Euro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Euro ni pesa ya pamoja katika nchi za Ulaya. Tangu 2002 nchi 13 za EU zilifuta pesa yao ya kitaifa na kutumia Euro.

Euro moja ina senti 100. Kuna pesa ya karatasi za € 5 (kijivu), € 10 (nyekundu), € 20 (buluu], € 50 (machungwa), € 100 (kijani), € 200 (njano), € 500 (nyekundu).

Kuna sarafu 8 za € 0,01, € 0,02, € 0,05, € 0,10, € 0,20, € 0,50, € 1, € 2.

Pesa ya karatasi inatolewa na benki kuu ya Ulaya ni sawa kote. Sarafu zinatolewa na nchi wanachama zinatofautiana upande moja. Sarafu zote hutumika kote.

[hariri] Ishara ya Euro

Ishara ya Euro

Ishara ya Euro ni herufi ya Kigiriki epsilon (E) nyenye mistari miwili ya kulala: .

[hariri] Nchi wanachama wa Euro

  1. Austria
  2. Ubelgiji
  3. Ufini
  4. Ufaransa
  5. Ujerumani
  6. Ugiriki
  7. Ueire
  8. Italia
  9. Luxemburg
  10. Ureno
  11. Hispania
  12. Uholanzi
  13. Slovakia
  14. Slovenia
  15. Kupro
  16. Malta
  17. Estonia

Nchi zifuatazo hutumia pia Euro kama pesa ya pekee bila kuwa sehemu za mapatano:

Pesa za nchi zifuatazo zimeungwa na Euro:

[hariri] Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
ThreeCoins.svg Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Euro kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine