Upanga Magharibi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Upanga Magharibi ni jina la kata ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye postikodi namba 11103[1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ya Upanga Magharibi ina wakazi wapatao 9,259 waishio humo [2].

Kata ya Upanga magharibi, kiutawala, ina mitaa mitatu.

  • Mtaa wa Charambe ambao ndipo ilipo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
  • Mtaa wa Mfaume ambao ndipo ilipo ofisi ya makao makuu ya SIDO Tanzania
  • Mtaa wa Fire ambao ndipo kwenye Kituo kikubwa cha Idara ya Zima moto.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Ilala - Tanzania

Bonyokwa | Buguruni | Buyuni | Chanika | Gerezani | Gongolamboto | Ilala | Jangwani | Kariakoo | Kimanga | Kinyerezi | Kipawa | Kipunguni | Kisukuru | Kisutu | Kitunda | Kivukoni | Kivule | Kiwalani | Liwiti | Majohe | Mchafukoge | Mchikichini | Minazi Mirefu | Mnyamani | Msongola | Mzinga | Pugu | Pugu Station | Segerea | Tabata | Ukonga | Upanga Magharibi | Upanga Mashariki | Vingunguti | Zingiziwa