Uharibifu wa mazingira
Uharibifu wa mazingira ni uzoreteshaji wa mazingira kwa njia ya kupunguza kwa rasilimali kama vile hewa, maji na udongo; uharibifu wa mazingira na kupotea kwa wanyamapori.[onesha uthibitisho]
Uharibifu wa mazingira ni moja ya vitisho kumi yalioonywa na Jopo la juu la tisho kuu katika Umoja wa Mataifa. Shirika la rslimali ulimwenguni {Umoja wa Mataifa wa Mpango wa Mazingira, Umoja wa Mataifa wa Maendeleo na Benki ya Dunia zimetoa ripoti kwa umma kuhusu afya na mazingira duniani tarehe 1 Mei 1998.
Uharibifu wa mazingira ni wa aina nyingi. Wakati ni makazi asili yanaharibiwa au maliasili kutumiwa vibaya,tunasema kuwa mazingira yanaharibiwa.
Mabadiliko ya mazingira na afya ya binadamu ,sehemu maalum katika Raslimali za Dunia 1998-99 katika ripoti hii inaeleza jinsi magonjwa yanyo uwezo wa kuzuiwa na vifo vya mapema bado huzidi kuongezeka kwa idadi kubwa . Ikiwa kuna marekebisho makubwa katika afya ya binadamu mamilioni afya ya binadamu, mamilioni ya watu watakuwa wangeishi kwa muda mrefu,na maisha yenye afya nzuri kuliko awali. Katika maeneo masikini katika dunia inakadiriwa kuwa mmoja katika watoto watano hawataishi kuona siku yao ya kuzaliwa ya tano, hasa kwa sababu ya magonjwa yanayohusiana na mazingira. Watoto Milioni kumi na moja duniani kote hufa kila mwaka, sawa na wakazi wa Norway na Uswisi, wakiunganishwa na hasa kutokana na [[malaria,mashida ya kupumua au kuhara|malaria,mashida ya kupumua au kuhara - magonjwa ambayo yanaweza kukingwa.
Tazama Pia [hariri]
- Suala la Mazingira
- Kuzimia kwa ikolojia
- Maendeleo ya ikolojia endelevu
- Unyonyaji wa maliasili
- Jopo la juu la tishio .
- Tisho kumi zilizotambuliwa na Umoja wa Mataifa
- Umoja wa Mataifa wa Maendeleo
- Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa
- Shirika la Raslimali Duniani
Marejeo [hariri]
|
|
This article includes a list of references, related reading or external links, but its sources remain unclear because it lacks inline citations. Please improve this article by introducing more precise citations. (Machi 2008) |
Viungo vya nje [hariri]
- Ikolojia ya ongezeko la Magonjwa , ukuaji wa Idadi ya Watu na uharibifu wa mazingira.
- Matokeo ya Shirika la Marekani la Wanajiografia la Mabadiliko ya Kimazingira Katika Kalahari :Utafiti wa Uharibifu wa Ardhi Katika Mazingira Yenye ardhi Kavu
- Tishio fupi la Umma : Uharibifu wa mazingira
- Focus: uharibifu wa mazingira ni vitisho kuchangia afya duniani kote
- Uharibifu wa mazingira kwa vifaa vya nuklia .
- Herndon na Marekani Gibbon ,wakubwa katika jeshi wa maji. Wapelelezi wa Amerika ya Kaskazini wa kwanza katika bonde la Amazon , na Mwanahistoria Normand E. Klare. Ripoti halisi kutoka Wapelelezi hulinganishwa na na hali ya sasa ya Amazon.
- Kiashiria cha Uharibifu wa mazingira na Jha & Murthy (kwa nchi 174)