Wafumbira

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wafumbira (kwa Kifumbira au Rufumbira: Bafumbira (umoja: Mufumbira)) ni kabila la kusini magharibi mwa Uganda (wilaya ya Kisoro).

Zamani walikuwa chini ya Rwanda, na mpaka leo lugha yao inafanana na Kinyarwanda[1][2].

Leo wengi wao ni Wakristo.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Mahmood, Mamdani (2014). When Victims Become Killers: Colonialism, Nativism, and the Genocide in Rwanda. Princeton University Press. uk. 162. ISBN 9781400851720. Iliwekwa mnamo 27 January 2015.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. Jeremy M. Weinstein; James Habyarimana; Macartan Humphreys; Daniel N. Posner (2009). Coethnicity: Diversity and the Dilemmas of Collective Action. Russell Sage Foundation. uk. 148. ISBN 9781610446389. Iliwekwa mnamo 27 January 2015.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wafumbira kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.