Kinyarwanda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kinyarwanda ni lugha ya Kibantu ambayo ni lugha rasmi nchini Rwanda. Kuna wasemaji pia katika Uganda kusini na sehemu za mashariki za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Jumla ya wasemaji hukadiriwa kuwa mnamo milioni 7.

Wasemaji wa Kinyarwanda na Kirundi wanasikizana bila matatizo.

Mifano[hariri | hariri chanzo]

amakuru = Hujambo - hamjambo

Muraho = Habari gani?

Wiriwe = Habari za mchana

ndagukunda = Nakupenda

murakoze = asante

vuba = haraka

kuririmba = kuimba

kurya = kula

icyayi = chai

Umugabo = mwanaume

Umugore = mwanamke

Umwana = mtoto / mwana

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kinyarwanda kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.