Yohane Almond
Mandhari
Yohane Almond (Allerton, karibu na Liverpool, 1577 hivi – London, 5 Desemba 1612) alikuwa padri wa Uingereza.
Baada ya kuhamia Ireland, aliingia seminari huko Roma, Italia, alipopata upadrisho mwaka 1598 kwa kengo la kurudi kwao kufanya uchungaji usioruhusiwa na serikali.
Alirudi Uingereza mwaka 1602 alipohudumia kwa siri waumini aliokabidhiwa zaidi ya miaka kumi hadi alipokamatwa na kuuawa kikatili sana chini ya mfalme James I. Hata wakati wa kufia dini alitetea imani sahihi ya Kanisa Katoliki na kutoa sadaka kwa wahitaji [1].
Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 15 Desemba 1929, halafu Papa Paulo VI tarehe 25 Oktoba 1970 alimtangaza kuwa mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 39[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/93305
- ↑ "Forty Martyrs of England and Wales". Encyclopædia Britannica Online. Iliwekwa mnamo 10 Septemba 2013.
{{cite encyclopedia}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |