Wilaya ya Ilala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Coordinates: 6°49′26″S 39°14′56″E / 6.824°S 39.249°E / -6.824; 39.249

Mandhari ya sehemu ya Ilala.
Mtaa wa Samora ni kati ya barabara kuu za kitovu cha jiji.

Wilaya ya Ilala (Dar es Salaam City) ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikadi namba 12000.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 634,924. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 1,649,912 [1].

Eneo lake ni km² 273, likijumlisha kitovu cha kihistoria cha jiji la Dar es Salaam ambako kuna ofisi nyingi za serikali pamoja na kampuni kubwa na maduka. Nafasi ya kitovu chenyewe ni Sanamu ya Askari; mitaa mingine maarufu ni Kariakoo, Buguruni, Kivukoni na kando yake iko Pugu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Ilala - Tanzania

Bonyokwa | Buguruni | Buyuni | Chanika | Gerezani | Gongolamboto | Ilala | Jangwani | Kariakoo | Kimanga | Kinyerezi | Kipawa | Kipunguni | Kisukuru | Kisutu | Kitunda | Kivukoni | Kivule | Kiwalani | Liwiti | Majohe | Mchafukoge | Mchikichini | Minazi Mirefu | Mnyamani | Msongola | Mzinga | Pugu | Pugu Station | Segerea | Tabata | Ukonga | Upanga Magharibi | Upanga Mashariki | Vingunguti | Zingiziwa