Universities' Mission to Central Africa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wamisionari Chauncy Maples na William Percival Johnson.
Historia ya Tanzania
Coat of Arms of Tanzania
This article is part of a series
Uendo
Historia ya Zanzibar
Afrika Mashariki 1800-1845
Ukoloni
Afrika ya Mashariki ya Kijerumani
Mkataba wa Zanzibar-Helgoland
Mkwawa
Vita vya Maji Maji
Vita vikuu vya kwanza Afrika Mashariki
Tanganyika
Mapambano ya uhuru Tanganyika
Uhuru
Uhuru wa Tanganyika
Mapinduzi ya Zanzibar
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Julius Nyerere
Ujamaa
Tamko la Arusha
Vita vya Kagera
Ali Hassan Mwinyi
Benjamin Mkapa
Jakaya Kikwete
John Magufuli
Samia Suluhu Hassan

Tanzania Portal

Universities' Mission to Central Africa, kwa kifupi "UMCA", (1857 - 1965) ilikuwa jumuiya ya wasomi iliyoanzishwa na wanachama wa Kanisa la Anglikana katika vyuo vikuu vya Oxford, Cambridge, Durham na Dublin.

Kutokana na wito wa mmisionari David Livingstone, jumuiya hii ilianzishwa katika ya Waanglikana wenye mwelekeo wa Kikatoliki, nayo iliunda vituo vya uaskofu huko Zanzibar na Nyasaland (baadaye Malawi) na kuanzisha mafunzo ya wachungaji wa Kiafrika.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • A.E.M. Anderson-Morshead [1845-1928], The History of the Universities’ Mission to Central Africa 1859-1898, 2nd edn. London: Office of the Universities’ Mission to Central Africa, 1899. Hbk. pp.494.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Universities' Mission to Central Africa kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.