Wilaya ya Kinondoni

Wilaya ya Kinondoni ni moja ya wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam yenye postikodi namba 14000[1] . Kwa lugha nyingine ni manisipaa ndani ya jiji la Dar Es Salaam. Eneo lake ni sehemu za kaskazini za jiji. Kinondoni inaanza upande wa pwani kwenye Selander bridge juu ya mto Upanga (pia: Msimbazi Creek) na kuendelea kupitia rasi ya Msasani, Kunduchi hadi Mbweni pamoja na hoteli za kitalii zilizopo sehemu hizi.
Barani inaelekea kuvukia barabara ya Morogoro hadi Mbezi na Kibamba. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kipo ndani ya manisipaa hii.
Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Kinondoni ilihesabiwa kuwa 1,775,049 [2].
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dsm.pdf[dead link]
- ↑ Sensa ya Tanzania ya 2012. Jalada kutoka ya awali juu ya 2010-02-10. Iliwekwa mnamo 2010-10-30.
- Halmashauri ya Manisipaa ya Kinondoni (pamoja na ramani, takwimu n.k. Archived 4 Oktoba 2011 at the Wayback Machine.
![]() |
Kata za Wilaya ya Kinondoni - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Bunju • Hananasif • Kawe • Kigogo • Kijitonyama • Kinondoni • Kunduchi • Mabwepande • Magomeni (Dar es Salaam) • Makongo • Makumbusho • Mbezi juu • Mbweni • Mikocheni • Msasani • Mwananyamala • Mzimuni • Ndugumbi • Tandale • Wazo |
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kinondoni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |