Yosefu Pignatelli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Yosefu Pignatelli.

Yosefu Maria Pignatelli, S.J. (kwa Kihispania: José María Pignatelli; Zaragoza, Hispania, 27 Desemba 1737 - Roma, Italia, 15 Novemba 1811) alikuwa padri wa Shirika la Yesu aliyeandaa wanashirika kulianzisha upya baada ya kufutwa na serikali.

Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 21 Mei 1933, halafu Papa Pius XII akamtangaza mtakatifu tarehe 12 Mei 1954.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.