Georg Wilhelm Friedrich Hegel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Georg Wilhelm Friedrich Hegel 1831

Georg Wilhelm Friedrich Hegel (27 Agosti 177014 Novemba 1831) alikuwa mwanafalsafa wa Ujerumani aliyeathiri watu wengi katika karne ya 19 na karne ya 20.

Kati ya wanafunzi wake walikuwa Bauer, Stirner na Marx pia Sartre na Küng walichukua mengi kutoka kwake. Wengine waliompinga kama Kierkegaard, Schopenhauer, Nietzsche, Heidegger na Schelling waliathiriwa naye pia.

Viungo yva Nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:

Hegel kwa Kiingereza mtandaoni[hariri | hariri chanzo]