kikundi cha UNISON walipogoma
Sheria na biashara
Sheria na vikwazo
Sakafu ya biashara ya Soko la Hisa la New York baada ya kuanguka kwa Wall Street mnamo mwaka wa 1929, kabla ya sheria kali zaidi za vikwazo vya kibenki vilipoanza kutumika


Mifumo ya kisheria

Kwa ujumla, mifumo ya kisheria inaweza kugawanywa kati ya mifumo ya kisheria ya kiraia na mifumo ya kisheria ya kawaida.[57] Maneno "sheria ya kiraia" yanayoashiria mfumo wa kisheria hayapaswi kuchanganyishwa na "sheria ya kiraia" kama kundi la masomo ya kisheria ambayo ni tofauti na sheria ya umma au ya jinai . Aina ya tatu ya mfumo wa kisheria—inayokubalika bado na baadhi ya nchi ambazo zina utengano wa kanisa na taifa—ni sheria sheria ya kidini, ambayo ina msingi wake katika maandiko ya kidini. Aina ya mfumo amabo nchi inatumia kutawala mara nyingi kudhamiriwa na historia yake, uhusiano wake na nchi zingine au kushikilia kwake kwa viwango vya kimataifa. Vyanzo ambavyo maneneo fulani ya kisheria hutumia kama kama zenye uwezo wa kuwa nguvu za kisheria ndizo sifa fafanuzi za mfumo wowote wa kisheria. Hata hivyo, uainishaji ni jambo la umbo kuliko maana, kwani sheria sawa mara nyingi hutawala.


Sheria ya kiraia

Ukurasa wa kwanza wa toleo la mwaka wa 1804 la Sheria za Kinapolioni

Sheria ya kiraia ni mfumo wa kisheria unaotumika katika nchi nyingi Duniani. Katika sheria ya kiraia vyanzo vinavyotambulika kama kuwa na mamlaka, ni, haswa, uundaji wa sheria—haswa sheria zilizoandikwa katika katiba au amri zinazopitishwa na serikali—na tamaduni.[58] Sheria za kuandikwa zinapatikana hata katika miaka mingi ya awali , huku mfano mmoja ukiwa Codex Hammurabi ya Kibabeli. Mifumo ya sheria za kiraia ya kisasa inatokana na mazoezi ya kisheria ya Dola la Kirumi ambalo maadiko yake yalipatikana katika Ulaya ya Zama za Kati. Sheria ya Kirumu katika siku za Jamhuri ya Kiruma na Dola la Kirumi lilitegemea sana utaratibu, na ilikosa daraja la kitaaluma.[59] Badala uake mtu wa kawaida aliyeitwa, iudex, alichagukiwa kufanya uamuzi. Kesi za awali hazikuripotiwa, kwa hivyo sheria yoyote yenye msingi katika kesi iliyoibuka ilifichwa na hata kutotambulika.[60] Kila kesi ilikuwa ilimuliwe upya kutokana na sheria za nchi, ambayo ni sawa na kupungua kwa umuhimu (kinadharia) wa uamuzi wa mahakimu kwa kesi za siku za usoni kwa mufumo ya kisheria siku za leo. Katika kipindi cha karne ya 6 NK katika Dola la Mashariki la Roma, Kaisari Justinian I aliandika na kuzikusanya pamoja sheria ambazo zilikuwa zinapatikana hapo awali katika Roma, ambapo kile kilichobakia kilikuwa sehemu moja juu ya ishirini ya kiwango cha maandiko ya kisheria kutoka awali.[61] Hili ikawa inafahamika kama Corpus Juris Civilis. Kwa mujibu wa mwanahistoria mmoja wa kisheria, "Justinian alitazama kwa uangalifu hadi miaka ya dhahabu ya nyuma ya sheria ya Kirumi na alilenga kuirejesha hadi upeo wake wa karne tatu za awali."[62] Wakati uo huo, Ulaya ya Magharibi ilitumbukia polepole katika Zama za Giza, na haikuwa hadi karne ya 11ambapo wasomi katika Chuo Kikuu cha Bologna walipoyagundua upya maandiko yaliyokuwa yamepotea na kuyatumia kuzitafsiri sheria zao.[63] Maandiko ya sheria za kiraia yenye msingi unaofanana kwa karibu na sheria ya Kirumu, sambamba na ushawishi mchache kutoka sheria za kidini kama vile sheria ya Kikanoni na sheria ya Kiislamu,[64][65] iliendelea kuenea kote baranii Ulaya hadi Kutaalmika; kisha, katika karne ya 19, Ufaransa, na Sheria iliyoandikwa ya Kiraia, na Ujerumani, Bürgerliches Gesetzbuch, zilifanya sheria zao zilizokuwa zimeandikwa kuwa za kisasa. Sheria hizi mbili zilizoandikwa zilisukuma vilivyo si tu mifumo ya kisheria ya nchi katika Bara Ulaya (kama vile Ugiriki), lakini pia tamaduni za kisheria za Ujapani na Kikorea.[66][67] Leo, cnhi ambazo zina mifumo ya kisheria ya kiraia ni kama vile Urusi na Uchina na maeneo mengi ya Marekani ya Kati na Marekani ya Kilatini.[68] Marekani inafuata sheria ya kawaida inayofafanuliwa hapa chini.


Sheria ya kawaida na usawa

Makala kuu: Sheria ya kawaida
Mfalme Yohana wa Uingereza anatia sahini Magna Carta

Sheria ya kawaida na usawa ni mifumo ya kisheria ambapo uamuzi wa mahakama yanakubalika wazi kuwa vyanzo vya sheria."Mafundisho ya utangulizi", au stare decisis (Kilatini kwa "kusimama kwa uamuzi") unamaanisha kuwa sumauzi unaofanywa na mahakama yenye mamlaka kubwa yanafunga mahakama yenye mamlaka ya chini. Mifumo ya kisheria ya kawaida hutumia amri mara chache sana, zinazopitishwa na bunge, lakini huenda zikafanya jaribio ambalo si la kitaratibu kuandika sheria zao kuliko katika "mfumo wa sheria wa kiraia". Sheria ya kawaida ina asili yake nchini Uingereza na imerithiwa na karibu nchi zote ambazo hapo awali zilihusika na Dola la Uingereza (isipokuwa Malta, Scotland, na jimbo la Marekani la Louisiana, na jimbo la Kanada la Quebec). Katika Uingereza wakati wa zama za kati, ushindi wa Norman ulisababisha kuungana kwa desturi mbalimbali za kikabila na hivyo basi kuunda sheria ya "kawaida" ya nchi yote. Labda ikisukumwa na mazoea ya kisheria ya Kiislamu wakati wa Krusedi,[65] sheria ya kawaida iliendelea ambapo Mfalme wa Kiingereza alikuwa amefanywa kuwa dhaifu na gharama kubwa ya vita vywa kudhibiti sehemu kubwa za Ufaransa. Mfalme Yohana alikuwa amelazimishwa na mabaroni wake kutia saini hati iliyoweka vikwazo kwa mamlaka yake ya kupisha sheria. "Mkataba huu mkuu" au Magna Carta wa mwaka 1215 pia ulihitaji jopo la mahakimu wa Mfalme kufanya mikutano yao ya kimahakama na uamuzi wao katika "mahali maalum" badala ya kutoa haki ya kibepari katika maeneo yaliyokuwa magumu kutabiri kote.[69] Kundi la mahakimu walsomi na waliokolea walipata jukumu muhimu katika kuunda sheria chini ya mfumo huu, na ikilinganishwa na wenzao Barani Ulaya mahakama ya Uingereza ilikuwa na urasimu mwingi zaidi. Kwa mfano, mnamo mwaka wa 1297, wakati ambapo mahakama kuu ya Ufaransa yalikuwa na mahakimu hamsini na wawili, Mahakama ya Uingereza ya Maombi ya Kawaida yalikuwa na watano.[70] Mahakama haya yenye nguvu na yaliyoshikamana yalisababisha mfumo wa kikiritimba.[71] Kufuatana na hilo, kadiri wakati ulivyopita, idadi iliyoongezeka ya raia waliomba Mfalme kupuuza sheria ya kawaida, na kwa niaba ya Mfalme Bwana Chansela alitoa uamuzi kufanya kile ambacho ni sawa kwa kila kesi. Kuanzia wakati wa Thomas More, wakili wa kwanza kuteuliwa kama Bwana Chansela, mwili wa kimfumo wa usawa uliongezeka kando ya sheria ya kawaida yenye ukiritimba, na ilianzisha Mahakama yake ya Chancery. Mwanzoni, usawa ulikosolewa kuwa ulikosa kukosa utaratibu, na kuwa ulibadilika kulingana na urefu wa mguu wa Chansela.[72] Lakini baada ya muda iliunda kanuni, hasa chini ya Bwana Eldon.[73] Katika karne ya 19 mifumo hiyo miwili iliunganishwa pamoja. Katika kuendeleza sheria ya kawaida na usawa, waandishi wa kitaaluma wamekuwa na jukumu muhimu. William Blackstone, kuanzia kipindi cha 1760, alikuwa mwanachuoni wa kwanza kuelezea na kufunza usawa.[74] Lakini kwa kuelezea tu, wasomi walitafuta melezo na miunso msingi walibadilisha polepole jinisi sheria ilivyofanya kazi.[75]

Sheria ya kidini

Makala kuu: Sheria ya kidini

Sheria ya kidini inatokana na mausia waziwazi ya kidini. Baadhi ya mifano ni Halakha ya Kiyahudi na Sharia ya Kiislamu—zinazotafsiri kama "njia ya kufuata"—huku sheria ya Kanoni ya Kikristo nado hutumika katika jamii chache za kikanisa. Mara nyingi dini ina maana ya kutobadilika katika sheria, kwa sababu neno la Mungu haliwezi kufanyiwa marekebisho au kupingwa na sheria za mahakimu au serikali. Hata hivyo mfumo wa kisheria wenye ufasaha kwa jumla unahitaji upanuzi wa kibinadamu. Kwa mfano, Korani ina sheria, na inakuwa kama chanzo cha sheria zaidi kupitia ufafanuzi zaidi,[76] Qiyas (kufikiria kupitia mlinganisho), Ijma (muafaka) na utangulizi. Hili hasa hupatikana katika mwili wa sheria na falsafa ya kisheria inayojulikana kama Sharia na Fiqh mutawalia. Mfano mwingine ni Torah au Agano la Kale, katika Pentatochi au Vitabu Vitano vya Musa. Vitabu hivi nakanuni sheria ya kimsingi ya Kiyahudi, ambayo baadhi ya jamii ya Kiisraeli uchagua kutumia. Halakha ni kanuni ya sheria za Kiyahudi inayofanya muhtasari wa baadhi ya ufafanuzi wa kitabu cha Talmud. Hata hivyo, Sheria ya Israeli inaruhusu wenye malalamishi kuchagua mbinu za kidini ikiwa tu wangetaka. Sheria ya Kanoni inatumika tu na wanachama wa kikasisi katika Kanisa la Kikatoliki la Roma, na Kanisa la Kiothodoksia la Mashariki na la Kianglikana.

Kesi katika Dola la Ottoman, mwaka wa 1879, wakati sheria ya kidini ilitumika chini ya Mecelle

Hadi karne ya 18, sheria ya Sharia ilitekelezwa kote katika Ulimwengu wa Kiislamu katika mfumo ambayo haikuwa imeandikwa kwa ufasaha, huku sheria ya Mecelle ya Dola la Ottoman katika karne ya 19 ikiwa ya kwanza kuandika vipengele vya sheria ya Sharia. Tangu miaka ya kati ya 1940, majaribio yamefanywa, katika nchi nyingi, kufanya sheria ya Sharia ifanane zaidi na hali na dhana za kisasa.[77][78] Katika nyakati za kisasa, mifumo ya kisheria katika mataifa mengi ya Kiislamu yametegemea tamaduni za sheria ya kiraia na sheria ya kawaida na pia sheria ya sheria ya Kiislamu na tamaduni. Katina za baadhi ya nchi za Kiislamu, kama vile Misri na Afghanistan, zinatambua Uislamu kama sheria ya taifa, hivyo kuyafanya mabunge katika nchi hizo yasiwe na budi kufuata Sharia.[79] Saudi Arabia inatambua Korani kama katiba, na inatwaliwa kwa msingi wa sheria ya Kiislamu.[80] Iran pia imeshuhudia kurudi kwa sheria ya Kiislamu katika mfumo wake wa kisheria baada ya mwaka wa 1979.[81] Katika miongo michache iliyopita, mojawapo ya tofauti kuu ya harakati ya mwamko wa Kiislamu imekuwa wito wa kuirejesha Sharia, wito amabao umeibua kiasi kikubwa cha maandiko na kuathiri siasa Duniani.[82]

Nadharia ya Kisheria

Historia ya Sheria

Mfalme Hammurabi anaonyeshwa mkusanyiko wa sheria na mungu wa jua wa Kimesopotamia Shamash, ambaye pia anatambulika kama mungu wa haki

Historia ya sheria inashikamana kwa karibu na maendedelo ya ustaarabu. Sheria ya Misri ya Kale, iliyorudi nyuma mbali hadi mwaka wa 3000 KK, ilikuwa na mkusanyiko wa sheria ambao huenda ilikuwa imevunjwa katika vitabu kumi na viwili. Ilizingatia dhana ya Ma'at, iliyokuwa na sifa ya mapokeo, hotuba za kushawishi, usawa wa kijamii na uaminifu.[83][84] Kufikia karne ya 22 ;BC, mtawala wa zamani wa Kisumeri, Ur-Nammu alikuwa ameandaa mkusanyiko wa sheria, ambao ulihusisha kauli za kimjadala ("ikiwa ... basi ..."). Kufikia mwaka wa 1760 KK, Mfalme wa Hammurabi aliboresha Sheria ya Babeli zaidi, kwa kuikusanya na kuandika katika jiwe. Hammurabi aliweka nakala kadhaa za jiwe lile kote katika milki ya babeli kama stelae, ili watu wote waitazame; hii ilikuja kufahamika kama Codex Hammurabi. Nakala iliyobaki ambayo haijaharibika sana wa stelae hizi iligunduliwa katika karne ya q9 na wasomi kuhusu mambo ya milki ya Assyria wa Uingereza, na tangu wakati huo imenakiliwa upya na kutafsiriwa katika lugha mbalimbali, ikiwemo Kiingereza, Kijerumani na Kifaransa.[85]

Agano la Kale lilianza mnamo mwaka wa 1280KK, na linachukua umbo la amri za kimaadili kama mapendekezo ya jamii nzuri. Mji-jimbo mdogo wa Kigiriki wa Atheni ya Kale, na kuanzia karne ya 8 KK ilikuwa jamii ya kwanza kuwa na msingi wake katika kuhusisha raia kwa upana; isipokuwa wanawake na daraja la watumwa. Hata hivyo, Atheni haikuwa na sayansi ya kisheria, na hapakuwa na neno la "sheria" isipokuwa kama dhana ya kiakili tu.[86] Bado sheria ya Ugiriki wa Kale ilikuwa na uvumbuzi mkubwa wa kikatiba katika kuendeleza demokrasia.[87]

Sheria ya Kirumi ilisukumwa sana na falsafa ya Kigiriki, lakini maelezo yake ya kina yaliendelezwa na wanasheria wa kitaaluma, na yalikuwa magumu sana.[88][89] Katika kipindi cha karne zilizopita kati ya kupanda na kushuka kwa Dola la Roma, sheria imebadilishwa ili kukabiliana na hali za kijamii zilizokuwa zikibadilika, na ilikusanywa na kuandkiwa vilivyo katoka wakati wa utawala wa Justinian I.[90] Ingawa ilipungua kwa umuhimu wakati wa Zama za Giza, Sheria ya Kirumi iligunduliwa upya wakati wa karne ya 11 wakati ambapo wasomi wa Zama za Kati walipoanza kutafiti mkusanyiko wa sheria za Kirumi na kayatumia mawazo yao. Katika Uingereza ya Zama za Kati, mahakimu wa Mfalme waliunda mwili wa utangulizi, ambao baadaye ulijulikana kama sheria ya kawaida. Lex Mercatoria ya Ulaya mzima iliundwa ili kuwapa wafanyabiashara uwezo wa kufanya biashara kwa kutumia viwango sawa vya mazoezi; badala ya kutumia sheria za kimtaa zenye pande nyingi. Lex Mercatoria, mtangulizi wa sheria ya kisasa ya biashara, ilihimiza uhuru wa mkataba na kuwekwa mbali kwa mali.[91] Kadiri utaifa ulipozidi katika karne za 18 na 19, ndipo Lex Mercatoria ilipozii kujumuishwa katika sheria za kimanispaa za nchi mbalimbali chini ya mkusanyiko mpya wa sheria za kiraia. Mkusanyiko wa Sheria za Kinapolioni na sheria za Kijerumani ulikuwa na ushawishi mkubwa zaidi. Ikitofautishwa na sheria ya kawaida ya Uingereza, ambayo ina idadi kubwa ya sheria za kesi, mikusanyiko ya sheria katika vitabu vidogo ni rahisi kuuza nje ili mahakimu waweze kuitumia. Hata hivyo, hivi leo kuna ishara kuwa sheria ya kiraia na sheria ya kawaida zinazidi kukaribiana.[92] Sheria ya Umoja wa Ulaya imekusanywa katika mikataba, lakini huendelezwa kupitia utangulizi unaofanywa na Mahakama ya Ulaya ya Haki.

Katiba ya nchi ya Uhindi ndiyo katiba ndefu zaidi iliyoandikwa kwa nchi, ikiwa na Ibara 444, Ibara 12 ndogo, na marekebisho mengi na maneno 117,369

Sheria ya Kiislamu na falsafa ya sheria zilianza katika kipindi cha Zama za Kati.[93] Mbinu ya kisheria ya utangulizi na kufikiria kupitia mlinganisho (Qiyas) iliyotumika katika sheria ya mapema ya Kiislamu ilifanana na na ile ya baadaye ya mfumo wa Sheria ya Kawaida ya Uingereza.[94] Hii ilitumika hasa katika shule ya Maliki ya sheria ya Kiislamu iliyopatikana sana katika eneo la Afrika Kasakazini, Uhispania wa Kiislamu na baadaye Sicily ya Kiemereti. Kati ya karne za 8 na 11, sheria ya Maliki iliendeleza taasisi nyingi zilizokuwa sambamba na taasisi za baadaye za sheria ya kawaida.[95]

Sheria ya kale ya Uhindi na Uchina zinawakilisha mapokeo tofauti ya sheria, na kihistoria yamekuwa na shule huru za kinadharia na mazoezi. Arthashastra, ambayo pengine iliandikwa mnamo mwaka wa 100 BB (ingawa ina maadiko ya awali kidogo), na Manusmriti (100–300BB) yalikuwa mikataba ya uanzilishaji nchini Uhindi, na ilikuwa na maandiko yanayofikiriwa kuwa uwongofu wenye mamlaka wa kisheria.[96] Falsafa kuu ya Manu ilikuwa kuvumiliana na Mfumo wa Vyama Vingi, na ilitajwa kote katika eneo la Asia ya Kusini Mashariki.[97] Mapokeo haya ya Kihindu, pamoja na sheria ya Kiislamu, yalibadilishwa na na sheria ya kawaida wakati ambapo Uhindi ilifanywa kuwa sehemu ya Dola la Uingereza.[98] Malaysia, Brunei, Singapore na Hong Kong pia ilianza kutumia sheria ya kawaida, Mapokeo ya Asia ya Kusini ya sheria yanaangazia mkusanyiko maalum wa ushawishi wa kidunia na kidni.[99] Ujapani ilikuwa nchi ya kwanza kuanza kuufanya mfumo wake wa sheria uwe wa kisasa sambamba na ule wa nchi za magharibi, kwa kuagiza sehemu za mkusanyiko wa sheria za Ufaransa, lakini hasa mkusanyiko wa sheria za Kijerumani.[100] Hili lilionyesha kwa kiwango fulani hadhi ya Ujerumani kama nguvu yenye uwezo mkubwa zaidi katika kipindi cha mwisho cha karne ya 19. Pia, sheria ya mapokeo ya Uchina ilifungua njia kwa kubadilishwa na nchi za magharibi kuelekea miaka ya mwisho ya nasaba ya Ch'ing kupitia njia ya mkusanyiko wa sheria tatu za kibinfasi zilizokuwa na msingi katika muundo wa Ujapani wa sheria ya Ujerumani.[101] Leo sheria ya Kitaiwani inabaki na mshikamano wa karibu zaidi na mkusanyiko wa sheria kutoka kipindi hicho, kwa sababu ya mgawanyiko kati ya wanataifa wa Chiang Kai-shek, ambao walitoroka kutoka sehemu hiyo, na wakomunisti wa Mao Zedong waliopata ushindi wa kudhibiti bara mnamo mwaka wa 1949. Muundombinu wa sasa wa Jamhuri ya Watu wa Uchina ilishawishika pakubwa na Sheria ya Kisosholisti ya Wasovyeti, inayopea sheria ya utawala umuhimu mwingi kuliko haki za sheria ya kibinafsi.[102] Kwa sababu ya kuongezeka kwa kasi kwa viwanda, leo Uchina inapitia machakato wa wa marekebisho, angalau katika nyanja ya haki za kiuchumi, ikiwa si haki za kijamii na kisiasa. Sheria mpya ya mkataba ya mwaka wa 1999 ilikuwa ishara ya kusonga mbali na kuwa na utawala mwingi.[103] Isitoshe, baada ya mazungumzo yaliyodumu miaka kumi na mitano, mnamo mwaka 2001 Uchina ilijiunga na Shirika la Biashara Duniani.[104]

Falsafa ya sheria

Makala kuu: Falsafa ya sheria

Kigezo:Quote box2

Falsafa ya sheria kwa kawaida inaitwa jurisprudensi. Jurisprudensi unaozidi kuongezka wenyewe ni falsafa ya kisiasa, na unauliza "sheria inafaa kuwa nini?", huku jurisprudensia ya uchambuzi inauliza "sheria ni nini?". Jibu la kiutumikaji la John Austin linajibu kuwa sheria ni "amri, zinazoandamana na matishio ya vkwazo, kutoka kwa mtawala, ambaye watu wote wamezoea kumtii".[105] Mawakili wa sheria ya kimaumbile kwa upande mwingine, kama vile Jean-Jacques Rousseau, wanadokeza kwamba sheria inaangazia sheria isiyobadilika ya tabia ya kimaumbile. Dhana ya "sheria ya kimaumbile" iliibuka katika falsafa ya Kigiriki ya zamani kwa wakati mmoja na kwa pamoja na dhana ya haki, na iliingia mkondo wa utamaduni wa Magharibi kupitia maandiko ya Thomas Aquinas na maoni ya mwanafalsafa wa Kiislamu na mwanasheria Averroes.[106][107]

Hugo Grotius, mwanzilishi wa mfumo uliotegemea dhana za kiakili pekee ya sheria ya kimaumbile, alidokeza kuwa sheria inatokana na msukumo wa kijamii—jinsi Aristotle alivyokuwa amesema—na kufikiria.[108] Immanuel Kant aliamini kuwa amri ya kimaadili inahitaji sheria "zichaguliwe kana kwamba zinafaa kushikilia kama sheria za ilimwenguni kote za kimaumbile".[109] Jeremy Bentham na mwanafunzi wake Austin, wakimfuata David Hume, waliamini kuwa hili liliongeza utata wa "kilicho" na kile ambacho "kinafaa kuwepo". Bentham na Austin walisisitiza kuwe na sheria ya uchanya; na kuwa sheria ya kweli ni tofauti kabisa na "maadili".[110] Kant pia alikosolewa na Friedrich Nietzsche, ambaye alikataa kanuni ya usawa, huku akiamini kuwa sheria hutokana na nia kwa nguvu, na haiwezi fanywa kuwa ya "kimaadili" au "utovu wa nidhamu".[111][112][113]

Mnamo mwaka wa 1934, mwanafalsafa wa Kiaustria, Hans Kelsen, alizidi na mapokeo ya uchanya katika kitabu chake Nadharia Safi ya Sheria.[114] Kelsen aliamini kuwa ingawa sheria ni tofauti na maadili, inapewa "ukawaida"; kumaanisha kuwa tunfaa kuitii. Ingawa sheria ni taarfa chanya za "ni" (k.m. faini ya kuendesha kwa kurudi nyuma katika barabara kuu ni 500); hii sheria inatuelezea kile "tunachofaa" kutenda. Kwa hivyo kila mfumo wa sheria unaweza kudadisiwa kuwa na kanuni ya msingi (Grundnorm) ianyotupea amri ya kutii. Mpinzani mkuu wa Kelsen, Carl Schmitt, alikataa uchanya na dhana ya utawala wa sheria kwa sababu hakukubali umuhimu wa kanuni za kidhana za Uchanya badala ya mitazamo na uamuzi bayana wa kisiasa.[115] Kwa hiyo, Schmitt alipendekeza falsafa ya sheria ya maalum (hali ya dharura), ambayo ilikanusha kuwa kanuni za kisheria zingezunguka uzoefu wote wa kisiasa.[116]

Nadharia za Bentham za utumikiaji zilibaki kimya katika sheria hadi karne ya 20

Baadaye katika karne ya 20, H. L. A. Hart alimshambulia Austin kwa kurahisisha kwake kwa suala hilo na Kelsen kwa kutunga kwake kwa mambo ya kihadithi katika kitabu cha Dhana ya Sheria.[117] Hart alidokeza kuwa sheria ni mfumo wa kanuni, zilizogawanywa kuwa (kanuni za maadili) ambazo ndizo za kimsingi na sheria za upili (zinazowalenga maafisa kusimamia kanuni msingi). Kanuni za upili zimegawanywa zaidi kuwa sheria za uamuzi (kutatua migogoro ya kisheria), kanuni za mabadiliko (zinazoruhusu sheria kuwa tofauti) na sheria ya utambuzi(inayoruhusu sheria kutambulika kama halali). Wawili kati ya wanafunzi wa Hart waliendeleza mjadala: Ktaika kitabu chake Dola la Sheria, Ronald Dworkin alimshabulia Hart na wachanya kwa kukataa kwao la kufanya sheria iwe suala la kimaadili. Dworkin anadokeza kuwa sheria ni dhana ya "kitafsiri",[118] inayowataka mahakimu kupata suluhisho bora zaidi kwa mgogoro wa kisheria, kwa mujibu wa mila zao. Joseph Raz, kwa upande mwingine, anawataka alitetea mtazamo wa kichanya na kukosoa mtazamo wa Hart wa "nadharia laini ya kijamii" katika kitabu chake Mamlaka ya Sheria.[119] Raz anadokeza kuwa sheria ni mamlaka, yanayotambulika kupitia vyanzo vya kijamii na bila kurejelea hoja za kimaadili. Katika maoni yake, uainishaji wowote wa kanuni zozote zaidi ya majukumu yao kama vifaa vya kimamlaka katika upatanisha ni bora yaachiwe elimu ya jamii, badala ya falsafa ya sheria.[120]

Uchambuzi wa kiuchumi wa sheria

Makala kuu: Sheria na uchumi

Katika karne ya 18 Adam Smith aliwasilisha msingi wa kifalsafa wa kuelezea uhusiano kati ya sheria na uchumi.[121] Taaluma hiyo ilitokana na mchango wa ukosoaji dhidi ya vyama vya wafanyikazi na sheria dhidi ya amana nchini Marekani. Watetezi wa taaluma hii waliokuwa na ushawishi mkubwa zaidi, kama vile Richard Posner na Oliver Williamson na kinachojulikana kama Shule ya Chicago ya wanauchumi na mawakili ikiwemo Milton Friedman na Gary Becker, kwa jumla ni watetezi wa uouguzaji wa udhibiti na ubinafsishaji, na ni maadui wa udhibiti wa serikali au kile wanachokiona kuwa vikwazo dhidi ya unedeshaji wa masoko huru.[122]

Richard Posner, mmoja wa watetezi wa Chuo cha Chicago, huandika blogu pamoja na Gary Becker mwanauchumi ambaye ni mshindi wa Tuzo la Benki ya Uswidi.[123]

Mchambuzi maarufu zaidi wa kiuchumi wa sheria ni mshindi wa Tuzo la Nobel la mnamo 1991 Ronald Coase, ambaye makala yake makuu ya kwanza, Hali ya Kampuni (1937), kulidokeza sababu za kuwepo kwa makampuni mbalimbali (makampuni, ubia, n.k.) ndiyo kuwepo kwa gharama za biashara.[124] Binadamu ambao hufikiria kawaida hufanya biashara kupitia mikataba ya bilaterala katika masoko wazi hadi wakati ambapo gharama ya biashara kunamaanisha kuwa kutumia makampuni ya kihalmasahhuri ili kuzalisha bidha ni ya ufanisi mwingi zaidi.Makala yake makuu ya pili, Shida ya Gharama ya Kijamii (1960), yalidokeza kuwa tunaishi katika Dunia bila gharama za kibiashara, watu ambao huongea kuhusu gharama pamoja wanatengeneza mgao sawa wa rasilimali, buila kujali jinsi mahakama yanavyoweza kuamua katika migogoro kuhusu mali.[125] Coase alitumia mfano wa kesi ya kero iliyoitwa Sturges dhidi ya Bridgman, ambapo mtengenezaji peremende ambaye alipiga kelele nyingi na daktari mtulivu walikuwa majirani na walienda mahakamani ili wajue nani kati yao ndiye angefa kuhama.[40] Coase alisema kuwa bila kujali ikiwa hakimu aliamua kuwa mtengenezaji peremende angefaa kuwacha kutumia mashine zake, au ikiwa ingembidi daktari kuvumilia kelele ile, wote wawili wangefikia mapatano ya pamoja kuhusu nani ndiye angefaa kuhama ambayo yanafikia matokeo sawa na mgawanyo wa rasilimali. Ni kuwepo tu kwa bei za biashara kunaoweza kuzuia hili.[126] Kwa hivyo sheria infaa kutazamia kile ambacho huenda kikafanyika, na kuongozwa na ufumbuzi wenye ufanisi. Wenye kuunda mipango serikalini wanaamini wazo kwamba sheria na vikwazo si muhimu au zenye ufanisi katika kuwasaidia watu.[127] Coase na wengine kama yeye walitaka mabadiliko ya mbinu, ili kuweka mzigo wa ushahidi katika serikali iliyokuwa ikiingilia soko, kwa kuchambua gharama za hatua.[128]

Somo la kijamii la sheria

Somo la kijamii la sheria ni taaluma pana ya masomo inayotazama mwingiliano kai ya sheria na jamii na inahusiana kwa karibu na falsafa ya sheria, uchambuzi wa kiuchumi wa sheria na masomo maalum zaidi kama somo la jinai.[129] Taasisi za The za ujenzi wa jamii na mifumo ya kisheria ni ameneo muhimu ya uchunguzi wa taaluma hii. Mwanzoni, wananadharia wa kisheria walishuku taaluma hii. Kelesen alimshambuliwa mmoja wa waanzilishi wake, Eugen Ehrlich, ambaye alitaka kufanya wazi tofauti kati ya sheria ya uchanya, ambayo mawakili wanajifunza na kutumia, na aina zingine za 'sheria' au kanuni za kijamii zinazodhibiti maisha ya kila siku, na kwa jumla kuzuiwa migogoro isiwafikie mawakili mahakamani.[130][131]

Max Weber mnamo mwaka wa 1917, Weber alianza kazi yake kama wakili, na antazamwa kama mmoja wa waanzilishi wa somo la jamii na somo la jamii la kisheria

Katika kipindi cha mwaka 1900 Max Weber alifafanua mbinu yake ya "kisayansi" ya sheria, huku akitambua "umbo la kimantiki ya sheria" kama aina ya utawala, ambao si chanzo cha watu lakini kwa dhana za kiakili.[132] Umantiki wa kisheria yalikuwa maneno yake aliyoyatumia kuelezea mwili wa sheria zinazoeleweka na zinazoweza kuhesabika na zilikuwa hatua ya kwanza ya maendeleo ya kisasa ya kisiasa na taifa la ukiritimba la kisasa na kuibuka sambamba na ubepari.[129] Msomi mwingine wa somo la jamii, Émile Durkheim, aliandika katika Mgawanyo wa Ujira na Jamii kuwa kadiri jamii inavyozidi kuwa kubwa, ndivyo mwili wa sheria ya kiraia unaohusika hasa na fidia unapozidi kukuwa kwa gharama ya sheria za jinai na vikwazo vya kisheria.[133] Wasomi wengine wa somo la jamii ni Hugo Sinzheimer, Theodor Geiger, Georges Gurvitch na Leon Petrażycki Barani Ulaya, na William Graham Sumner nchini Marekani[134][135]

Taasisi za kisheria

Kigezo:Quote box2

Sheria si mwili wa kanuni zisizobadilika bali ni "machakato badilifu wa kanuni zinazobadilishwa kila wakati, kuundwa, na kupewa umbo ili kuambatana na hali fulani."[136] Mabadiliko yanafanywa kila wakati na taasisi mbalimbali katika jamii. Taasisi kuu za sheria katika Demokrasia huru ni Mahakama huru, mifumo ya haki, bunge, serikali yenye uwajibikaji, na ukiritimba wenye uwezo na usiokuwa na ufisadi , kiksoi cha polisi, kudhibitiwa kwa jeshi na raia na taaluma ya kisheria yenye nguvu inayohakikisha watu wanapta haki na jamii ya kiraia mbalimbali—neno linalotumika kuashiria taasisi za kijamii, jamii na ushirikiano unaunda msingi wa kisiasa wa sheria.[137][138]

John Locke, katika Maandiko Mawili kuhusu Serikali, na Baron de Montesquieu katika Roho ya Sheria, walitetea mgawanyo wa madaraka kati ya miili ya kisiasa ya bunge na serikali.[139] Kanuni yao ilikuwa kuwa hakuna mtu anayefaa kuwa na uwezo wa kuchukua mamlaka yote ya taifa, ikitofautishwa na nadharia ya uimla ya Thomas Hobbes' Leviathan.[140] Max Weber na wengine walibadilisha mawazo kuhusu taifa. Jeshi la kisasa, upolisi na mamalaka ya ukiritimba juu ya masiha ya raia wa kawaida husababisha matatizo maalum ya uwajibikaji ambayo waandishi wa awali kama vile Locke au Montesquieu hawangeweza kutabiri. Mashirika ya kisasa ya kimataifa huzingatia umuhimu wa utawala wa sheria na utawala mzuri, huku waandishi wengine hutafiti uhsusiano kati ya utawala wa sheria na utawala wa ufanisi katika nchi za kisasa.[141][142]

Mahakama

Makala kuu: Mahakama

Mahakama ni idadi ya mahakimu wanaosikiza migogoro ili kuamua matokeo. Nchi nyingi zina mfumo wa mahakama ya rufaa, yanayojibu kwa mamlaka makuu ya kisheria. Nchini Marekani haya ni Mahakama Kuu ya Marekani;[143] nchini Australia, Mahakama Kuu ya Australia; nchini Uingereza , ni Mahakama Kuu ya Uingereza[144] (tangu tarehe1 Oktoba 2009; hapo awali yalikuwa, Nyumba ya Mabwana);[145] nchini Ujerumani ni Bundesverfassungsgericht; nchini Ufaransa ni Cour de Cassation.[146][147] Kwa nchi nyingi za Ulaya Mahakama ya Ulaya ya Haki nchini Luxembourg inaweza kuukataa umauzi wa kitaifa, wakati ambapo sheria ya Umoja wa Ulaya inafaa. Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu inayopatikana Strasbourg inawaruhusu raia wa nchi wanachama za Baraza la Ulaya kuleta kesi zao zinzohusiana na haki za kibinadamu mbele yake.[148]

Faili:Public hearing at the ICJ.jpg
Mahakimu wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki mjini Hague

Baadhi ya nchi huruhusu mamlaka yao makuu ya mahakama kukataa sheria wanayopata kuwa kinyume na katiba. Katika kesi ya Roe dhidi ya Wade, Mahakama Kuu ya Marekani yalipindua sheria ya jimbo la Texas iliyopiga marufuku utoaji wa usaidizi kwa wanawake wenye nia ya kuavya mimba.[149] Marekebisho ya Kumi na Nne ya katiba ya Marekani yalikuwa yametafsiriwa kuwapa ya faragha, na kwa hivyo haki ya mwanamke kuchagua kuavya mimba.

Mahakama kinadharia yamefundwa na katiba, kama tu miili ya bunge. Katika nchi nyingi, mahakimu wana uwezo tu wa kutafsiri katiba na sheria zingine zote. Lakini katika nchi zasheria ya kawaida, ambapo mambo si ya kikatiba, mahakama pia yanweza kuunda sheria chini ya mafundisho ya utangulizi. Uingereza, Finland na New Zealand hutumia dhana ya uhuru wa bunge, ambapo mahakama ambayo hayajachaguliwa hayawezi kupindua sheria iliyopitishwa na bunge la kidemokrasia.[150] Katika nchi za kikomiunisti, kama vile Uchina, mahakama mara nyingi hutazamwa kama sehemu ya serikali, au kuwa chini ya bunge; taasisi za kiserikali na watendaji mbalimbali basi wana ushawishi tofauti kwa mahakama.[151] Katika nchi za Kiislamu, mahakama mara nyingi huchunguza ikiwa sheria za nchi zinafuata Sharia: Mahakama Kuu ya Kikatiba ya Misri inaweza kuoinga sheria kama hizo,[152] Na nchini Iran Baraza la Ulinzi linahakikisha uwiano wa sheria zinazopitishwa na "vigezo vya Uislamu".[152][153]

Bunge

Makala kuu: Bunge
Chumba cha mjadala cha Bunge la Ulaya

Mifano maarufu ya bunge ni Majumba ya Bunge mjini London, Kongresi mjini Washingtin D.C., Bundestag mjini Berlin na Duma nchini Moscow, Parlamento Italiano mjini Roma na Assemblée nationale mjini Paris. Kwa kanuni ya serikali wakilishi watu hupigia kura wanasiasa ili watimize matakwa yao. Ingawa nchi kama Israeli, Ugiriki, Uswidi na Uchina zina nyumba moja ya bunge, nchi nyingi zina nyumba mbili za bunge, kumaanisha kuwa zina nyumba mbili za kibunge zinazochaguliwa tofauti. Katika 'nyumba ya chini' wanasiasa wanachaguliwa kuwakilisha maeneo wakilishi bungeni. 'Nymba ya juu' kawaida huchaguliwa kuwakilisha majimbo katika mfumo wa majimbo (kama vile nchii Australia, Ujerumani au Marekani) au upigaji kura tofauti katika katika mfumo wa umoja (kama vile nchini Ufaransa). Nchini Uingereza nyumba ya juu inachaguliwa na na serikali kama nyumba ya marudio. Ukosoaji mmoja wa mifumo yenye nyumba mbili yenye nyumba mbili zilizochaguliwa ni kuwa nyumba ya juu na ya chini huenda zikafanana. Utetezi wa tangu jadi wa mifumo ya nyumba mbili nni kuwa chumba cha juu huwa kama nyumba ya marekebisho. Hili linaweza kupunguza uonevu na dhuluma katika hatua ya kiserikali, 101</ref>

Ili kupitisha sheria, idadi kubwa ya Wabunge lazima wapige kura ili muswada (sheria inayopendekezwa) upitishwe katika kila nyumba. Kawaida kutakuwa na kusoma kwingi na marekebesho mengi yaliyopendekezwa na makundi tofaiti ya kisiasa. Ikiwa nchi ina katiba inayofuatiliwa vyema, idadi maalum ya mabadiliko katika katiba yanahitajika, hivyo kufanya iwe gumu kubadilisha sheria. Serikali kwa kawaida huongoza mchakato huo, ambao unaweza kujumuisha Wabunge (k.m. nchini Uingereza na Ujerumani). Lakini katika mfumo wa kiraisi, serikali inachagua baraza la mawaziri kutawala kutoka kwa washirika wake kisiasa ikiwa wamechaguliwa au la (k.m. nchini Marekani au Brazili), na jukumu la bunge linapunguza liwe kukubali au kukataa.[154]

Serikali

Makala kuu: Serkali
Mikutano ya G20 inahusisha wawakilishi wa serikali ya kila nchi

Mtendaji katika mfumo wa kisheria hutumika kama kituo cha serikali cha mamlaka ya kisiasa. Katika mfumo wa kibunge, kama vile nchini Uingereza, Italia, Ujerumani na Ujapani, mtendaji hujulikana kama serikali, na huwa na wanachama wa bunge. Mtendaji huchaguliwa na Waziri Mkuu au Chansela, ambaye ofisi yake ina nguvu za chini ya imani ya bunge. Kwa sababu uchaguzi wenye watu wengi huteua vyama vya kisiasa kutawala, kiongozi a chama anaweza kubadilika katika kipindi kabla ya uchaguzi mwingine. Mkuu wa Taifa ni kando na mtendaji, na kimfano hupitisha sheria na huwa kama mwakilishi wa nchi. Baadhi ya mifano ni Rais wa Ujerumani (anayeapishwa na Bunge); Malkia wa Uingereza (wadhifa wa kurithi), na Rais wa Austria (anachaguliwa kwa kura ya wengi). Mfano mwingine muhimu ni mfumo wa kirais, unaopatikana nchini Ufaransa, Marekani na Urusi. Katika mifumo ya kirais, mtrndaji huwa kama mkuu wa taifa na mkuu wa serikali, na ana nguvu za kuchagua baraza la mawaziri pekee yake. Chini ya mfumo wa kirais, tawi la mtendaji ni kando na bunge ambapo haiwajibiki mbele ya bunge.[155][156]

Ingawa jukumu la mtendaji ni tofauti toka nchi moja hado nyingine, kawaida itapendekeza wingi wa sheria, na kupendekeza ajenda ya serikali. Katika mifumo ya kirais, mtendaji mara nyingi ana nguvu za kukataa sheria. Mara nyingi mtendaji katika mifumo yote ana wajibu wa [sera za mahusiano ya nje]], jeshi na polisi na urasimu. Mawaziri au maafisa wengine wanasimamia ofisi za nchi, kama vile wizara ya nje au wizara ya ndani. Uchaguzi wa mtendaji tofauti kwa hivyo ina uwezo wa kupindua mtazamo wa nchi nzima wa serikali.

Jeshi na polisi

Makala kuu: Jeshi na Polisi
Maafisa wa Marekani wa Forodha na Ulinzi wa Mipaka

Ingawa mashirika ya kijeshi yamekuwepo kwa muda mrefu kama serikali yenyewe, dhana la kikosi cha polisi kilicho tayari ni dhana ya kisasa. Mfumo wa Uingereza ya Zama za Kati ya mahakama ya jinai ya kusafiri, au assize, ilitumia kesi za maonyesho na unyongaji hadharani kufanya jamii ziwe na hofu na hivyo kudumisha udhibiti.[157] Polisi wa kwanza wa kisasa pengine walikuwa wale wa Paris wa karne ya 17, katika mahakama ya Louis XIV,[158] ingawa Polisi wa Mkoa wa Paris ndio wanadai kuwa wao ndio waliokuwa wa kwanza kuvaa sare.[159]

Weber yu maarufu kwa kudokeza kwamba taifa ni lile ambalo linadhibiti kihalali utumizi wa kipekee wa vurugu.[160][161] Majeshi na askari wanalinda usalama kufuatana na amri ya serikali au mahakama. Maneno taifa lililopangarayika yanaashiria taifa ambalo haliwezi kutekeleza au kulazimisha sera; askari wao na majeshi hawana uwezo wa kulinda usalama na amani na jamii inaelekea vurugu pekee, wakati serikali inapokosekana.[162]

Urasimu

Makala kuu: Urasimu
Makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York yana watumishi wa kiserikali wanaotoa huduma kwa mataifa wanachama 192 ya shirika hilo.

Asili ya neno "Urasimi" ni neno la Kifaransa la "ofisi" (bureau) na neno la Kigiriki cha Zamani cha "nguvu" (kratos).[163] Kama tu wanajeshi na polisi, watumishi wa mfumo wa kisheria wa serikali na miili inayounda urasimu wake hufuata maagizo ya Mtendaji. Mojawapo ya marejeo kwa dhana yalifanywa Baron de Grimm, mwandishi wa Kijerumani aliyeishi nchini Ufaransa. Mnamo mwaka wa 1765 aliandika,

Roho halisi ya sheria nchini Ufaransa ni urasimu amabo marehemu Monsieur de Gournay alikuwa akilalamika sana kuhusu; hapa ofisi, makarani, makatibu, wasimamizi na wanaonuia kufanya kazi fulani hawaapishwi kufaidi maslahi ya umma, kwa hakika maslahi ya ummayanaonekana kuanzishwa ili ofisi hizo ziwepo.[164]

Wasiwasi kuhusu "utawala wa kiofisi" bado ni kawaida, na utendaji wa watumishi wa umma kawaida hutofautishwa na wa kampuni za kibinafsi zinazoendeshwa na lengo la faida.[165] Kwa kweli kampuni za kibinafsi, hasa zile kubwa, pia zina urasimu.[166] Mtazamo mbaya wa "urasimu" kando, huduma za umma kama vile elimu, afya na shughuli za polisi au uchukuzi wa umma ni kazi muhimu nchi hivyo basi kufanya urasimu wa umma chanzo cha nguvu za serikali.[166] Akiandika mapema katika karne ya 20, Max Weber aliamini kuwa sifa muhimu ya nchi iliyoendelea ilikuwa imekuwa msaada wake wa kirasimu.[167] Weber aliandika kuwa sifa za kawaida za urasimu wa kisasa ni kuwa maafisa wanafafanua lengo lake, wigo wa kazi umefungwa na kanuni, usimamizi unajumuisha wataalamu wa wataalamu wa kitaaluma, amabo ambao husimamia kuanzia juu kuenda chini, wakiwasiliana kupitia kuandika na kufunga uwezo wa wafanyikazi wa umma kufanya watakavyo kwa kutumia kanuni.[168]

Taaluma ya kisheria

Katika mifumo ya sheria ya kiraia kama ile ya Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uhispania na Ugiriki, kuna aina maalum ya Karani wa sheria ya kiraia, afisaa wa umma mwenye ufunzi wa kisheria, anayelipwa fidia na wanaofanya biasharaa.[169] Hii ni picha ya karne ya 16 ya karani wa sheria ya kiraia kama huyo ya mchoraji wa Kiflemi Quentin Massys.

Hitimisho la utawala wa sheria ni kuwepo kwa taaluma ya kisheria yenye uhuru wa kutosha wa kuweza kuomba mamlaka ya mahakama huru; haki ya usaidizi kusaidiwa na wakili mahakamani uanatokana na hitimisho hili—nchini Uingereza kazi ya wakili inatofautishwa na ile ya mshauri wa kisheria.[170] Kama mahakama ya Ulaya ya Haki za Binadamu yanavyosema, sheria inafaa kupatikana na kila mtu na waty wanfaa kutabiri jinsi sheria itakavyowaathiri.[171] Ili kudumisha utaaluma, zoezi la sheria kawaida linachungwa na serikali au mwili huru kama vile chama cha mawikili, baraza la mawakili au jamii ya sheria. Mawakili wa kisasa wanapata utambulisho maalum wa kisheria kupitia taratibu maalum za kisheria (k.m. mafanikio katika mitihani), yanahitajika na sheria ili kuwa na cheti maalum (elimi ya kisheria inayompa mwanafunzi Shahada ya Sheria, Shahada ya Sgeria ya Kiraia, au Shahada ya Juris Doctor[172]), na zinawekwa ofisini kwa kutumia fomu za kisheria za kuapishwa (kukubaliwa katika baraza la mawakili). Nchi nyingi za Kiisalmu zina sheria sawa kuhusu elimu ya kisheria na taaluma ya kisheria, lakini zingine bado zinaruhusu mawakili wenye mafunzo katika sheria ya Kiislamu ya jadi katika taaaluma ua sheria katika mahakama ya hadhi ya kibinasfi.[173] Nchini Uchina na katika nchi zingine za ulimwengu unaoendelea hakuna watu wa kutosha wenye mafunzo ya kisheria kufanya kazi katika mifumo ya mahakama iliyopo katika nchi hizo, na, kufuatana na hilo, viwango rasmi si vikali sana.[174]

Baada ya kupata kukubalika, wakili mara nyingi atafanya kazi katika kampuni ya sheria, katika vyumba kama wakili wa kipekee, katika wadhifa wa kiserikali au katika shirika la kibinafsi kama mshauri wa ndani. Isitoshe wakili anaweza kuwa [[|utafiti wa kisheria|mtafiti wa kisheria]] anayepeana uatafiti wa kisheria unapoitishwa kupitia maktaba, huduma ya kibiashara au kazi isiyokuwa na muajiri mmoja. Watu wengi wenye mafunzo katika sheria walitumia utafiti wao katika taaluma nyingine tofauti kabisa. Adhimu kwa zoezi la sheria katika mapokeo ya sheria ya kawaida ni utafiti wa kisheria kujua hali ya wakati wa sasa wa sheria. Hili linahushisha kuchunguza ripoti za kesi, majarida ya kisheria na sheria. Zoezi la sheria pia inahusu kuandika hati kama vile kuiitia kwa mahakama, [[brifu [sheria)|brifu]], mikataba, au amana. Majadiliano na ujuzu wa kusuluhisha migogoro (ikijumuisha mbinu za ADR) pia ni muhimi kwa zoezi la sheria, ikitegemea na aina ya taaluma.[175]

Mashirika ya kijamii

Maandamano mjini Washington D.C. wakati wa Harakati ya Haki za Kiraia ya Marekani mnamo mwaka wa 1963

Dhana ya Kiripablikani wakati kulipokuwa na madaraja mbalimbali ya kijamii ya "mashirika ya kijamii" ilianzia wakati wa Hobbes na Locke.[176] Locke aliona mashirika ya kijamii kama watu wenye "sheria sawa na mahakama kurejelea , yenye mamlaka ya kuamua utata baina yao."[177] Mwanafalsafa wa Kijerumani Georg Wilhelm Friedrich Hegel alitofautisha "taifa" na "mashirika ya kijamii" (burgerliche Gesellschaft) katika kitabu chake Vipengele vya Falsafa ya Sawa.[178] Hegel aliamini kuwa mashirika ya kijamii na taifa zilikuwa kinyume kabisa, katika mpangilio wa nadharia yake ya historia. Taifa la kisasa lenye pande hizi mbili–mashirika ya kijamii lilizaliwa tena katika nadharia za Alexis de Tocqueville na Karl Marx.[179][180] Siku hizi katika nadharia ya wakati wa baada ya kisasa za mashirika la kijamii lazima iwe chanzo cha sheria, kwa kuwa msingi ambapo watu wanaunda maoni na kushwishi yale wanayoamini sheria inafaa kuwa. Kama wakili wa Kiaustralia na mwandishi Geoffrey Robertson QC alivyoandika kuhusu sheria ya kimataifa,


... mojawapo ya vyanzo vyake vya kisasa inapatikana katika majibu ya kawaida ya wanaume na wanawake, na mashirika yasiyo ya kiserikali, amabyo wengi huunga, kwa ukiukaji wa haki za kibinadamu amabyo wengi huona kwenye runinga wakiwa sebuleni nyumbani mwao.[181]

Uhuru wa kujieleza, uhuru wa kujumuika na sheria zingine nyingi za kibinafsi zinawaruhusu watu kukusanyika, kujadili, kukosoa na kufanya serikali zao kuwajibika, ambapo msingi wa demokrasia ya majadiliano inaibuka. Watu wanapozidi kujihusisha mamlaka ya kisheria na na kuwa na uwezo wa kubadilisha jinsi mamlaka ya kisiasa yanapotumika maishani mwao; ndivyo sheria inapozidi kuwa halali kwa watu. Taasisi ambazo ni za kawaida sana za mashirika ya kijamii ni masoko ya kibiashra, kampuni zenye malengo ya kupata faida, familia, vyama vya kibiashara, hospitali, vyuo vikuu, shule, mashirika ya msaada, vilabu vya kujadili, mashirika yasiyokuwa ya kiserikali, vitongoji, makanisa, na vyama vya kidini.[182]


See also

[[Portal:{{{1}}}|{{{1}}} portal]]

Notes

  1. Hamilton, Marci. God vs. the Gavel, page 296 (Cambridge University Press 2005): “The symbol of the judicial system, seen in courtrooms throughout the United States, is blindfolded Lady Justice.”
  2. Fabri, Marco. The challenge of change for judicial systems, page 137 (IOS Press 2000): “the judicial system is intended to be apolitical, its symbol being that of a blindfolded Lady Justice holding balanced scales.”
  3. Luban, Law's Blindfold, 23
  4. From Old English lagu "Words of Mel"; legal comes from Latin legalis, from lex "law", "statute" (Law, Online Etymology Dictionary; Legal, Merriam-Webster's Online Dictionary)
  5. Robertson, Crimes against humanity, 90; see "analytical jurisprudence" for extensive debate on what law is; in The Concept of Law Hart argued law is a "system of rules" (Campbell, The Contribution of Legal Studies, 184); Austin said law was "the command of a sovereign, backed by the threat of a sanction" (Bix, John Austin); Dworkin describes law as an "interpretive concept" to achieve justice (Dworkin, Law's Empire, 410); and Raz argues law is an "authority" to mediate people's interests (Raz, The Authority of Law, 3–36).
  6. n.b. this translation reads, "it is more proper that law should govern than any one of the citizens: upon the same principle, if it is advantageous to place the supreme power in some particular persons, they should be appointed to be only guardians, and the servants of the laws." (Aristotle, Politics 3.16).
  7. The original French is: "La loi, dans un grand souci d'égalité, interdit aux riches comme aux pauvres de coucher sous les ponts, de mendier dans les rues et de voler du pain" (France, The Red Lily, Chapter VII).
  8. Although many scholars argue that "the boundaries between public and private law are becoming blurred", and that this distinction has become mere "folklore" (Bergkamp, Liability and Environment, 1–2).
  9. E.g. in England these seven subjects, with EU law substituted for international law, make up a "qualifying law degree". For criticism, see Peter Birks' poignant comments attached to a previous version of the Notice to Law Schools.
  10. History of the UN, United Nations. Winston Churchill (The Hinge of Fate, 719) comments on the League of Nations' failure: "It was wrong to say that the League failed. It was rather the member states who had failed the League."
  11. The prevailing manner of enforcing international law is still essentially "self help"; that is the reaction by states to alleged breaches of international obligations by other states (Robertson, Crimes against Humanity, 90; Schermers-Blokker, International Institutional Law, 900–901).
  12. Petersmann, The GATT/WTO Dispute Settlement System, 32
  13. Redfem, International Commercial Arbitration, 68–69
  14. Schermers–Blokker, International Institutional Law, 943
  15. See the C-26/62 Van Gend en Loos v Nederlanse Administratie Der Belastingen, and Flaminio Costa v E.N.E.L. decisions of the European Court.
  16. Entick v Carrington (1765) 19 Howell's State Trials 1030; [1765] 95 ER 807
  17. "Entick v Carrington". 19 Howell’s State Trials 1029 (1765). USA: Constitution Society. Iliwekwa mnamo 2008-11-13. 
  18. Locke, The Second Treatise, Chapter 9, section 124
  19. Tamanaha, On the Rule of Law, 47
  20. Auby, Administrative Law in France, 75
  21. Cesare Beccaria's seminal treatise of 1763–1764 is titled On Crimes and Punishments (Dei delitti e delle pene).
  22. 22.0 22.1 Brody, Acker and Logan, Criminal Law, 2; Wilson, Criminal Law, 2
  23. Brody, Acker and Logan, Criminal Law, 2
  24. See e.g. Brody, Acker and Logan, Criminal Law, 205 about Robinson v California, 370 U.S. 660 (1962).
  25. See e.g. Feinman, Law 111, 260–261 about Powell v Texas, 392 U.S. 514 (1968).
  26. Dörmann, Doswald-Beck and Kolb, Elements of War Crimes, 491
  27. Kaiser, Leistungsstörungen, 333
  28. About R v Dudley and Stephens [1884] 14 QBD 273 DC, see Simpson, Cannibalism and the Common Law, 212–217, 229–237
  29. Pelser, Criminal Legislation, 198
  30. The States Parties to the Rome Statute, International Criminal Court
  31. Wenberg, Pacta Sunt Servanda, 775
  32. About Carlill v Carbolic Smoke Ball Company [1893] 1 QB 256, and the element of consideration, see Beale and Tallon, Contract Law, 142–143
  33. Austotel v Franklins (1989) 16 NSWLR 582
  34. e.g. In Germany, § 311 Abs. II BGB
  35. § 105 Abs. II BGB
  36. Smith, The Structure of Unjust Enrichment Law, 1037
  37. Bolton v Stone [1951] AC 850
  38. 38.0 38.1 Donoghue v Stevenson ([1932] A.C. 532, 1932 S.C. (H.L.) 31, [1932] All ER Rep 1). See the original text of the case in UK Law Online.
  39. Donoghue v Stevenson [1932] AC 532, 580
  40. 40.0 40.1 Sturges v Bridgman (1879) 11 Ch D 852
  41. e.g. concerning a British politician and the Iraq War, George Galloway v Telegraph Group Ltd [2004] EWHC 2786
  42. Taff Vale Railway Co v Amalgamated Society of Railway Servants [1901] AC 426
  43. In the UK, Trade Union and Labour Relations (Consolidation) Act 1992; c.f. in the U.S., National Labor Relations Act
  44. Harris, The Bubble Act, 610-627
  45. eg Hunter v Canary Wharf Ltd [1997] 2 All ER 426
  46. Armory v Delamirie (1722) 93 ER 664, 1 Strange 505
  47. Matthews, The Man of Property, 251–274
  48. Savigny, Das Recht des Besitzes, 25
  49. Locke, Second Treatise on Civil Government, Chap. IX. Of the Ends of Political Society and Government. Chapter 9, section 123.
  50. McGhee, Snell's Equity, 7
  51. c.f. Bristol and West Building Society v Mothew [1998] Ch 1
  52. Keech v Sandford (1726) Sel Cas Ch 61
  53. Nestle v National Westminster Bank plc [1993] 1 WLR 1260
  54. A Guide to the Treaty of Lisbon, The Law Society
  55. Berle, Modern Corporation and Private Property
  56. WIPO, Intellectual Property, 3
  57. Modern scholars argue that the significance of this distinction has progressively declined; the numerous legal transplants, typical of modern law, result in the sharing by modern legal systems of many features traditionally considered typical of either common law or civil law (Mattei, Comparative Law and Economics, 71)
  58. Civil law jurisdictions recognise custom as "the other source of law"; hence, scholars tend to divide the civil law into the broad categories of "written law" (ius scriptum) or legislation, and "unwritten law" (ius non scriptum) or custom. Yet they tend to dismiss custom as being of slight importance compared to legislation (Georgiadis, General Principles of Civil Law, 19; Washofsky, Taking Precedent Seriously, 7).
  59. Gordley-von Mehren, Comparative Study of Private Law, 18
  60. Gordley-von Mehren, Comparative Study of Private Law, 21
  61. Stein, Roman Law in European History, 32
  62. Stein, Roman Law in European History, 35
  63. Stein, Roman Law in European History, 43
  64. Badr, Islamic Law, 187–198 [196–8]
  65. 65.0 65.1 Makdisi, The Islamic Origins, 1635–1739
  66. Hatzis, The Short-Lived Influence of the Napoleonic Civil Code in Greece, 253–263
  67. Demirgüç-Kunt -Levine, Financial Structures and Economic Growth, 204
  68. The World Factbook — Field Listing – Legal system, CIA
  69. Magna Carta, Fordham University
  70. Gordley-von Mehren, Comparative Study of Private Law, 4
  71. Gordley-von Mehren, Comparative Study of Private Law, 3
  72. Pollock (ed) Table Talk of John Selden (1927) 43; "Equity is a roguish thing. For law we have a measure... equity is according to the conscience of him that is Chancellor, and as that is longer or narrower, so is equity. 'Tis all one as if they should make the stadard for the measure a Chancellor's foot."
  73. Gee v Pritchard (1818) 2 Swans. 402, 414
  74. Blackstone, Commentaries on the Laws of England, Book the First – Chapter the First
  75. Gordley-von Mehren, Comparative Study of Private Law, 17
  76. Glenn, Legal Traditions of the World, 159
  77. Anderson, Law Reform in the Middle East, 43
  78. Giannoulatos, Islam, 274–275
  79. Sherif, Constitutions of Arab Countries, 157–158
  80. Saudi Arabia, Jurist
  81. Akhlagi, Iranian Commercial Law, 127
  82. Hallaq, The Origins and Evolution of Islamic Law, 1
  83. Théodoridés. "law". Encyclopedia of the Archaeology of Ancient Egypt.
  84. VerSteeg, Law in ancient Egypt
  85. Richardson, Hammurabi's Laws, 11
  86. Kelly, A Short History of Western Legal Theory, 5–6
  87. Ober, The Nature of Athenian Democracy, 121
  88. Kelly, A Short History of Western Legal Theory, 39
  89. Stein, Roman Law in European History, 1
  90. Kama mfumo wa kisheria, Sheria ya Kirumi imeathiri kuendelea kwa sheria Duniani kote. Pia ni sehemu ya kimsingi ya mkusanyiko wa sheria wa nchi nyingi za Barani Ulaya, na imekuwa na umuhimu katika kuunda kwa dhana ya utamaduni sawa Ulaya (Stein, Sheria ya Kirumi katika Historia ya Ulaya, 2, 104–107).
  91. Sealey-Hooley, Commercial Law, 14
  92. Mattei, Comparative Law and Economics, 71
  93. Badr, Islamic Law, 187–198
  94. Justice Gamal Moursi Badr argues that Islamic law may "be called a lawyer's law if common law is a judge's law"(Badr, Islamic Law, 187–198, El-Gamal, Islamic Finance, 16).
  95. The "royal English contract protected by the action of debt is identified with the Islamic Aqd, the English assize of novel disseisin is identified with the Islamic Istihqaq, and the English jury is identified with the Islamic Lafif". Other parallels include "the scholastic method, the license to teach" (Ijazah), the "law schools known as Inns of Court in England and Madrasas in Islam", and the agency (Hawala) and trust law (Waqf) (Gaudiosi, The Influence of the Islamic Law , 1231–1261; Makdisi, The Islamic Origins, 1635–1739).
  96. For discussion of the composition and dating of these sources, see Olivelle, Manu's Code of Law, 18-25.
  97. Glenn, Legal Traditions of the World, 276
  98. Glenn, Legal Traditions of the World, 273
  99. Glenn, Legal Traditions of the World, 287
  100. Glenn, Legal Traditions of the World, 304
  101. Glenn, Legal Traditions of the World, 305
  102. Glenn, Legal Traditions of the World, 307
  103. Glenn, Legal Traditions of the World, 309
  104. Farah, Five Years of China WTO Membership, 263–304
  105. Bix, John Austin
  106. Roeber, What the Law Requires, 887
  107. Stone, Human Law and Human Justice, 14, 51
  108. Fritz Berolzheimer, The World's Legal Philosophies, 115–116
  109. Kant, Immanuel, Groundwork of the Metaphysics of Morals, 42 (par. 434)
  110. Green, Legal Positivism
  111. Nietzsche, Zur Genealogie der Moral, Second Essay, 11
  112. Kazantzakis, Friedrich Nietzsche and the Philosophy of Law, 97–98
  113. Linarelli, Nietzsche in Law's Cathedral, 23–26
  114. Marmor, The Pure Theory of Law
  115. Bielefeldt, Carl Schmitt's Critique of Liberalism, 25–26
  116. Finn, Constitutions in Crisis, 170–171
  117. Bayles, Hart's Legal Philosophy, 21
  118. Dworkin, Law's Empire, 410
  119. Raz, The Authority of Law, 3–36
  120. Raz, The Authority of Law, 37 etc.
  121. According to Malloy (Law and Economics, 114), Smith established "a classical liberal philosophy that made individuals the key referential sign while acknowledging that we live not alone but in community with others".
  122. Jakoby, Economic Ideas and the Labour Market, 53
  123. "The Becker-Posner Blog". Iliwekwa mnamo 2007-02-03. 
  124. Coase, The Nature of the Firm, 386–405
  125. Coase, The Problem of Social Cost, 1–44
  126. Coase, The Problem of Social Cost, IV, 7
  127. Coase, The Problem of Social Cost, V, 9
  128. Coase, The Problem of Social Cost, VIII, 23
  129. 129.0 129.1 Jary, Collins Dictionary of Sociology, 636
  130. Rottleuthner, La Sociologie du Droit en Allemagne, 109
  131. Rottleuthner, Rechtstheoritische Probleme der Sociologie des Rechts, 521
  132. Rheinstein, Max Weber on Law and Economy in Society, 336
  133. Johnson, The Blackwell Dictionary of Sociology, 156
  134. Gurvitch, Sociology of Law, 142
  135. Papachristou, Sociology of Law, 81–82
  136. Hamilton and Spiro, The Dynamics of Law, 3
  137. Jakobs, Pursuing Equal Opportunities, 5–6
  138. Karkatsoulis, The State in Transition, 275 etc.
  139. Montesquieu, The Spirit of Laws, Book XI: Of the Laws Which Establish Political Liberty, with Regard to the Constitution, Chapters 6–7
  140. Thomas Hobbes, Leviathan, XVII
  141. Curtin–Wessel, Good Governance, 73
  142. Fukuyama, State-Building, 132
  143. A Brief Overview of the Supreme Court, Supreme Court of the United States
  144. [1]
  145. House of Lords Judgements, House of Lords
  146. Entscheidungen des Bundesverfassungsgerichts, Bundesverfassungsgericht
  147. Jurisprudence, publications, documentation, Cour de cassation
  148. Goldhaber, European Court of Human Rights, 1–2
  149. Roe v Wade (1973) 410 U.S. 113 Retrieved 2007-01-26
  150. Dicey, Law of the Constitution, 37–82
  151. E.g., the court president is a political appointee (Jensen–Heller, Introduction, 11–12). About the notion of "judicial independence" in China, see Findlay, Judiciary in the PRC, 282–284
  152. 152.0 152.1 Sherif, Constitutions of Arab Countries, 158
  153. Rasekh, Islamism and Republicanism, 115–116
  154. About "cabinet accountability" in both presidential and parliamentary systems, see Shugart–Haggard, Presidential Systems, 67 etc.
  155. Haggard, Presidents, Parliaments and Policy, 71
  156. Olson, The New Parliaments of Central and Eastern Europe, 7
  157. See, eg Tuberville v Savage (1669), 1 Mod. Rep. 3, 86 Eng. Rep. 684, where a knight said in a threatening tone to a layman, "If it were not assize time, I would not take such language from you."
  158. History of Police Forces, History.com Encyclopedia
  159. Des Sergents de Ville et Gardiens de la Paix à la Police de Proximité, La Préfecture de Police
  160. Weber, Politics as a Vocation
  161. Weber, The Theory of Social and Economic Organisation, 154
  162. In these cases sovereignty is eroded, and often warlords acquire excessive powers (Fukuyama, State-Building, 166–167).
  163. Bureaucracy, Online Etymology Dictionary
  164. Albrow, Bureaucracy, 16
  165. Mises, Bureaucracy, II, Bureaucratic Management
  166. 166.0 166.1 Kettl, Public Bureaucracies, 367
  167. Weber, Economy and Society, I, 393
  168. Kettl, Public Bureaucracies, 371
  169. Hazard–Dondi, Legal Ethics, 22
  170. Hazard–Dondi, Legal Ethics, 1
  171. The Sunday Times v The United Kingdom [1979] ECHR 1 at 49 Case no. 6538/74
  172. Higher academic degrees may also be pursued. Examples include a Master of Laws, a Master of Legal Studies or a Doctor of Laws.
  173. Ahamd, Lawyers: Islamic Law
  174. Hazard–Dondi, Legal Ethics, 22–23
  175. Fine, The Globalisation of Legal Education, 364
  176. Warren, Civil Society, 3–4
  177. Locke, Second Treatise, Chap. VII, Of Political or Civil_Society. Chapter 7, section 87
  178. Hegel, Elements of the Philosophy of Right, 3, II, 182; Karkatsoulis, The State in Transition, 277–278
  179. (Pelczynski, The State and Civil Society, 1–13; Warren, Civil Society, 5–9)
  180. Zaleski, Pawel (2008). "Tocqueville on Civilian Society. A Romantic Vision of the Dichotomic Structure of Social Reality". Archiv für Begriffsgeschichte (Felix Meiner Verlag) 50. 
  181. Robertson, Crimes Against Humanity, 98–99
  182. There is no clear legal definition of the civil society, and of the institutions it includes. Most of the institutions and bodies who try to give a list of institutions (such as the European Economic and Social Committee) exclude the political parties. For further information, see Jakobs, Pursuing Equal Opportunities, 5–6; Kaldor–Anheier–Glasius, Global Civil Society, passim (PDF); Karkatsoulis, The State in Transition, 282–283.

References

Printed sources
  • Ahmad, Ahmad Atif. "Lawyers: Islamic Law" (PDF). Oxford Encyclopedia of Legal History. Oxford University Press. http://www.macalester.edu/~ahmad/Lawyers.pdf.
  • Akhlaghi, Behrooz (2005). "Iranian Commercial Law and the New Investment Law FIPPA". Katika Yassari, Nadjma. The Sharīʻa in the Constitutions of Afghanistan, Iran, and Egypt. Mohr Siebeck. ISBN 3-161-48787-7. 
  • Albrow, Martin (1970). Bureaucracy (Key Concepts in Political Science). London: Palgrave Macmillan. ISBN 0-333-11262-8. 
  • Anderson, J.N.D. (January 1956). "Law Reform in the Middle East". International Affairs (Royal Institute of International Affairs 1944—) 32 (1): 43–51. doi:10.2307/2607811. Iliwekwa mnamo 2007-03-04.  Check date values in: |date= (help)
  • Aristotle. Wikisource link to Constitution of the Athenians. Wikisource.. See original text in Perseus program.
  • Auby, Jean-Bernard (2002). "Administrative Law in France". Katika Stroink, F.A.M.; Seerden, René. Administrative Law of the European Union, its Member States and the United States. Intersentia. ISBN 9-050-95251-8. 
  • Badr, Gamal Moursi (Spring 1978). "Islamic Law: Its Relation to Other Legal Systems". The American Journal of Comparative Law 26 (2): 187–198. doi:10.2307/839667.  Check date values in: |date= (help)
  • Bayles, Michael D. (1992). "A Critique of Austin". Hart's Legal Philosophy. Springer. ISBN 0-792-31981-8. 
  • Beale, Hugh; Tallon, Denis (2002). "English Law: Consideration". Contract Law. Hart Publishing. ISBN 1-841-13237-3. 
  • Bergkamp, Lucas (2001). "Introduction". Liability and Environment. Martinus Nijhoff Publishers. ISBN 9-041-11645-1. 
  • Berle, Adolf (1932). Modern Corporation and Private Property. 
  • Bielefeldt, Heiner (1998). "Carl Schmitt's Critique of Liberalism: Systematic Reconstruction and Countercriticism". Katika David Dyzenhaus. Law as Politics: Carl Schmitt's Critique of Liberalism. Duke University Press. ISBN 0-822-32244-7. 
  • Blackstone, William (1765–69). Commentaries on the Laws of England. 
  • Brody, David C.; Acker, James R.; Logan, Wayne A. (2000). "Introduction to the Study of Criminal Law". Criminal Law. Jones & Bartlett Publishers. ISBN 0-834-21083-5. 
  • Campbell, Tom D. (1993). "The Contribution of Legal Studies". A Companion to Contemporary Political Philosophy edited by Robert E. Goodin and Philip Pettit. Malden, Mass.: Blackwell Publishing. ISBN 0-631-19951-9. 
  • Churchill, Winston (1986). "Problems of War and Peace". The Hinge of Fate. Houghton Mifflin Books. ISBN 0-395-41058-4. 
  • Clarke, Paul A. B.; Linzey, Andrew (1996). Dictionary of Ethics, Theology and Society. London: Routledge. ISBN 0-415-06212-8. 
  • Coase, Ronald H. (November 1937). "The Nature of the Firm". Economica 4 (16): 386–405. doi:10.1111/j.1468-0335.1937.tb00002.x.  Check date values in: |date= (help);
  • Coase, Ronald H. (October 1960). The Problem of Social Cost "The Problem of Social Cost (this online version excludes some parts)". Journal of Law and Economics 3: 1–44. doi:10.1086/466560. Iliwekwa mnamo 2007-02-10.  Check date values in: |date= (help)
  • Demirgüç-Kunt, Asli; Levine, Ross (2001). "Financial Structures and Economic Growth". Financial Structures and Economic Growth. MIT Press. ISBN 0-262-54179-3. 
  • Curtin, Deirdre; Wessel, Ramses A. (2005). "A Survey of the Content of Good Governance for some International Organisations". Good Governance and the European Union: Reflections on Concepts, Institutions and Substance. Intersentia nv. ISBN 9-050-95381-6. 
  • Albert Venn, Dicey (2005). "Parliamentary Sovereignty and Federalism". Introduction to the Study of the Law of the Constitution. Adamant Media Corporation. ISBN 1-402-18555-3. 
  • Dörmann, Knut; Doswald-Beck, Louise; Kolb, Robert (2003). "Appendix". Elements of War Crimes. Cambridge University Press. ISBN 0-521-81852-4. 
  • Durkheim, Emile (1893). The Division of Labor in Society. The Free Press reprint. ISBN 0684836386. 
  • Dworkin, Ronald (1986). Law's Empire. Harvard University Press. ISBN 0674518365. 
  • El-Gamal, Mahmoud A. (2006). Islamic Finance: Law, Economics, and Practice. Cambridge University Press. ISBN 0-521-86414-3. 
  • Farah, Paolo (August 2006). "Five Years of China WTO Membership. EU and US Perspectives about China's Compliance with Transparency Commitments and the Transitional Review Mechanism". Legal Issues of Economic Integration 33 (3): 263–304.  Check date values in: |date= (help)
  • Feinman, Jay M. (2006). "Criminal Responsibility and Criminal Law". Law 101. Oxford University Press US. ISBN 0-195-17957-9. 
  • Findlay, Marc (1999). "'Independence' and the Judiciary in the PRC". Katika Jayasuriya, Kanishka. Law, Capitalism and Power in Asia. Routledge. ISBN 0-415-19742-2. 
  • Fine, Tony F. (2001). "The Globalization of Legal Education in the United States". Katika Drolshammer, Jens I.; Pfeifer, Michael. The Internationalization of the Practice of Law. Martinus Nijhoff Publishers. ISBN 9-041-11620-6. 
  • Finn, John E. (1991). "Constitutional Dissolution in the Weimar Republic". Constitutions in Crisis: Political Violence and the Rule of Law. Oxford University Press. ISBN 0-195-05738-4. 
  • France, Anatole (1894). The Red Lily (Le lys rouge). 
  • Fukuyama, Francis (2005—first edition in English 2004). State-Building. Editions Livanis. ISBN 9-601-41159-3.  Check date values in: |date= (help)
  • Gaudiosi, Monica M. (April 1988). "The Influence of the Islamic Law of Waqf on the Development of the Trust in England: The Case of Merton College". University of Pennsylvania Law Review 136 (4): 1231–1261. doi:10.2307/3312162.  Check date values in: |date= (help)
  • Georgiadis, Apostolos S. (1997). "Sources of Law". General Principles of Civil Law (kwa Greek). Ant. N. Sakkoulas Publishers. ISBN 9-602-32715-4. 
  • Giannoulatos, Anastasios (1975). "Characteristics of Modern Islam". Islam – A General Survey (kwa Greek). Athens: Poreuthentes. 
  • Glenn, H. Patrick (2000). Legal Traditions of the World. Oxford University Press. ISBN 0198765754. 
  • Michael D., Goldhaber (2007). "Europe's Supreme Court". A People's History of the European Court of Human Rights. Rutgers University Press. ISBN 0-813-53983-8. 
  • Gordley, James R.; von Mehren, Arthur Taylor (2006). An Introduction to the Comparative Study of Private Law. Cambridge: Cambridge University Press. ISBN 9-780-52168-185-8. 
  • Gurvitch, Georges; Hunt, Alan (1942—New edition 2001). "Max Webber and Eugene Ehrlich". Sociology of Law. Athens: Transaction Publishers. ISBN 0-765-80704-1.  Check date values in: |date= (help)
  • Haggard, Stephan (2001). "Institutions and Public Policy in Presidential Systems". Presidents, Parliaments and Policy. Cambridge University Press. ISBN 0-521-77485-3. 
  • Hallaq, Wael Bahjat (2005). "Introduction". The Origins and Evolution of Islamic Law. Cambridge University Press. ISBN 0-521-00580-9. 
  • Hamilton, Michael S., and George W. Spiro (2008). The Dynamics of Law, 4th ed. Armonk, NY: M.E. Sharpe, Inc. ISBN 978-0-7656-2086-6.
  • Harris, Ron (September 1994). "The Bubble Act: Its Passage and Its Effects on Business Organization". The Journal of Economic History 54 (3): 610–27. Iliwekwa mnamo 2008-08-07.  Check date values in: |date= (help)
  • Hart, H.L.A. (1961). The Concept of Law. Oxford University Press. 
  • Hatzis, Aristides N. (November 2002). "The Nature of the Firm". European Journal of Law and Economics 14 (3): 253–263. doi:10.1023/A:1020749518104. Iliwekwa mnamo 2007-02-13.  Check date values in: |date= (help)
  • Hayek, Friedrich (1978). The Constitution of Liberty. University Of Chicago Press. ISBN 0-226-32084-7. 
  • Hazard, Geoffrey C.; Dondi, Angelo (2004). Legal Ethics. Stanford University Press. ISBN 0-804-74882-9. 
  • Hegel, Georg (1820). Elements of the Philosophy of Right (kwa German). 
  • Hobbes, Thomas (1651). "Chapter XVII: Of The Causes, Generation, And Definition Of a Commonwealth". Leviathan. 
  • Jakobs, Lesley A. (2004). "Retrieving Equality of Opportunity". Pursuing Equal Opportunities. Cambridge University Press. ISBN 0-521-53021-0. 
  • Jakoby, Stanford M. (Winter 2005). "Economic Ideas and the Labour Market" (PDF). Comparative Labor Law and Policy Journal 25 (1): 43–78. Iliwekwa mnamo 2007-02-12.  Check date values in: |date= (help); |chapter= ignored (help)
  • Jary, David; Julia Jary (1995). Collins Dictionary of Sociology. HarperCollins. ISBN 0004708040. 
  • Jensen, Eric G.; Heller, Thomas C. (2003). "Introduction". Katika Jensen, Eric G.; Heller, Thomas C. Beyond Common Knowledge. Stanford University Press. ISBN 0-804-74803-9. 
  • Johnson, Alan (1995). The Blackwell Dictionary of Sociology. Blackwells publishers. ISBN 1557861161. 
  • Kaiser, Dagmar (2005). "Leistungsstōrungen". Katika Staudinger, Julius von; Martinek, Michael; Beckmann, Roland Michael. Eckpfeiler Des Zivilrechts. Walter de Gruyter. ISBN 3-805-91019-3. 
  • Kaldor, Mary; Anheier, Helmut; Glasius, Marlies (2003). "Global Civil Society in an Era of Regressive Globalisation". Katika Kaldor, Mary; Anheier, Helmut; Glasius, Marlies. Global Civil Society Yearbook 2003. Oxford University Press. ISBN 0-199-26655-7. 
  • Kant, Immanuel (1785—New edition 1998). Groundwork of the Metaphysics of Morals (Translated by Mary Gregor). Cambridge University Press. ISBN 0-521-62695-1.  Check date values in: |date= (help)
  • Karkatsoulis, Panagiotis (2004). "Civil Society and New Public Management". The State in Transition (kwa Greek). Athens: I. Sideris. ISBN 9-600-80333-1. 
  • Kazantzakis, Nikos (1909—Reissue edition 1998). "Law". Friedrich Nietzsche and the Philosophy of Law and Polity (kwa Greek). Athens: Editions Kazantzakis.  Check date values in: |date= (help)
  • Kelly, J.M. (1992). A Short History of Western Legal Theory. Oxford University Press. ISBN 0198762445. 
  • Kettl, Don (November 2006). "Public Bureaucracies". The Oxford Handbook of Political Institutions edited by R. A. W. Rhodes, Sarah A. Binder and Bert A. Rockman. Oxford University Press. ISBN 0-199-27569-6.  Check date values in: |date= (help)
  • Linarelli, John (2004). "Nietzsche in Law's Cathedral: Beyond Reason and Postmodernism". Catholic University Law Review 53: 413–457. Iliwekwa mnamo 2007-03-05.  |chapter= ignored (help)
  • Locke, John (1689). Second Treatise
  • Luban, David (2001). "Law's Blindfold". Conflict of Interest in the Professions. Oxford University Press. ISBN 0-195-12863-X. 
  • Makdisi, John A. (June 1999). "The Islamic Origins of the Common Law". North Carolina Law Review 77 (5): 1635–1739.  Check date values in: |date= (help)
  • Malloy, Robin Paul (1994). "Adam Smith and the Modern Discourse of Law and Economics". Katika Paul Malloy, Robin; Evensky, Jerry. Adam Smith and the Philosophy of Law and Economics. Springer. ISBN 0-792-32796-9. 
  • Mattei, Ugo (1997). "The Distinction between Common Law and Civil Law". Comparative Law and Economics. University of Michigan Press. ISBN 0-472-06649-8. 
  • Matthews, Paul (Autumn 1995). "The Man of Property". Medical Law Review, 3: 251–274. PMID 11657690. doi:10.1093/medlaw/3.3.251.  Check date values in: |date= (help)
  • McGhee, John (2000). Snell's Equity. London: Sweet and Maxwell. ISBN 0-421-85260-7. 
  • Mises, Ludwig von (1962) [1944]. Bureaucracy (PDF). Iliwekwa mnamo 2006-11-10. 
  • Montesquieu, Baron de (1748). "Book XI: Of the Laws Which Establish Political Liberty, with Regard to the Constitution, Chapters 6–7". The Spirit of Laws (translated in English by Thomas Nugent, revised by J. V. Prichard). 
  • Nietzsche, Friedrich (1887). "Zweite Abhandlung: "Schuld", "schlechtes Gewissen" und Verwandtes". Zur Genealogie der Moral – Eine Streitschrift (kwa German). 
  • Ober, Josiah (1996). "The Nature of Athenian Democracy". The Athenian Revolution: Essays on Ancient Greek Democracy and Political Theory. Princeton University Press. ISBN 0-691-00190-1. 
  • Olivelle, Patrick (2005). Manu's Code of Law: A Critical Edition and Translation of the Manava-Dharmasastra. New York: Oxford University Press. ISBN 0-19-517146-2. 
  • Olson, David M., Norton, Philip (1996). "Legislatures in Democratic Transition". The New Parliaments of Central and Eastern Europe. Frank Cass (UK). ISBN 0-714-64261-4. 
  • (Kigiriki) Papachristou, T.K. (1999). "The Sociological Approach of Law". Sociology of Law. Athens: A.N. Sakkoulas Publishers. ISBN 9-601-50106-1. 
  • Pelczynski, A.Z. (1984). The State and Civil Society. Cambridge University Press. 
  • Petersmann, Ernst-Ulrich (1997). "Rule of Law and Constitutionalism". The GATT/WTO Dispute Settlement System. Martinus Nijhoff Publishers. ISBN 9-041-10933-1. 
  • Rasekh, Mohammad (2005). "Are Islamism and Republicanism Compatible?". Katika Yassari, Nadjma. The Sharīʻa in the Constitutions of Afghanistan, Iran, and Egypt. Mohr Siebeck. ISBN 3-161-48787-7. 
  • Raz, Joseph (1979). The Authority of Law, Essays on Law and Morality. Oxford University Press. ISBN 0198254938. 
  • Redfem, Alan (2004). "Regulation of International Arbitration". Law and Practice of International Commercial Arbitration. Sweet & Maxwell. ISBN 0-421-86240-8. 
  • Rheinstein, M. (1954). Max Weber on Law and Economy in Society. Harvard University Press. 
  • Richardson, W.E.J. (2004). "Introduction". Hammurabi's Laws. Continuum International Publishing Group. ISBN 0-567-08158-3. 
  • Riker, William H. (January 1992). "The Justification of Bicameralism". International Political Science Review / Revue internationale de science politique 13 (1): 101–116.  Check date values in: |date= (help)
  • Robertson, Geoffrey (2006). Crimes Against Humanity. Penguin. ISBN 9780141024639. 
  • Roeber, A. G. (October 2001). "What the Law Requires Is Written on Their Hearts: Noachic and Natural Law among German-Speakers in Early Modern North America". The William and Mary Quarterly, Third Series 58 (4): 883–912. doi:10.2307/2674504.  Check date values in: |date= (help)
  • Rottleuthner, Hubert (December 1989). "La Sociologie du Droit en Allemagne" (PDF). Droit et Société (kwa French) 11: 101–120. Iliwekwa mnamo 2007-02-10.  Check date values in: |date= (help)
  • Rottleuthner, Hubert (1984). "Rechtstheoritische Probleme der Sociologie des Rechts. Die Kontroverse zwischen Hans Kelsen und Eugen Ehrlich (1915/17)". Rechtstheorie (kwa German) 5: 521–551. 
  • Rousseau, Jean-Jacques (1762). "Book II: Chapter 6 (Law)". The Social Contract (translated in English by G. D. H. Cole) (kwa French). 
  • Savigny, Friedrich Carl von (1803). "Zu welcher Classe von Rechten gehört der Besitz?". Das Recht des Besitzes (kwa German). 
  • Schermers, Henry G.; Blokker, Niels M. (1995). "Supervision and Sanctions". International Institutional Law. The Hague/London/Boston: Martinus Nijhoff Publisher. 
  • Sealy, L.S.; Hooley, R.J.A. (2003). Commercial Law. LexisNexis Butterworths. 
  • Sherif, Adel Omar (2005). "Constitutions of Arab Countries and the Position of Sharia". Katika Yassari, Nadjma. The Sharīʻa in the Constitutions of Afghanistan, Iran, and Egypt. Mohr Siebeck. ISBN 3-161-48787-7. 
  • Shugart, Matthew Soberg; Haggard, Stephan (2001). "Institutions and Public Policy in Presidential Systems". Katika Haggard, Stephan; McCubbins, Mathew Daniel. Presidents, Parliaments, and Policy. Cambridge University Press. ISBN 0-521-77485-3. 
  • Simpson, A.W.B. (1984). Cannibalism and the Common Law. Chicago: University of Chicago Press. ISBN 9780226759425. 
  • Smith, Stephen A. (winter 2003). "The Structure of Unjust Enrichment Law: Is Restitution a Right or a Remedy" (PDF). Loyola of Los Angeles Law Review 36 (2): 1037–1062. Iliwekwa mnamo 2007-02-09.  Check date values in: |date= (help)
  • Stein, Peter (1999). Roman Law in European History. Cambridge University Press. uk. 32. ISBN 0-521-64372-4. 
  • Stone, Julius (1965). "Early Horizons of Justice in the West". Human Law and Human Justice. Stanford University Press. ISBN 0-804-70215-2. 
  • Tamanaha, Brian Z. (2004). "Locke, Montesquieu the Federalist Papers". On the Rule of Law. Cambridge University Press. ISBN 0-521-60465-6. 
  • Théodoridés, Aristide (1999). "law". Encyclopedia of the Archaeology of Ancient Egypt. Routledge (UK). 0-415-18589-0.
  • VerSteeg, Russ (2002). Law in Ancient Egypt. Durham, N.C.: Carolina Academic Press. ISBN 0-89089-978-9. 
  • Warren, Mark E. (1999). Civil Society and Good Governance (PDF). Washington DC: Center for the Study of Voluntary Organisations and Services, Georgetown University. 
  • Washofsky, Mark (2002). "Taking Precedent Seriously". Re-Examining Progressive Halakhah edited by Walter Jacob, Moshe Zemer. Berghahn Books. ISBN 1-571-81404-3. 
  • Weber, Max (1978). "Bureaucracy and Political Leadership". Economy and Society, Volume I (Translated and edited by Claus Wittich, Ephraim Fischoff, and Guenther Roth). University of California Press. ISBN 0-520-03500-3. 
  • Weber, Max (1919). Wikisource link to Politics as a Vocation. Wikisource.
  • Weber, Max (1964). The Theory of Social and Economic Organization (Edited with Introduction by Talcott Parsons – Translated in English by A. M. Henderson). The Free Press of Glencoe. ASIN B-000-LRHAX-2. 
  • Wehberg, Hans (October 1959). "Pacta Sunt Servanda". The American Journal of International Law 53 (4): 775–786. doi:10.2307/2195750.  Check date values in: |date= (help)
  • Wilson, William (2003). "Understanding Criminal Law". Criminal Law. Pearson Education. ISBN 0-582-47301-2. 
  • World Intellectual Property Organization (1997). "The System of Intellectual Property". Introduction to Intellectual Property. Kluwer Law International. ISBN 9-041-10938-2. 
Online sources

External links

Jua habari zaidi kuhusu Law kwa kutafuta kupitia mradi wa Wikipedia Sister
Uchambuzi wa kamusi kutoka Wikamusi
Vitabu kutoka Wikitabu
Dondoo kutoka Wikidondoa
Matini za vyanzo kutoka Wikichanzo
Picha na media kutoka Commons
Habari kutoka Wikihabari
Vyanzo vya elimu kutoka Wikichuo

Kigezo:Sheria Kigezo:Afrika in topic Kigezo:Marekani ya kaskazini in topic Kigezo:Marekani ya Kusini in topic Kigezo:Asia in topic Kigezo:Sheria ya Ulaya Kigezo:Osheania in topic

sw:Sheria